Muige panya katika harakati za utafutaji, utatoboa

Ila ferooz anafanana na panya

 
Huyu ana tofauti gani na chama che siasa chenye nguvu
 
Asante eee
 
Panya,

Ndani kwangu nikimuona au kumstukia panya, hachukui siku mbili,

Kuna mtego wa gundi huo, unakuta keshanata anahema tu,
 
Kwa hiyo mkuu unatushauri tuishi kwa kuviziana si ndiyo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…