Execute
JF-Expert Member
- Sep 21, 2022
- 3,000
- 7,336
Hizi ni stori tu maana mimi nimekula kitimoto kwenye mahoteli makubwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizi ni stori tu maana mimi nimekula kitimoto kwenye mahoteli makubwa.
kusoma nilisha maliza zamani ila sijasomea kilimoJe wewe una weza kusoma kozi za kilimo?
Ok,sawa hoja ni je mwislam daktar wa wanyama anaweza kutibu nguruwe au itabidi aache taaluma yake asimamie imani yake?kusoma nilisha maliza zamani ila sijasomea kilimo
haruhusiwi. wanyama wakuwatibu wapo kibao.muisilamu haruhusiwi kukaribia huyo mdudu Alie laaniwa na munguOk,sawa hoja ni je mwislam daktar wa wanyama anaweza kutibu nguruwe au itabidi aache taaluma yake asimamie imani yake?
Ni mtihan wake wa mwisho chuon atafany nn?haruhusiwi. wanyama wakuwatibu wapo kibao.muisilamu haruhusiwi kukaribia huyo mdudu Alie laaniwa na mungu
Hawana fedha mifukoni ndiyo maana kila siku kuna mada za ajabu ajabuWaacheni sasa jamani mwee
UmejuajeHawana fedha mifukoni ndiyo maana kila siku kuna mada za ajabu ajabu
vyoni hawafundishwi kumtibu nguruetu labda Kama unaongelea vyuo vya dini.Ni mtihan wake wa mwisho chuon atafany nn?
Kama unazo shughuli zako za kukupatia fedha kweli utajali au kama muislamu anatibu nguruwe au la?Umejuaje
Angalia National Geographic Chanelle utakukuja kukana maneno hayaHata simba na paka naamini hawali, je nao hawawatibu? Kutokula siyo uadui.
Hayo mahotel yatakuwa yameingiza kwa utaratibu maalumu. Hata zenji kwenye hotel kubwa kubwa kama serena utakutana na kitimoto safi kabisaHizi ni stori tu maana mimi nimekula kitimoto kwenye mahoteli makubwa.
Kwa Mtu ambae alieajiriwa, sekta rasmi, hutambulika hata imani yake.Ni mtihan wake wa mwisho chuon atafany nn?
Heshimu imani ya mwengine ili imani yako pia iheshimuwe usiongee kufurahisha kijiwe bila kujua athari ya maneno unayoyazungumza.Ukweli Waislamu ni wapenzi wa mnyama Nguruwe akiumwa wanasikitika sana.
Samahani mkuu, naomba kufahamu hivi uharamu wa huyo mnyama unatokana na nini. Nahitaji kuipata hii elimu aisee.Heshimu imani ya mwengine ili imani yako pia iheshimuwe usiongee kufurahisha kijiwe bila kujua athari ya maneno unayoyazungumza.
fikri kabla ya kuandika/ kusema.
Kulingana na Uislamu vitu vinaharamishwa kwa sababu nyingi; ima kwa hekima, au bila hekima ikiwa ni sehemu ya mitihani na kupimwa viumbe utiifu wao, na kwa hekima mfano ni vichafu au vina madhara. Ikiwa kitu chochote kina madhara kinakuwa haraam; na kikiwa kina manufaa kinakuwa halaal; na kikiwa madhara yake ni makubwa kuliko manufaa kitakuwa ni haraam; ilhali madhara yake yakiwa ni kidogo kuliko manufaa kinakuwa ni halaalSamahani mkuu, naomba kufahamu hivi uharamu wa huyo mnyama unatokana na nini. Nahitaji kuipata hii elimu aisee.
Hapa mtu ata ruka tu ila chuoni hilo hawalitambui kabsaKama unazo shughuli zako za kukupatia fedha kweli utajali au kama muislamu anatibu nguruwe au la?
Uharamu wa huyo mdudu ji nyama yake tu ila yeye mwenyewe na mchuzi wake ruksa