Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Mond alipewa degree au...!!!?HV s alipewaga degree ya heshima hapo udsm idara hyo hyo ya creative art nakumbuka kitu Kama hcho enzi tunasoma coet
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mond alipewa degree au...!!!?HV s alipewaga degree ya heshima hapo udsm idara hyo hyo ya creative art nakumbuka kitu Kama hcho enzi tunasoma coet
Sana tena sanaJk alitazame hili
Sawa bwana japo wakiendelea na huo utaratibu (ambao sioni kama ni sawa) kozi zingine hazitakuja kutoa mwanafunzi bora hadi Yesu arudi au labda chuo kifanye tu maarifa kwa ajili ya kuhamasisha watu wasome...
Mbona niki google course study huwa hainiletei we umeipataje mkuu?
Nataka kujua course study ya computer science udsm kwenye semester zote
Kilaza on fire [emoji91][emoji91] [emoji91]Hongera zake, siyo papai lakini?
Tupo vizuri sanaa kwenye kukosoa.Yani kupiga kelele tu una A😂 🙌
Ifike pahala kila college iwe inatoa mshindi wake wa GPA kubwa
Hivi kweli mtu wa CoET ashindanishwe kwenye GPA na wa COHU (Department of Creative Arts)
Dogo mwenyewe mwepesi tu. Sasa hiyo Masters in Music anataka kuwa nan?
Unahisi music hauna wataalamu wenye masters na phd.
Walimu wa music wa hapo udsm ama vyuo vikuu vingine hawana elimu ya masters na phd ?
Kozi za music zina scholarships nyingi sana tena za vyuo vikuu bora duniani.
Msanii wa bongo fleva chemical alimaaliza hapo udsm degree ya music amepewa scholarship ya masters na PHD kwenye chuo kikuu kikubwa uingereza.
First class za Degree za engineering hawapati hizo schoraships za vyuo bora vya ulaya na marekani wanaishia kusoma japan , china ama vyuo vya Africa.
Ila hao madogo wa music wanapewa scholarships vyuo vikuu bora vya ulaya na marekani. Wazungu wanapenda sanaa sana
Msuli wa Creative Arts sio heavy hata ukipiga msuli bed unapata AWatu wa creative arts ndio wanoongoza kwa ratiba za party,na bado wanapata A.
Hao FPA wanadharaurika sana toka tunasomesha sie in 90s.Yani best student anatoka kwenye course ambayo wanafunzi hawana hata notes hawana course work wala assignment? Udsm sio sehemu ambayo mtoto atasimama kimasomo Kikwete akiwa bado ni mkuu wa chuo. Kupiga gitaa na kinanda kukata viuno ndiyo best student NOMA SANA
Yani best student anatoka kwenye course ambayo wanafunzi hawana hata notes hawana course work wala assignment? Udsm sio sehemu ambayo mtoto atasimama kimasomo Kikwete akiwa bado ni mkuu wa chuo. Kupiga gitaa na kinanda kukata viuno ndiyo best student NOMA SANA