M2mwembamba
JF-Expert Member
- Feb 23, 2014
- 2,491
- 1,095
R.I.P mwamba sisi tuli enjoy mziki wako enzi hizo miaka ya 90.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe Mzee rudi WastaarabuGK alifanana nae tu sura, but kibongo bongo aliekua akimpatia DMX ni mshikaji mmoja aliitwa Ommy G.
Tafuta wimbo wa Kindumbwe ndumbwe akiimba na Pig Black. Nyimbo yoyote ya Free Dog Camp (FDC) usikie michano ya Ommy G
Umefanya nimkumbuke malkia wa ruffy ruder eveRest in peace, ( Ruffy Ryder)
Miaka ya 90?.??mmmh hukuwepoR.I.P mwamba sisi tuli enjoy mziki wako enzi hizo miaka ya 90.....
Huyu dem mbona hazeeekUmefanya nimkumbuke malkia wa ruffy ruder eve
Uko sahihi kabisa, utitiri wa watoto asioweza hata kuwahudumia.Na huwaga wanakufa maskin kwel yan hawa watu weusi
Hii kitu ina raha yake...sema usijaribu....died just days after suffering an apparent drug overdose.
Sijui drugs huwa wanazipendea nini...
ha ha ha ha nipo kijiweni mkuuWewe Mzee rudi Wastaarabu
Ukuda tuNilisikiaga kijiweni wanasema Alikataa kujiunga kwa illuminate baphomet ndio wakaanza mfanyia zengwe kwenye muziki hadi maisha binafsi
Yes yes...nilitokea kuupenda huu msemo balaa "watu ndo wanauana ila sio bunduki""Guns don't kill people, people kill people” - Romeo Must Die - DMX.
Huyu wamemuondolea oxygen machine, janaKashakata kamba DMX sio rumors tena.
We unatumia?Hii kitu ina raha yake...sema usijaribu
Huyu wamemuondolea oxygen machine, jana
Japo maza ake alikuwa ana hope mwanae atazinduka through maombi
We unatumia?
SijaelewaAlilalama sana kupigwa PINK alipokuwa jela.
Natafuta picha ya full pink sijaipata.
View attachment 1747894