National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
Kuna mda wa biashara wanaangalia, bank statement ya mda flani, na financial statement kuanzia miaka mitatu kuanza tengeza picha kama una uwezo.. Kukopeshe biashara mbona ipo sana mkuu.. bank ni wafanya biashara wanalewa namna ya ku calculate risk zao.. hivi karibuni kuna mahala nilipata fura ya kukopea biashara naongea nacho kijuaMkuu kwa hiyo biashara ikifilisika recovery yake inakuwaje