aitwa 'What's My Name' kutoka kwenye album yake inayoitwa, '......And Then There Was Xkuna pini moja wanaimba imba hafu chorus wanaitikia kwa nguvu D M X sijui linaitwaje lile pini,?
...fake up niggers screaming for the co..ps (WHAT!!!!!)Stop drop...shout it down on the road show
oooh, noooo, just ruff ryders law (low??)Stop drop...shout it down on the road show
Gilesi au Grace mwakanyoko 🤔?Gilesi vipi wewe?
GK nilikuwa namuona kama anatembea na flow za mystical aliyeimba DangerGK wa east coast team ndio alikuwa anafanya rapping kama ya DMX. Unakumbuka mkuu?
Sikuwahi jisumbua kuhusu hii.Dark Man X
"Blackest Song" ever...[emoji1]Nitaikumbuka sana ngoma ya X Gonna Give It To Ya
Where the hood at RIP DMX