Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Khalid bin Walid, maarufu kama "Upanga wa Mwenyezi Mungu," alijulikana kwa ushujaa wake katika vita. Alipigana vita zaidi ya mia moja na hakuwahi kushindwa. Lakini licha ya umahiri wake vitani, alikufa kitandani akiwa na huzuni kwa sababu alitarajia kufa shahidi vitani.
Inasemekana kwamba kabla ya kufariki, Khalid alisema:
“Nimepigana vita vingi, na hakuna hata sehemu moja mwilini mwangu isipokuwa imejeruhiwa na panga, mshale, au mkuki, lakini hapa niko, ninakufa kitandani kama ngamia anavyokufa. Lakini macho ya woga hayatulii kamwe.”
Maneno haya yanaonyesha huzuni yake kwa kutokufa shahidi, licha ya mapambano yake mengi vitani. Hata hivyo, alikubali kwamba mwisho wake ulikuwa mikononi mwa Mungu, na kifo chake kilikuwa kinyume na matarajio yake ya kufa vitani.
Hivi dunia inaendeshwa kama gari??Mingu anakufa? Alipokufa dunia aliendesha nani? Wewe kweli akili maji
Umemsikia Mjukuu wa Mtume Bin Salman alivyosema? Je yeye anapenda kudhulumiwa au Waislam wenzake kudhulmiwa?Sisi hatumpiganii Mungu ila tunafuata mafundisho kwamba tusiwe wanyonge katika kupigania haki, atakae leta ujinga kwenye haki yetu kichwa halali yetu, muislam hatakiwi kukubali kudhulumiwa by any means
Ila Tz bwana hakunaga tofauti ya Profesa na Class 7.Muislamu au muarabu? Muislamu strong bongo ni sheikh Ponda tu wengine wote mbwa koko tu kama watz wengine hatunaga tofauti kuanzia profesa hadi mkulima kule matombo wote kikilia twakimbilia uvunguni tunablidi kama kawa
Mkuu mimi hao wayahudi tukienda kwa misingi ya dini zote kama nyie mnavyoaminiMkuu mbona sabato wanaitunza?
Wewe ndie unasifia kufa vitani, nenda hapo Msumbiji tu, waislamu wenzako wanapigana hapo. Wewe hutaki mito ya pombe na mabikira 72?Na wewe ingia chadema utekwe utupwe porini
Acha uongo. Nimeishi Tel Aviv na nimekaa Jerusalem kwa miaka kadhaa.Mkuu mimi hao wayahudi tukienda kwa misingi ya dini zote kama nyie mnavyoamini wanakatwa ,wengi wao ni mashonga wakubwa🤔 hii sijui imekaaje hata ninapo ishi mashoga wengi wana asili ya kiyahudi🤔
Kahaba yupi tena?Kumbe huyu kahaba wa kigunya ana akaunti nyingi hapa JF ?
Wayahudi wengi wanaunga mkono harakati za kibwabwa unakataa?🤣🤣🤣🤣Acha uongo. Nimeishi Tel Aviv na nimekaa Jerusalem kwa miaka kadhaa.
Hicho unachosema sio halisi.
Labda useme hao unaowajua ni Wayahudi wa wapi.
Wapi huko unapoishi?Mkuu mimi hao wayahudi tukienda kwa misingi ya dini zote kama nyie mnavyoamini wanakatwa ,wengi wao ni mashonga wakubwa🤔 hii sijui imekaaje hata ninapo ishi mashoga wengi wana asili ya kiyahudi🤔
Kipindi kile mbona mlikubali kudhulumiwa zile mali zenu vikiwemo viwanja pale chang'ombe? Sheikh ponda aliitisha maandamano mkaandamana siku mbili tu mkaacha. Sasa hivi lile eneo limeuzwa imekua yardSisi hatumpiganii Mungu ila tunafuata mafundisho kwamba tusiwe wanyonge katika kupigania haki, atakae leta ujinga kwenye haki yetu kichwa halali yetu, muislam hatakiwi kukubali kudhulumiwa by any means
Imamu hussen huwa ni nan?Wapi huko unapoishi? Zenji au pemba ambapo 95% hawana marinda?
Waarabu , wayahudi , hizo mambo wote ni asili yao .Wapi huko unapoishi? Zenji au pemba ambapo 95% hawana marinda?
Hata Bongo wapo wanaounga wengine wameenda kwa pididyWayahudi wengi wanaunga mkono harakati za kibwabwa unakataa?🤣🤣🤣🤣
Shekh Ponda ni Mtumishi wa Mungu aliyehai.Kipindi kile mbona mlikubali kudhulumiwa zile mali zenu vikiwemo viwanja pale chang'ombe? Sheikh ponda aliitisha maandamano mkaandamana siku mbili tu mkaacha. Sasa hivi lile eneo limeuzwa imekua yard
Wa arabu na wayahudi wote hayo ni mambo yao ila kwetu sisi watu weusi hizo harakati ni haramu tangu kale ya kemeti 🤔Hata Bongo wapo wanaounga wengine wameenda kwa pididy