Mukwala ni striker butu sana Simba iangalie namna nyingine dirisha dogo

Mukwala ni striker butu sana Simba iangalie namna nyingine dirisha dogo

Mwishokambi

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2020
Posts
390
Reaction score
1,425
Kiukweli Mukwala kuchezea Simba ni hatari sana kwa usalama wa timu yetu, sio striker mkali kivile, Mukwala hamfikii hata robo huyo Baleke anayetemwa Yanga, Mukwala hamfikii hata Freddy Michael Funga Funga, leo amedhihirisha wazi kabisa kuwa hata robo hamfikii Herieth Makambo wala Yakuba Sogni.

Mukwala sio asset, Mukwala ni Liability, Simba itafute striker mwingine dirisha dogo huyu ameprove failure kabisa.

Mzunguko wa pili mgumu sana tunahitaji striker kweli kweli na sio huyu
 
Kiukweli Mukwala kuchezea Simba ni hatari sana kwa usalama wa timu yetu, sio striker mkali kivile, Mukwala hamfikii hata robo huyo Baleke anayetemwa Yanga, Mukwala hamfikii hata Freddy Michael Funga Funga, leo amedhihirisha wazi kabisa kuwa hata robo hamfikii Herieth Makambo wala Yakuba Sogni.

Mukwala sio asset, Mukwala ni Liability, Simba itafute striker mwingine dirisha dogo huyu ameprove failure kabisa.

Mzunguko wa pili mgumu sana tunahitaji striker kweli kweli na sio huyu
Dirisha dogo linaanza lini
 
Kiukweli Mukwala kuchezea Simba ni hatari sana kwa usalama wa timu yetu, sio striker mkali kivile, Mukwala hamfikii hata robo huyo Baleke anayetemwa Yanga, Mukwala hamfikii hata Freddy Michael Funga Funga, leo amedhihirisha wazi kabisa kuwa hata robo hamfikii Herieth Makambo wala Yakuba Sogni.

Mukwala sio asset, Mukwala ni Liability, Simba itafute striker mwingine dirisha dogo huyu ameprove failure kabisa.

Mzunguko wa pili mgumu sana tunahitaji striker kweli kweli na sio huyu
Ulishawahi kucheza mpira mkuu?
 
Id yako sijawahi kuiona ikipost mambo ya simba wala kukomenti kwenye threads za simba we ni yanga a.k.a utopolo toa huo mwiko nyuma kwanza ndo ukomenti.

Mukwala tuko naye na tunatamba naye haachwi mtu deal na litimu lako acha shobo na ugasho ungali mtoto mdogo hata meno wala v×z× hujaanza kunyoa.
 
Wewe ni mtu unaye itakia mema timu yako, Mbumbumbu wengi hawaoni timu inavyo pata Matokeo kwa njia za panya.

Muda usio na Jina mambo yataharibika ata iyo nafasi ya pili wataikosa ndipo watakapo shtuka.
Muda si mrefu wata kuja na nyimbo za kuhamia Burundi.
 
Id yako sijawahi kuiona ikipost mambo ya simba wala kukomenti kwenye threads za simba we ni yanga a.k.a utopolo toa huo mwiko nyuma kwanza ndo ukomenti.

Mukwala tuko naye na tunatamba naye haachwi mtu deal na litimu lako acha shobo na ugasho ungali mtoto mdogo hata meno wala v×z× hujaanza kunyoa.
Lengo wamchukue wao yanga
 
Kukosa uvumilivu kumetupotezea wachezaji wa maana Simba

Sikuona haja ya kuwaacha willy essomba onana, peter banda, duncan nyoni, na sasa kelele zinapigwa tuwaache joshua mutale na desse mukwala. Hivi yanga wasingekua wavumilivu aziz k angekua top scorer msimu uliopita? Hata ibrahim bacca alivumiliwa
Simba tujifunze kuwa wavumilivu.
 
Kiukweli Mukwala kuchezea Simba ni hatari sana kwa usalama wa timu yetu, sio striker mkali kivile, Mukwala hamfikii hata robo huyo Baleke anayetemwa Yanga, Mukwala hamfikii hata Freddy Michael Funga Funga, leo amedhihirisha wazi kabisa kuwa hata robo hamfikii Herieth Makambo wala Yakuba Sogni.

Mukwala sio asset, Mukwala ni Liability, Simba itafute striker mwingine dirisha dogo huyu ameprove failure kabisa.

Mzunguko wa pili mgumu sana tunahitaji striker kweli kweli na sio huyu
makelele tu, wewe unaweza?
 
Wewe ni mtu unaye itakia mema timu yako, Mbumbumbu wengi hawaoni timu inavyo pata Matokeo kwa njia za panya.

Muda usio na Jina mambo yataharibika ata iyo nafasi ya pili wataikosa ndipo watakapo shtuka.
Muda si mrefu wata kuja na nyimbo za kuhamia Burundi.
Hatuhitaji ushauri wako mr Uto
 
Back
Top Bottom