Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mihemuko na attentionIlikuwa lazima kuchukua video wakati anaichoma hiyo gari ?
Kuna video zinasambaa huko Yotube na ticktok ikionesha muimbaji wa Injili akichoma gari la alilopewa na mtumishi/mchungaji kama zawadi
Kuna moja nimeangalia anasema amechukua uamizi huo baada ya kugundua madhabahu hiyo haikua sahihi kwake
Haya, wenye imani zenu na pia je kisheria hili lipoje
Soma: Sio kosa mtu kuchoma mali yake
Nabii sio wa kwanza kwa mtumishi, usemee alipitia tyuuh.Utakuta mtu ashaliwa marinda
Ova