Mwanaume kupewa vitu vya bure bure haipendezi aisee jifunzeni kukataa
Wewe bwege nini kila kitu Duniani ni bure sema madalali wanatudalalia vitu tu ardhi ni bure,madini ni bure,maji bure,pumzi bure,chakula ni bure,
Hela haijawahi tengeneza natural resources ila watu walitengeneza hela Ili kucontrol vitu Ili wachache wajipe umiliki huko wengine wakikosa kwa kigezo hawana hela kumbe ni scam!!!!
Mimi hata ingekua shetani bin Iblis kanipa zawadi ya pumzi nisingekubali kuikataa sembuse gari kama huyo jamaa?
Mimi naamini mtu mwenye nguvu kiroho na yupo high advanced Consciousness hawezi tetereka na kuogopa chochote,
Eti nilipokea gari kutoka madhabahu fodingo
Fotooooo!!!😁
My friend nageuza Laana kua Baraka mpaka shetani aogope tena kunipa vitu maana hatapata return yeyote toka kwangu ni kama Mwamba unahonga Benz kwa demu na hujamla anakuja kuliwa na mwosha gari
Hahaha
Ubaya ubwela huyo Boya aache uoga na kuogopa kinyago cha mpapule wakati Mungu yupo upande wake na imeandikwa utakula vya adui zako na hawatakufanya kitu kama Israelites Wakaanani wakala kichapo na mali wakaporwa!
😁😁😁