Muislam kufa vitani ni ushujaa mkubwa

Muislam kufa vitani ni ushujaa mkubwa

Shekh Ponda ni Mtumishi wa Mungu aliyehai.
Sheikh ponda ndiye muislamu anayeishi haya wanayozungumza wa humu. Sio muoga kabisa, enzi za JK aliwahi kupigwa risasi akiwa kwenye mihadhara ya kutetea waislamu.

Wengine waliobaki hasa humu ni keyboard warriors. Ponda alipambana mali za waislamu zisichukuliwe lakini akakosa support ya waislamu. Wakatoliki hawana sera ya jino kwa jino lakini huwezi kuchukua au kudhulumu mali yao, lakini hawa waislamu maneno mengi vitendo sifuri
 
Imamu hussen huwa ni nan?
Ni kipenzi chetu cha dhati mkombozi wa uislamu na waislam kupitia yeye tumepewa Tawfiq/Tawfeek (the ability and opportunity to succeed) na tuna uhakika wa jannah na firdaus.

Aendelee kufanyiwa wepes na kupewa qauli thabeet kipenzi chetu cha dhati Imaam Hussein Ibn Ali A.S the grandson of the prophet, son of Ali the prophet's cousin, son of Fatima the prophet's daughter, brother to Hassan and the father to Imaam Ali peace be upon him.

Malaria 2

Nyau de adriz

20241021_114920.jpg
 
Ni kipenzi chetu cha dhati mkombozi wa uislamu na waislam kupitia yeye tumepewa Tawfiq/Tawfeek (the ability and opportunity to succeed) na tuna uhakika wa jannah na firdaus.

Aendelee kufanyiwa wepes na kupewa qauli thabeet kipenzi chetu cha dhati Imaam Hussein Ibn Ali A.S the grandson of the prophet, son of Ali the prophet's cousin, son of Fatima the prophet's daughter, brother to Hassan and the father to Imaam Ali peace be upon him.

Malaria 2

Nyau de adriz

View attachment 3131450
Naomba ilimu, kati ya mtume Muhammad na imamu Hussein nani mkombozi wa uislamu?
 
Sheikh ponda ndiye muislamu anayeishi haya wanayozungumza wa humu. Sio muoga kabisa, enzi za JK aliwahi kupigwa risasi akiwa kwenye mihadhara ya kutetea waislamu.

Wengine waliobaki hasa humu ni keyboard warriors. Ponda alipambana mali za waislamu zisichukuliwe lakini akakosa support ya waislamu. Wakatoliki hawana sera ya jino kwa jino lakini huwezi kuchukua au kudhulumu mali yao, lakini hawa waislamu maneno mengi vitendo sifuri
Kama chadema, wanatekwa tu
 
Naomba ilimu, kati ya mtume Muhammad na imamu Hussein nani mkombozi wa uislamu?
Allah alimtanguliza Mtume Muhammad kuandaa au kumuandalia njia Imaam Hussein. Kaka yake Imaam Hussein Hassan alipozaliwa mtume Muhammad akasema siyo mwenyewe. Naam alipozaliwa kipenzi chetu cha dhati Imaam Hussein Mudi alikuwepo akamtwaa na kumuambi Ali na binti yake naam huyu ndo mwenyewe Allah kamtuma mkombozi wa uislamu na waislam. Mtume akamchukua amini usiamini Imaam wetu hakuwahi kunyonya titi la mama yake bali alinyonya ulimi wa Mudi kwa muda wa miaka miwili.

Malaria 2

Nyau de adriz

20241021_114920.jpg
 
Sisi hatumpiganii Mungu ila tunafuata mafundisho kwamba tusiwe wanyonge katika kupigania haki, atakae leta ujinga kwenye haki yetu kichwa halali yetu, muislam hatakiwi kukubali kudhulumiwa by any means
Nyie uwa mnadhulumiwa nini kila sehemu?.
Mfn:naijeria imemdhulumu nani?.
haijachukua ardhi ya mtu.
waislam mna haki ya ku- practice Cult yenu bila bugudha.
tena,baadhi ya majimbo mmepewa haki kamili ha kuweka Sharia.
Lakini,as I speak now, Naijeria inapita kwenye Tanuru la Moto, inapata cha mtema kuni kutoka kwenu.
nyie ni Kansa katika hii dunia.
 
Allah alimtanguliza Mtume Muhammad kuandaa au kumuandalia njia Imaam Hussein. Kaka yake Imaam Hussein Hassan alipozaliwa mtume Muhammad akasema siyo mwenyewe. Naam alipozaliwa kipenzi chetu cha dhati Imaam Hussein Mudi alikuwepo akamtwaa na kumuambi Ali na binti yake naam huyu ndo mwenyewe Allah kamtuma mkombozi wa uislamu na waislam. Mtume akamchukua amini usiamini Imaam wetu hakuwahi kunyonya titi la mama yake bali alinyonya ulimi wa Mudi kwa muda wa miaka miwili.

Malaria 2

Nyau de adriz

View attachment 3131463
Umeeleza vizuri, ahsante sana kwa ilimu
 
Propaganda za wakiristo hizo. Ones have picha mtoto 1 tu aliechomwa moto humu. Lete picha moja jf yenye ushahidi wa maneno yako
 

Attachments

  • Screenshot 2024-10-21 121110.png
    Screenshot 2024-10-21 121110.png
    729 KB · Views: 2
  • F8FhTSNXsAAR9Aw.jpeg
    F8FhTSNXsAAR9Aw.jpeg
    144 KB · Views: 2
Chadema wao kufia kwenye harakati au vitani sio ushujaa
Muislamu kufia kwenye vita ni ushujaa, hivyo nilitegemea mngefia pale kwenye zile mali zenu enzi za JK.
Chadema wanatekwa kama kuku viranga
 
Khalid bin Walid, maarufu kama "Upanga wa Mwenyezi Mungu," alijulikana kwa ushujaa wake katika vita. Alipigana vita zaidi ya mia moja na hakuwahi kushindwa. Lakini licha ya umahiri wake vitani, alikufa kitandani akiwa na huzuni kwa sababu alitarajia kufa shahidi vitani.

Inasemekana kwamba kabla ya kufariki, Khalid alisema:

“Nimepigana vita vingi, na hakuna hata sehemu moja mwilini mwangu isipokuwa imejeruhiwa na panga, mshale, au mkuki, lakini hapa niko, ninakufa kitandani kama ngamia anavyokufa. Lakini macho ya woga hayatulii kamwe.”

Maneno haya yanaonyesha huzuni yake kwa kutokufa shahidi, licha ya mapambano yake mengi vitani. Hata hivyo, alikubali kwamba mwisho wake ulikuwa mikononi mwa Mungu, na kifo chake kilikuwa kinyume na matarajio yake ya kufa vitani.
Sijasoma thread Yako lkn kichwa Cha bandiko kinatosha kukukosoa Moja kwa moja. Kama waislamu hawaogopi kifo hao kina snawar mbona walikua wakiishi mashimoni kama digidigi?? Unajua nyie mnakifanya masihara!! Naludia Tena hakuna binadamu asieogopa kifo chini ya jua
 
Sijasoma thread Yako lkn kichwa Cha bandiko kinatosha kukukosoa Moja kwa moja. Kama waislamu hawaogopi kifo hao kina snawar mbona walikua wakiishi mashimoni kama digidigi?? Unajua nyie mnakifanya masihara!! Naludia Tena hakuna binadamu asieogopa kifo chini ya jua
Tunaogopa kifo lakini tunakitarajia kwa mazingatio makubwa kuliko dini yeyote ile ndio maana hua tukikubaliana jambo tunatanguliza Inshaallah.....kwasababu muda wowote it can happen
 
Kipindi kile mbona mlikubali kudhulumiwa zile mali zenu vikiwemo viwanja pale chang'ombe? Sheikh ponda aliitisha maandamano mkaandamana siku mbili tu mkaacha. Sasa hivi lile eneo limeuzwa imekua yard
Huo ni uzembe pia walifanya viongozi lakini serikali pia wanatuonea bila sababu ya msingi tuki react tunaonekana wakorofi wanajua kabisa mali ya waislam wanaruhusu vipi hayo yatokee kama sio kuleta vurugu?
 
Kabla ujio wa Uislamu, kulikua na miungu mingine ilijaribu kufuta Wayahudi lakini ikashindikana, sasa nyie mnajitutumua sehemu ambapo wengine wote walishindwa.
 
Back
Top Bottom