BodGanleonid
JF-Expert Member
- Nov 14, 2022
- 3,021
- 4,330
Aisee, huyo afisa mikopo hatakaa kwa kutulia, lazima roho juu juu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pooling of riskafu kisasi kitalipwa kwa sisi sasa😂
Kuna dili hapa na watu wa crdb. Lakini si anafahamika na ameweka collateral, sioni tatizoMuhuni akili mingi inadaiwa kama inavyoonekana kwenye video kuwa amekopa milioni 50 CRDB kwa kuwa alijua lazima wakague biashara yake, aliweka magunia mengi yakionekana yana nafaka kumbe ni uchafu tu, na yeye ametokomea yaani ameyeya.
View attachment 2522488
Kama katumia kitambulisho chake cha Nida watamdaka tu!!Nasema hiviiii
Wateja wa siharadibiii, tutakatwa mia mia mpk wafidie deni lao [emoji23][emoji23]
Unaweza kuta Collateral kaweka hati ya ndugu au Jamaa yake,na bado kakimbia na kawaachia msala hao wenye hati, labda iwe ile mikopo faster ya Wafanyabiashara ya kuaangalia tu biashara!!Acheni uongo hauwezi kopa 50m bila ya collateral ya maana. Hizi ni stori za kutafuta streams, hits na views
Kuna bank unaweza kwenda kuomba 50M kwa dhamana ya kiduka kama hiko? Ambacho hata hakina gunia 200? Tena crdb! Kuweni serious kidogoMm nilivyo- elewa- ile clip - jamaa bado hajapewa mkopo, ila aliomba mkopo wa 50m, kwa dhamana ya biashara ya nafaka.
Ki- utaratibu maafisa wa benki lazima wakutembelee ili wajilidhishe.
Walipofika na kufanya ukaguzi wakagundua kiasi kikubwa cha nafaka kikiwa katika hali ya kuoza.
Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
na ndivyo ilivyo. Tangu lini CRDB wakakopesha mikopo ya biashara pasipo kutanguliziwa rushwa?Kwa ujinga wa nchi hii usishangae hata hilo wazo alipewa na watumishi wa benki waliompa mkopo ambao kwenye ukaguzi nao wamejifanya kushangaa pia. Kipindi hicho walishakula mgao wao kwenye hiyo M50 kitambo.
Hii ni sawa na polisi wanaoiba na kuua mtu halafu hao hao kujifanya wanachunguza kilichotokea.
Nimerudi kuangalia… hiko hiviMbona Clip inaonyesha ndiyo walikuwa wanaenda kukagua ili wakisha confirm ndiyo wampe hizo 50m.
CRDB hawaoni hata aibu kushare video hii... Wajinga ni wao kuingizwa mjini kipumbavu..Muhuni akili mingi inadaiwa kama inavyoonekana kwenye video kuwa amekopa milioni 50 CRDB kwa kuwa alijua lazima wakague biashara yake, aliweka magunia mengi yakionekana yana nafaka kumbe ni uchafu tu, na yeye ametokomea yaani ameyeya.
View attachment 2522488
Dhamana ni hiyo biashara hapo..waichukue tu..Huyo kajidanganya, watamnasa maana aliweka dhamana itapigwa mnada mapema tu.