Yaani CV yangu iharibike kisa jirani kaniona kwenye kaangio la polisi?
"Kuna mtu alishawahi kuomba lift kwenye Difenda hakupewa? Kwanini wanapanda watuhumiwa tu?
Kwa mfano Difenda linakwenda Bunju, Tegeta, Kunduchu, Kitunda au Mwanagati, Kivule analiona kabisa limeandikwa Polisi na wewe unakwenda maeneo hayo kwanini usilisimamishe ukaomba lift?
Makubwa!Serikali yetu makini
Mbinguni huendiii[emoji3]Wanajeshi huwa naona wanasimamisha basi zao wanapakia wanafunzi wanaosubiri daladala ila hao washenzi hawawezi fanya hivyo. Kwanza wanaweza kuwaibia wanafunzi penseli zao na vichongeo.
Hilo gari lina kazi maalum, wewe angalia muundo wake tu. Basi tuombe lift kwenye gari la wagonjwa pia.
"Kuna mtu alishawahi kuomba lift kwenye Difenda hakupewa? Kwanini wanapanda watuhumiwa tu?
Kwa mfano Difenda linakwenda Bunju, Tegeta, Kunduchu, Kitunda au Mwanagati, Kivule analiona kabisa limeandikwa Polisi na wewe unakwenda maeneo hayo kwanini usilisimamishe ukaomba lift?
Hawaja kuomba no!? Kua mkweli Mungu anakuona!!Mwaka 2004 niliwahi omba lift gari ya police toka kijiji fulani ambapo usafiri ulikua gari moja tuu Mara 2 kwa siku
Nilifika salama na kwa haraka
Asante jeshi letu la police
Hahahaha.........😀😅huo ni mtego😂
View attachment 2517036
Hawaja kuomba no!? Kua mkweli Mungu anakuona!!
Ndoto zinatimia ama nirudi kulala.
"Kuna mtu alishawahi kuomba lift kwenye Difenda hakupewa? Kwanini wanapanda watuhumiwa tu?
Kwa mfano Difenda linakwenda Bunju, Tegeta, Kunduchu, Kitunda au Mwanagati, Kivule analiona kabisa limeandikwa Polisi na wewe unakwenda maeneo hayo kwanini usilisimamishe ukaomba lift?
Tatizo halina viti nyuma liko kama tenga unakaa kwenye sakafu yake huruhusiwi kusimama ukajishika kwenye bombaKwa mfano Difenda linakwenda Bunju, Tegeta, Kunduchu, Kitunda au Mwanagati, Kivule analiona kabisa limeandikwa Polisi na wewe unakwenda maeneo hayo kwanini usilisimamishe ukaomba lift?
Ndoto zinatimia ama nirudi kulala.
Jeshi la Polisi halitoi lifti kwenye difenda.
Huduma ya Polisi inatoa lift kwenye difenda.
Jeshi letu la Polisi likijiongeza na kuwa huduma ya Polisi ndoto itakuwa imetimia. Tutafurahi
Mwenyewe nimeshawahi kupata lift ya bus la jeshi kutoka Msangani (Kwa Mathias) mpaka Ubungo enzi hizo walinikuta njiani na jamaa zangu tunatoka site mvua inanyesha balaa wakasimama wakatupakia tukiwa tumelowa chapachapa.Enzi hizo tukiwa wanafunzi tumepanda sana magari yale marefu ya wanajeshi hapo kibaha,Mungu wabariki wanajeshi.
"Huyu kachero awajibishwe anataka kuchanganya mapenzi na kazi"
"Kuna mtu alishawahi kuomba lift kwenye Difenda hakupewa? Kwanini wanapanda watuhumiwa tu?
Kwa mfano Difenda linakwenda Bunju, Tegeta, Kunduchu, Kitunda au Mwanagati, Kivule analiona kabisa limeandikwa Polisi na wewe unakwenda maeneo hayo kwanini usilisimamishe ukaomba lift?
Wako poa sana mkuuMwenyewe nimeshawahi kupata lift ya bus la jeshi kutoka Msangani (Kwa Mathias) mpaka Ubungo enzi hizo walinikuta njiani na jamaa zangu tunatoka site mvua inanyesha balaa wakasimama wakatupakia tukiwa tumelowa chapachapa.
Hahahaha ndio maana mimi na difenda mbalimbali [emoji23]Wakikuona Mshana Jr kwenye difender ya police watazusha mengi, watasema umekamatwa kwa ulozi, au uzinzi, wizi, wasiokupenda wanaweza kudai wewe ni panya road. Kumbe umeomba lifti Chalinze kwenda Msata kilingeni.
Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
We wasikie tu wale sio watu, wakishavaa sare, au wakibeba smg kaa nao mbali,Hahahaha ndio maana mimi na difenda mbalimbali [emoji23]
Nyooòoooooo.....
"Kuna mtu alishawahi kuomba lift kwenye Difenda hakupewa? Kwanini wanapanda watuhumiwa tu?
Kwa mfano Difenda linakwenda Bunju, Tegeta, Kunduchu, Kitunda au Mwanagati, Kivule analiona kabisa limeandikwa Polisi na wewe unakwenda maeneo hayo kwanini usilisimamishe ukaomba lift?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanajeshi huwa naona wanasimamisha basi zao wanapakia wanafunzi wanaosubiri daladala ila hao washenzi hawawezi fanya hivyo. Kwanza wanaweza kuwaibia wanafunzi penseli zao na vichongeo.