TANZIA Muigizaji na Rappa, Earl Simmons maarufu DMX amefariki Dunia akiwa na miaka 50

TANZIA Muigizaji na Rappa, Earl Simmons maarufu DMX amefariki Dunia akiwa na miaka 50

Hawa jamaa nilikuwaga nawasikiliza zamani nikiwa mashuleni enzi hizo,wanaharibu akili Sana,faida iliyopo labda n kujua kingereza tu kwa hilo walinisaidia,lakini asilimia kubwa wanachafua mindset za vijana
 
Back
Top Bottom