Muimba wa Gospel Bela Kombo jitafakari, mavazi yako si ya Staha

kuna mmoja anaitwa wabeja wa beya ana mzigoo hatari nikakutana nae maeneo tata
 
Si tatuu Ile kifuani!!👀👀

Hamna mtumishi HAPO
 
Unadhani walokole wa siku hizi ni kama wale wa zamani? Siku hizi wamejanjaruka, tena wamekuwa wajanja kuliko wasiookoka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…