Muigizaji maarufu toka Nollywood (Nigeria) Muna Obiekwe amefariki dunia

Money Stunna

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2011
Posts
13,053
Reaction score
6,304


Binafsi nimeumia sana hii picha imepigwa alivyofikishwa hospital,alikuwa anasumbuliwa na figo muda mrefu sasa ila hakuwa ametangaza.











Kwa wale wana Jamiiforums mnaofatilia movie za Nigeria lazima mtakuwa mnamfahamu,nimeumia sana ila ndio hivyo mipango ya mungu,apumzike mahali pema peponi.
 
Nilikuwa nafuatilia zamani namfahamu jamaa.Mungu amlaze panapostahili

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
huyu jamaa anajua kuigiza,niliacha kufuatilia movies zake baada ya kuona movie moja anaigiza akiliwa tigo,kuanzia hapo sikutaka kujua kuhusu huyu jamaa.

R.I.P

Si alikua anaigiza.....

RIP MUNNA
 
haaaaah......jamani yule kakaaaah!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Hata jana usiku walikuwa wanaonyesha movie zake Afrikan Magic
 
huyu jamaa anajua kuigiza,niliacha kufuatilia movies zake baada ya kuona movie moja anaigiza akiliwa tigo,kuanzia hapo sikutaka kujua kuhusu huyu jamaa.

R.I.P

Wewe ujui nini maana ya maigizo sababu ya ignorance,acha kabisa kuangalia movie
 
Wewe ujui nini maana ya maigizo sababu ya ignorance,acha kabisa kuangalia movie

aisee kipengele ya kuigiza kuliwa tigo hata kama ni kuigiza nisamehe tu,huwa ikitokea kitu kama hicho sifuatilii tena movie
 
aisee kipengele ya kuigiza kuliwa tigo hata kama ni kuigiza nisamehe tu,huwa ikitokea kitu kama hicho sifuatilii tena movie

Tupe jina la movie wabongo mnaongeza sana chumvii
 
Tupe jina la movie wabongo mnaongeza sana chumvii

we umeleta thread kuhusu huyo jamaa,that was bad news,sasa hata hujui movie aliyoigiza analiwa tigo?(maigizo)
hata hujui movie,kama wabongo tunaongeza chumvi basi we mlatino
 
ni uwongo hajafariki amekanusha kule twiter na Insta wabongo bana kwa uzushi mnapenda sana kuua watu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…