Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Muhuni akili mingi inadaiwa kama inavyoonekana kwenye video kuwa amekopa milioni 50 CRDB kwa kuwa alijua lazima wakague biashara yake, aliweka magunia mengi yakionekana yana nafaka kumbe ni uchafu tu, na yeye ametokomea yaani ameyeya.
View attachment 2522488
Mbona huwa wanachimba kuta za nyumba, ilikuwaje washindwe kufungua gunia randomly?Muhuni akili mingi inadaiwa kama inavyoonekana kwenye video kuwa amekopa milioni 50 CRDB kwa kuwa alijua lazima wakague biashara yake, aliweka magunia mengi yakionekana yana nafaka kumbe ni uchafu tu, na yeye ametokomea yaani ameyeya.
View attachment 2522488
mchongo kutoka watu wa benki wala huto siyo mhuni.Mbona huwa wanachimba kuta za nyumba, ilikuwaje washindwe kufungua gunia randomly?
kivipi?Wamejiaibisha wenyewe
Haaaahaaa [emoji1][emoji1][emoji1]safi sana, dawa ya mwizi ni mwizi
Kuna uhalifu hapo.Waanze na maafisa mikopo wao hao CRDB.Nimetulia paleee navuta kiko yangu yenye tumbaku mbichi.Muhuni akili mingi inadaiwa kama inavyoonekana kwenye video kuwa amekopa milioni 50 CRDB kwa kuwa alijua lazima wakague biashara yake, aliweka magunia mengi yakionekana yana nafaka kumbe ni uchafu tu, na yeye ametokomea yaani ameyeya.
View attachment 2522488
Kimeumana.Muhuni akili mingi inadaiwa kama inavyoonekana kwenye video kuwa amekopa milioni 50 CRDB kwa kuwa alijua lazima wakague biashara yake, aliweka magunia mengi yakionekana yana nafaka kumbe ni uchafu tu, na yeye ametokomea yaani ameyeya.
View attachment 2522488
Sio mbaya!Kuliko kwenda kuua roho zisizo na hatia kuiba mil 4 kajiongeza.Wizi nyakati hizi unahitaji connection hili utoboe.Huo ni
mchongo kutoka watu wa benki wala huto siyo mhuni.
Huwezi kupewa mkopi bila watu kukagua mzigo kama ndio ulikuwa dhamana. Usikute kwenye hiyo 50 kaondoka na 20 TU zingine kawaachia wenye mchongo wao
pumba zitawalipa sh ngapi?amejidanganya, watamnasa maana aliweka dhamana itapigwa mnada mapema tu.