Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rangi ya gari iliyochomwa hata muundo wa body yake vinatofautiana.alipewa gari na tajiri anayejiita nabii pale Arusha, huwa kuna mashindano ya umisi kanisani kwake
View attachment 3213057
Wakristo ni wapumbavu kama waislamuKuna video zinasambaa huko Yotube na ticktok ikionesha muimbaji wa Injili akichoma gari la alilopewa na mtumishi/mchungaji kama zawadi
Kuna moja nimeangalia anasema amechukua uamizi huo baada ya kugundua madhabahu hiyo haikua sahihi kwake
Haya, wenye imani zenu na pia je kisheria hili lipoje
NAKAZIA...Watahangaika sana untill they find out that Religion is a scam.
Mitume na manabii ya ccm hiyo mapandikizi ya TISS nkNaomba niulize Hawa manabii na mitume mithili ya mwamposa walo hata ulaya au ni afrika tu
Nini kimefanya uone ni fake? Tupe maelezoHakuna mbongo mwenye ubavu wa kuchoma gari..hiyo ni video fake...ras
Geo Davie sio mchungaji bali ni nabii mkuu, hebu acha kumuweka nabii mkuu katika kundi la akina Shaboka.Mchungaji wake GEODAVIE!
Ndiyo anarudi kivingine 😄Huyo muimbaji amepotelea wapi kwanza
GeoDevi yule wa ArushaNabii gani alimpatia hio gari.. ? 🤣 🤣 🤣
Ametisha lakini..
Angalia vizuri kuna hatua wameivuka...hatuoni walivyowasha moto hadi kuungua...kwanini wameikata videoNini kimefanya uone ni fake? Tupe maelezo
Kwani ali Pdidiwa?Kuna video zinasambaa huko Yotube na ticktok ikionesha muimbaji wa Injili akichoma gari la alilopewa na mtumishi/mchungaji kama zawadi
Kuna moja nimeangalia anasema amechukua uamizi huo baada ya kugundua madhabahu hiyo haikua sahihi kwake
Haya, wenye imani zenu na pia je kisheria hili lipoje
Nimeelewa gari aliyopewa ilikuwa nyeupe, iliyochomwa ni nyeusi.Mambo ni moto
alipewa gari na tajiri anayejiita nabii pale Arusha, huwa kuna mashindano ya umisi kanisani kwake
View attachment 3213057