Muhuni akopa milioni 50 CRDB awaachia pumba likidhaniwa ni duka la nafaka

Muhuni akopa milioni 50 CRDB awaachia pumba likidhaniwa ni duka la nafaka

Daaa sasa hawa wanazidi kufanya mikopo iwe masharti magumu sanaaa......hivi bank gani ina masharti nafuu kukopa ? Kwa mortgage ?
 
Muhuni akili mingi inadaiwa kama inavyoonekana kwenye video kuwa amekopa milioni 50 CRDB kwa kuwa alijua lazima wakague biashara yake, aliweka magunia mengi yakionekana yana nafaka kumbe ni uchafu tu, na yeye ametokomea yaani ameyeya.
View attachment 2522488
Kuna dili hapa na watu wa crdb. Lakini si anafahamika na ameweka collateral, sioni tatizo
 
Acheni uongo hauwezi kopa 50m bila ya collateral ya maana. Hizi ni stori za kutafuta streams, hits na views
Unaweza kuta Collateral kaweka hati ya ndugu au Jamaa yake,na bado kakimbia na kawaachia msala hao wenye hati, labda iwe ile mikopo faster ya Wafanyabiashara ya kuaangalia tu biashara!!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Mm nilivyo- elewa- ile clip - jamaa bado hajapewa mkopo, ila aliomba mkopo wa 50m, kwa dhamana ya biashara ya nafaka.
Ki- utaratibu maafisa wa benki lazima wakutembelee ili wajilidhishe.
Walipofika na kufanya ukaguzi wakagundua kiasi kikubwa cha nafaka kikiwa katika hali ya kuoza.







Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
 
Mm nilivyo- elewa- ile clip - jamaa bado hajapewa mkopo, ila aliomba mkopo wa 50m, kwa dhamana ya biashara ya nafaka.
Ki- utaratibu maafisa wa benki lazima wakutembelee ili wajilidhishe.
Walipofika na kufanya ukaguzi wakagundua kiasi kikubwa cha nafaka kikiwa katika hali ya kuoza.







Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
Kuna bank unaweza kwenda kuomba 50M kwa dhamana ya kiduka kama hiko? Ambacho hata hakina gunia 200? Tena crdb! Kuweni serious kidogo
 
Kwa ujinga wa nchi hii usishangae hata hilo wazo alipewa na watumishi wa benki waliompa mkopo ambao kwenye ukaguzi nao wamejifanya kushangaa pia. Kipindi hicho walishakula mgao wao kwenye hiyo M50 kitambo.

Hii ni sawa na polisi wanaoiba na kuua mtu halafu hao hao kujifanya wanachunguza kilichotokea.
na ndivyo ilivyo. Tangu lini CRDB wakakopesha mikopo ya biashara pasipo kutanguliziwa rushwa?
 
Muhuni akili mingi inadaiwa kama inavyoonekana kwenye video kuwa amekopa milioni 50 CRDB kwa kuwa alijua lazima wakague biashara yake, aliweka magunia mengi yakionekana yana nafaka kumbe ni uchafu tu, na yeye ametokomea yaani ameyeya.
View attachment 2522488
CRDB hawaoni hata aibu kushare video hii... Wajinga ni wao kuingizwa mjini kipumbavu..
 
Back
Top Bottom