bhachu
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 8,443
- 9,854
Panya wana akili za ki-CCM.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Panya wana akili za ki-CCM.
Anaishi na binadamu nyumba moja lakini hajawahi kabisa kumuamini binadamu[emoji2]
Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
Panya na Kunguru ni mtoto wa baba mkubwa na Baba mdogo.😃 panya yuko mbio muda wote, sijawahi ona panya anatembea kwa pozi
Oyaa rudisha hii avatar pichaInamaana hata kama nyumba ina paka huyo panya atakaa wapi?
Niache us*nge na mimi,
Nadhani wote tunamjua mnyama panya, sasa bwana panya anajua kabisa akisema amkimbie binadamu kwa kuogopa kifo na kuhamia porini, atakufa njaa. Tena kabla ya njaa huenda akauliwa na wanyama wakali zaidi.
Anachofanya panya ni kusoma ratiba ya binadamu ndani ya nyumba, saa ngapi anaenda kazini anafunga mlango, saa ngapi analala anazima taa. Jiko liko usawa upi akajipimie misosi na stoo au dari ni wapi akaandae bed room yake na familia.
Pia anawafunza wanae kutambua chakula kilichodondoka ndio chao, wakiona kisafi, kimenona, juu ya gazeti, huo mtego, wasile! Kwa mtindo huo,panya hunenepa na kuzaliana kizazi hadi kizazi.
Sasa wewe, bosi kakufokea ushawaza kukimbia kazi, mteja kakujibu jeuri, sijui kakopa hajalipa, unataka kufunga biashara. Utakufa NJAA wewee!
Panya,
Ndani kwangu nikimuona au kumstukia panya, hachukui siku mbili,
Kuna mtego wa fundi huo, unakuta keshanata anathema tu,
usikimbie vikwazo, vitatuestory yako haijabalance imebase kwa ukoo wa panya... tunaomba uiingizie sasa kwenye maisha yetu sisi binaadam
Maisha yake mafupi. Akifa kwa mkono wa binadamu hufa kifo cha kinyama sana vivo hivyo kwa paka na wanyama walao nyama!😃 panya yuko mbio muda wote, sijawahi ona panya anatembea kwa pozi
very wise words, be blessed
Nadhani wote tunamjua mnyama panya, sasa bwana panya anajua kabisa akisema amkimbie binadamu kwa kuogopa kifo na kuhamia porini, atakufa njaa. Tena kabla ya njaa huenda akauliwa na wanyama wakali zaidi.
Anachofanya panya ni kusoma ratiba ya binadamu ndani ya nyumba, saa ngapi anaenda kazini anafunga mlango, saa ngapi analala anazima taa. Jiko liko usawa upi akajipimie misosi na stoo au dari ni wapi akaandae bed room yake na familia.
Pia anawafunza wanae kutambua chakula kilichodondoka ndio chao, wakiona kisafi, kimenona, juu ya gazeti, huo mtego, wasile! Kwa mtindo huo,panya hunenepa na kuzaliana kizazi hadi kizazi.
Sasa wewe, bosi kakufokea ushawaza kukimbia kazi, mteja kakujibu jeuri, sijui kakopa hajalipa, unataka kufunga biashara. Utakufa NJAA wewee!
we're togethervery wise words, be blessed
Ni kweli mkuu, shukrani kwa mtazamo huu, unaweza kufunza wengine katika namna ya kupambana na maisha.Maisha mkuu, mwalimu tosha
hii ni kweli kabisa😃 panya yuko mbio muda wote, sijawahi ona panya anatembea kwa pozi
Ni kweli mkuu, shukrani kwa mtazamo huu, unaweza kufunza wengine katika namna ya kupambana na maisha.
Inaonyesha ni jinsi gani unavyoweza kukabiliana na Maisha kupitia changamoto mbalimbali.
kufuga nyoka mkuu, si bora panyaKama unasumbuliwa na panya nyumbani kwako fuga nyoka tu, panya wote wanakimbia
Fug nyoka ww panya wote wanakimbia.kufuga nyoka mkuu, si bora panya
Kinachomsaidia simba ni mwili mkubwa na kapewa nguvu nyingi. Lakini pia hakuna mnyama juu ya simba anayekula nyama. Changamoto ya simba ni poachers tu ambayo si sana.Nafurahia utafutaji wa simba akili nyingi
Anatumia
Hakurupuki
Anapata changamoto lakini hakati tamaa
Simba hali mizoga
Yupo imara
Anajali familia