Muislamu anaweza kutibu nguruwe?

Muislamu anaweza kutibu nguruwe?

Full charge

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2018
Posts
1,678
Reaction score
1,617
Poleni na majukumu wakuu.

Niende kwenye mada,hivi dakitari wa wanyama (vet) Muislam ana ruhusiwa kutibu nguruwe?

Kama hapana, je pale vyuo vya kilimo huwa naona wakifuga wanyama tofauti tofauti akiwemo na nguruwe au taaluma haina dini?

Kama ndiyo basi daktari hatakiwi kuwa na itikadi ya dini yoyote kwa maana hakuna kitabu cha dini yotote kinachoruhusu kula nguruwe ila kama mimi sijaelewa basi naomba wajuvi wa mambo haya mnisaidie[emoji120]
 
Nimesoma mifugo na waislam wanamshika nguruwe vizuri sana na wanamtibu na kumwosha kabisa,wengine walienda mbali zaid wakamla sio mara moja na si mmoja na walikiri huyu mdudu wanamsingizia hana makosa yoyote
Ila nguruwe alichowafanya mwaazilishi wa dini hiyo nadhani ni tukio kubwa sana ambalo hawawezi lisahau maisha... mana bora waumini wale paka kuliko kula nguruwe.

#MaendeleoHayanaChama
 
Poleni na majukumu wakuu.
Niende kwenye mada,hivi dakitari wa wanyama (vet) muislam ana ruhusiwa kutibu nguruwe?

kama hapana je pale vyuo vya kilimo huwa naona wakifuga wanyama tofauti tofauti akiwemo na nguruwe au taaluma haina dini?

Kama ndiyo basi daktari hatakiwi kuwa na itikadi ya dini yoyote kwa maana hakuna kitabu cha dini yotote kinacho ruhusu kula nguruwe ila kama mimi sijaelewa basi naomba wajuvi wa mambo haya mnisaidie[emoji120]
IMG-20221113-WA0017.jpg
 
Nimesoma mifugo na waislam wanamshika nguruwe vizuri sana na wanamtibu na kumwosha kabisa,wengine walienda mbali zaid wakamla sio mara moja na si mmoja na walikiri huyu mdudu wanamsingizia hana makosa yoyote
[emoji16][emoji16][emoji119][emoji119]mi simo
 
Nguruwe haliwi, ni haramu! Nguruwe ni mnyama mchafu sana anayefugwa huko vijiji, anaishi kwa kula vitu vya ajab ajab tu!
Kitimoto ni nyama ya nguruwe na hiyo ni safi mno, ikiandaliwa vyema hasa rost kwa ndizi ama ugali basi huondoa stress za njaa na mawazo!
Tuendelee kula kitimoto!!
 
Back
Top Bottom