Full charge
JF-Expert Member
- Mar 1, 2018
- 1,678
- 1,617
Poleni na majukumu wakuu.
Niende kwenye mada,hivi dakitari wa wanyama (vet) Muislam ana ruhusiwa kutibu nguruwe?
Kama hapana, je pale vyuo vya kilimo huwa naona wakifuga wanyama tofauti tofauti akiwemo na nguruwe au taaluma haina dini?
Kama ndiyo basi daktari hatakiwi kuwa na itikadi ya dini yoyote kwa maana hakuna kitabu cha dini yotote kinachoruhusu kula nguruwe ila kama mimi sijaelewa basi naomba wajuvi wa mambo haya mnisaidie[emoji120]
Niende kwenye mada,hivi dakitari wa wanyama (vet) Muislam ana ruhusiwa kutibu nguruwe?
Kama hapana, je pale vyuo vya kilimo huwa naona wakifuga wanyama tofauti tofauti akiwemo na nguruwe au taaluma haina dini?
Kama ndiyo basi daktari hatakiwi kuwa na itikadi ya dini yoyote kwa maana hakuna kitabu cha dini yotote kinachoruhusu kula nguruwe ila kama mimi sijaelewa basi naomba wajuvi wa mambo haya mnisaidie[emoji120]