Kumbe kumtoa Babu Seya ni kutafuta Kiki eee?
Wasaidiz wa Mkulu mliopo humu chukueni hii kutoka kwa mdau relis
Yap baada ya kutoka kwa Salmaan akaenda kwa Oberoi na Salmaan haivi na Viveki Oberoi coz of that unaambiwa Salmaan alidataaaa haswaaVivek alimpindua bana.
Yap baada ya kutoka kwa Salmaan akaenda kwa Oberoi na Salmaan haivi na Viveki Oberoi coz of that unaambiwa Salmaan alidataaaa haswaaVivek alimpindua bana.
Nazipenda mnoo!ndo maana nilinnua azam king'amuzi kwa sababu hyokumbe mupo, nishakutafuteni sana mie. Tungetafuta threat yetu tukajiachia na mambo ya Bollywood.
John yuko vzr sana ila hamfikii Akshay na Ajay kwenye mkono!John abraham ndio kifaa sasa hivi bollwood.
Kuna muvi kama rocky handsom na shootout at wadala ni shida
Jamaa akikasirika ndo utaona raha!ila simpendi sunny deo anaeinua gari na mkono 1John yuko vzr sana ila hamfikii Akshay na Ajay kwenye mkono!
Ugomvi wao ulianza kama utani vile kwenye birthday ya Katrina Kaif ambae ni ex girlfriend wa Salmaan kwa sasa ambapo SRK alimuongelea Ex girlfriend wake Salmaan Aishwarya Rai Salmaan akachukia wakaanza kutupiana maneno mpk kufikia kupondana kuhusu their reality show ambazo they hosting back then
Salmaan Claimed kwamba show yake ndo inapendwa kuliko ya SRK
Waligombana haswaa since then ule urafiki wao haswaa ukaisha na vyombo vya habari vikakuza beef lao
[emoji1] [emoji1] Sunny deo namkubali sanaa!japo kwa sasa amesizi kwenye muviJamaa akikasirika ndo utaona raha!ila simpendi sunny deo anaeinua gari na mkono 1
Zote hizo ni sababu za ugomvi wao na the film ambayo Salmaan aliomba afanye special appearance kwenye Mrs.Khannakumbukumbu zangu ni kua Salman alimuomba Shahrukh afanye apparency kwenye filam yao na ndugu yake kama sikosei ilikua Main aur Mrs Khanna na shahrukh akakataa.
Mi simpendi abhishek na sunil shetty anatoaga udenda![emoji1] [emoji1] Sunny deo namkubali sanaa!japo kwa sasa amesizi kwenye muvi
Nilikua njiani kidogoo
Chipukizi ambao ni tishio in
Arjun Kapoor
Sidhart Malhotra
Varun dhawan
Wa kike wamo
Alia Bhat
Disha Patani
Na yupo ameigiza film Pink nimemsahau
Sunil [emoji1] [emoji1] [emoji1] ana mwanae wa kike ameigiza anaitwa Athiya Shetty yupo na Suraj Pancholi!(Mtoto wa Aditya Pancholi)Mi simpendi abhishek na sunil shetty anatoaga udenda!
Mi simpendi abhishek na sunil shetty anatoaga udenda!
Varun kwenye Dishoom kafanya vizuri!Sidhart Malhotra yupo sawa kabisa, Hata Varun jamaa anajitahid. ILa kuna mshakaji anaitwa Fawd Khan jamaa yupo sawa sana.
Sunil [emoji1] [emoji1] [emoji1] ana mwanae wa kike ameigiza anaitwa Athiya Shetty yupo na Suraj Pancholi!(Mtoto wa Aditya Pancholi)
Mi nawapenda wotee
Tupo Mkuu,japo siku zakaribuni nimekuwa mvivu wakufatilia Bollywood movies..kumbe mupo, nishakutafuteni sana mie. Tungetafuta threat yetu tukajiachia na mambo ya Bollywood.
Zote hizo ni sababu za ugomvi wao na the film ambayo Salmaan aliomba afanye special appearance kwenye Mrs.Khanna