Muhudumu wa Restaurant hanichangamkii tena siku hizi!

Muhudumu wa Restaurant hanichangamkii tena siku hizi!

Ofcz huyo umempenda. Jjue mapemz bwana (mara nyingi yale ya kwel) huwa unajikuta yameshapenya tu. Yan unajikuta tu mtu kashakuweka mikono juu, umetekwa. Ukimkosa hata kumuona roho inakuuma.
Ni love hiyo parcee
Sawa. Na sababu ya yeye huyu dada kunibadilikia ni nini? Kama yeye pia hakunipenda.
 
Sawa. Na sababu ya yeye huyu dada kunibadilikia ni nini? Kama yeye pia hakunipenda.
Hizo ramli mi siwez kupiga. Sio expert wa hisia za mwanamke ndio maana nime stick upande wako kama mwanaume.

Maana unaweza jidanganya kama yeye kakupenda kumbe mwenzako, ulilw ulikuua mpango wa kwanza, sasa ame initiate phase 2 ili ujae kwenye 18 zake a apply kausha damu principle.

Hapendwi mtu mdogo angu uchumi.

Lakini inaweza ikawa na sababu zingine zinachangia
 
Hizo ramli mi siwez kupiga. Sio expert wa hisia za mwanamke ndio maana nime stick upande wako kama mwanaume.

Maana unaweza jidanganya kama yeye kakupenda kumbe mwenzako, ulilw ulikuua mpango wa kwanza, sasa ame initiate phase 2 ili ujae kwenye 18 zake a apply kausha damu principle.

Hapendwi mtu mdogo angu uchumi.

Lakini inaweza ikawa na sababu zingine zinachangia
Nimekupata mkuu
 
Huyo mwanamke anatumia plan B ya kukutega na atakupata tu,amekuchunia na umeumia mpaka kuanzisha uzi hapa,

Baada ya muda ataanza kukuchangamkia tena na wewe hapo utaona usifanye kosa kama la mwanzo,kifupi usipokua makini atakupata kirahisi sana,kwanza amesha anza kuziteka hisia zako kwa kuacha kukuchangamkia japo hapa unajifanya eti huna hisia nae,

Ungekua huna hisia nae usingeanzisha huu uzi,hisia sio lazima ziwe za kimapenzi tu bali umehisi kua kuna kitu kimepungua kwenye mizunguka yako kwa kutokuchangamkiwa na huyo Dada.
 
Back
Top Bottom