Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Inawezekana ila ataponaUnamaanisha Camara ana injury..?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inawezekana ila ataponaUnamaanisha Camara ana injury..?
Ndo manaakeSahv haya makanisa nayo ni kwenda kwa step tena kama unakipawa nyota yako inang'aa hawachelewi kukuunganisha kwenye mambo yao au wakutoe kafara
Kwani haiwezakani kubadilisha rangi...Kapewa gari nyeupe, Kachoma nyeusi.
How 🙄🙄
Utakuta mtu ashaliwa marinda
Ova
Ukute drama tu dogo anataka kuRelease nyimbo mpya apate attention tu.
Jamaa alipewa Jeneza lake, kashtukia deal.Amedai kuwa gari Gozbert amechoma hii gari aliyopewa na nabii mmoja Tz miaka 3+ iliyopita kwa sababu “HAIKUTOKA KWENYE MADHABAHU SAHIHI” na “HAIKUMPENDEZA MUNGU.”
View attachment 3213298
Mtu mzima akiaanza kutamka "madhabahu" mara "malango" unajua kabisa hawa ni mateka wa akili!
Unaamini kabisa nyota inaweza kuibiwa kama bakuli!
Atapata wapi hiyo million 2 na tayari anadai nyota yake imesepa na nabii,, asitufanye watu ni wajinga bwana Kuna mengi nje ya pazia anayaficha ila muda utasema.Wamkumbushe tu kurudisha na ile milioni2 aliyopewa kwajili ya mafuta na kuwekea tairi mpya😄,. Kwanza kachoma gari nyeusi wakati aliyopewa sikuile kanisani ilikuwa silver...
Sitashangaa kama ni kiki kwasabu alipotea mda mrefu ukute anatafuta namna ya kutaka kusikika tena,. Wasanii wabongo tunawafamu vizuri sana
That is my question. Ujinga na ushirikina ni ndugu wa damuWe unaamini kabisa mtu an nyota?
VyoteHivi lile lijamaa ile ni rangi yake au huwa linajikoboa usoni
Na nyie msiaminiane tu.Aisee! Wakristo msipoaminiana sisi wapagani itakuwaje?
Goodluck Gozbert : nachoma gari moto sababu naona mavitu ya ajabu kwenye gariPumbavu kabisa huyo goodluck. Alaf hawa watu ndo wale ambao october wataweka tick kwenye ushungi na mawani
Mbona kachoma gari jeusi,?alipewa gari na tajiri anayejiita nabii pale Arusha, huwa kuna mashindano ya umisi kanisani kwake
View attachment 3213057