Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waliopitisha mkopo wanahusika pia, iweje gunia la mchele toka Moro lifanane kwa nje kwa ushonaji wa mkono na gunia la mchele toka Mbeya! Duka unalikopesha mil.50 halina bidhaa za mil.10! Yaani kagunia kamoja ka maharage na kamoja mchele unaouzwa! Mimi ningeanza na afisa mikopo aliyelikagua duka na ningejifanya sijawahi kumuona tangu nizaliwe.Muhuni akili mingi inadaiwa kama inavyoonekana kwenye video kuwa amekopa milioni 50 CRDB kwa kuwa alijua lazima wakague biashara yake, aliweka magunia mengi yakionekana yana nafaka kumbe ni uchafu tu, na yeye ametokomea yaani ameyeya.
View attachment 2522488
Unaongea au una uzoefu wa hiyo biashara?Hata kama ni duka la nafaka mbona sioni kama duka hilo lina dhamani ya Tsh 50 milioni?
Kufanya kazi kwa mazoeaMbona huwa wanachimba kuta za nyumba, ilikuwaje washindwe kufungua gunia randomly?
Kweli kabisaKwa ujinga wa nchi hii usishangae hata hilo wazo alipewa na watumishi wa benki waliompa mkopo ambao kwenye ukaguzi nao wamejifanya kushangaa pia. Kipindi hicho walishakula mgao wao kwenye hiyo M50 kitambo.
Hii ni sawa na polisi wanaoiba na kuua mtu halafu hao hao kujifanya wanachunguza kilichotokea.
Nadhani dhamana ya vitu kama nyumba au viwanja lazima iwepo kwani ukiwa na biashara hizi za mtaani tu siyo rahisi kupewa. Mimi nilivyoelewa, japo huenda siko sahihi: Nadhani jamaa ndiyo alikuwa ametuma maombi ya mkopo na hapo walienda kuakagua biashara yake kwanza kabla hawajampa mkopo.Hv unaweza kopa pesa mingi hvyo Kwa dhamana ya Duka tuu, ?? Si wanahtaj kitu kisichohamishika .... Naamin kabisa wakat aankopa alijaza magunia ya nafaka , alipochukua hela ndo akabadrisha akaweka pumba , nafaka akatokomea nazo .... Ni mchezo ambao ameuchora mda mrefu na baadhi ya wafanyakaz wa bank , huyo afisa mkopo kazi anayo
Unaongea au una uzoefu wa hiyo biashara?
Au unatumia duka lako kama standard ya maduka yote ya nafaka tanzania?
Kuna maduka ya nafaka yana mzigo zaidi hata ya 800M.
Kuna mikopo ambayo dhamana inakuwa biashara yenyewe.Hiyo hela yote ina maana hakuweka dhamana kitu kisichohamishika? Mimi kwa uelewa wangu uwepo wa biashara ni justification kwamba unafanya biashara hivyo una qualify kupata mkopo wa biashara. Maofisa wa bank walitakiwa kuangalia umiliki na cash flow ya hiyo biashara na sio vinginevyo. Otherwise wamepigwa kishamba sana.
Bila shaka walikuwa wanamkagua kwanza. Hawawezi kukupa mkopo baadae ndiyo waende kukagua.Hapo alishapokea mkopo au ndo walikuwa wanamkagua Ili apewe mkopo
Dhamana ya biashara ina changamoto, huenda walivyo henda walikuta mzigo wote tena tele, then baada ya zoezi kukamilika wakatoa mzigo..Aisee, huyo afisa mikopo hatakaa kwa kutulia, lazima roho juu juu.
Aisee inawezekana sasa hapo sijui itakuaje?Dhamana ya biashara ina changamoto, huenda walivyo henda walikuta mzigo wote tena tele, then baada ya zoezi kukamilika wakatoa mzigo..
Hasara hiyo kwa bank, huenda jamaa alichemka marejesho, hata lengo la bank huenda ilikuwa ikamate mzigo ila wamekuta hayo madude.. ila haya mambo yanaongeza ugumu sana wenye nia njema kupewa mkopo. Bank kama CRDB haiwezi ingia mkenge wa kufungua kesi hiyo .. funika kombe mwana haramu apite ndio kitachotokeaAisee inawezekana sasa hapo sijui itakuaje?
Huo mkopo umekaa kimchongo. Kirahisi tu watoe milioni 50 bila hata ya dhamna ya mali isiyo hamishika? Huu utaratibu wameanza lini?Kuna uhalifu hapo.Waanze na maafisa mikopo wao hao CRDB.Nimetulia paleee navuta kiko yangu yenye tumbaku mbichi.
Mkuu kwa hiyo biashara ikifilisika recovery yake inakuwajeKuna mikopo ambayo dhamana inakuwa biashara yenyewe.