Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,053
- 6,304
Binafsi nimeumia sana hii picha imepigwa alivyofikishwa hospital,alikuwa anasumbuliwa na figo muda mrefu sasa ila hakuwa ametangaza.
Kwa wale wana Jamiiforums mnaofatilia movie za Nigeria lazima mtakuwa mnamfahamu,nimeumia sana ila ndio hivyo mipango ya mungu,apumzike mahali pema peponi.