Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeye kafuata masharti ya mganga wake ndio maana kalichoma moto...Anngeenda kuligawa hata kwenye taasisi za kusaidia jamii lingetumika katika harakati hizo angekuwa amefanya jambo la maana
Huyo nabii anakashifa nyingi sana na zote anazijua na ameshazizoea,kuna la kula mke wa mtu,kuna la kuwa yeye sio mtanzania ni mkongo kuna la kuwa mazabau yake ina mauza uzaHuyu nabii ana kashfa za uchawi na kafara
Yule mwanae Nisher inasemekana kuna mkono wake kwenye kile kifo
Huyo nabii anakashifa nyingi sana na zote anazijua na ameshazizoea,kuna la kula mke wa mtu,kuna la kuwa yeye sio mtanzania ni mkongo kuna la kuwa mazabau yake ina mauza uza
Wengi sana sana,na pale sadaka huwa zinazolewa kama taka taka,hela nyingi sanaNa bado ana wafuasi wengi tu huko kanisani
Nabii gani alimpatia hio gari.. ? 🤣 🤣 🤣
Ametisha lakini..
Kawaidaa sanaaakikubwa asiwe alibikolewa trump kaja vipya
Naona ni wewe tu peke yako uliyegundua kwamba ni feki.Angalia vizuri kuna hatua wameivuka...hatuoni walivyowasha moto hadi kuungua...kwanini wameikata video
Ni benzi kumbukaKama alikua haitaki tena nini asingeifanya hiyo gari kuwa ambulance ya kubebea wagonjwa. Kuichoma ilikuwa ndo suluhisho?
We falla hujambo lkn?Naona ni wewe tu peke yako uliyegundua kwamba ni feki.
Fala mwenyeweWe falla hujambo lkn?
Mambo ya content creation , naona anawaiga Jay z na Kanye west walivyolibonda bonda lile gari ili walitumie ku shoot video.Kuna video zinasambaa huko Yotube na ticktok ikionesha muimbaji wa Injili akichoma gari la alilopewa na mtumishi/mchungaji kama zawadi
Kuna moja nimeangalia anasema amechukua uamizi huo baada ya kugundua madhabahu hiyo haikua sahihi kwake
Haya, wenye imani zenu na pia je kisheria hili lipoje
Acha makasiriko jirani au jina linakuchenga😅Fala mwenyewe