Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,053
- 6,304
huyu jamaa anajua kuigiza,niliacha kufuatilia movies zake baada ya kuona movie moja anaigiza akiliwa tigo,kuanzia hapo sikutaka kujua kuhusu huyu jamaa.
R.I.P
Si alikua anaigiza.....
RIP MUNNA
haaaaah......jamani yule kakaaaah!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
haaaaah......jamani yule kakaaaah!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
huyu jamaa anajua kuigiza,niliacha kufuatilia movies zake baada ya kuona movie moja anaigiza akiliwa tigo,kuanzia hapo sikutaka kujua kuhusu huyu jamaa.
R.I.P
Wewe ujui nini maana ya maigizo sababu ya ignorance,acha kabisa kuangalia movie
aisee kipengele ya kuigiza kuliwa tigo hata kama ni kuigiza nisamehe tu,huwa ikitokea kitu kama hicho sifuatilii tena movie
Tupe jina la movie wabongo mnaongeza sana chumvii
ni uwongo hajafariki amekanusha kule twiter na Insta wabongo bana kwa uzushi mnapenda sana kuua watu