NABII MTARAJIWA
JF-Expert Member
- Sep 11, 2024
- 425
- 609
Ni Afroka tu kwenye ujinga na umasikiniNaomba niulize Hawa manabii na mitume mithili ya mwamposa walo hata ulaya au ni afrika tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni Afroka tu kwenye ujinga na umasikiniNaomba niulize Hawa manabii na mitume mithili ya mwamposa walo hata ulaya au ni afrika tu
Kwahiyo majirani ruksa kutukanana?Acha makasiriko jirani au jina linakuchenga😅
Au itakuwa ni mwamposa Nini ?Nabii gani alimpatia hio gari.. ? 🤣 🤣 🤣
Ametisha lakini..
Kwa maelezo yao ile sio biashara ni huduma ya kiroho.3. Kuchafua Biashara za watu (unabii)
Hivi hili linaweza kuunganishwa na uharibifu wa mali eeeeh?Ni kosa kisheria, atafutwe na afungwe.
Kanisa litabaki moja tu, Kanisa Takatifu Katoliki la Mitume (siyo hawa mitume akina GeorDavie and the like). Huko hukuti mambo ya kuibiana nyota!
Kizazi cha vijana wa siku hizi wanahesabu kama zali na tena anaye kupa ni mwanaume mwenzako.....Mwanaume kupewa vitu vya bure bure haipendezi aisee jifunzeni kukataa
Unamaanisha Camara ana injury..?GG
Sema tukimuwahi anapona huyu.
Lakini wengi wlimuonya akshupaza shingoHayo maneno (bolded) yana maana kubwa kiroho. Labda alitaka kutolewa kafara na ameushtukia mchezo. Kuna mambo mengi ya giza kwa baadhi ya hawa mitume na manabii 🚮