Muliro: Msiogope kuomba lifti kwenye Difenda

Yaani CV yangu iharibike kisa jirani kaniona kwenye kaangio la polisi?

Kisa cha kuwatia heka heka ndugu zangu kusaka barua za dhamana kwa kisa cha kupewa lifti hayo magari yanayopeleka watuhumiwa porini kumalizana nao.....


Watubu kwanza
Kuwaamini polisi ni sawa na kutafuta bikra kwa sexual worker
 
Mzee huko Selo wateja wameisha? Naona upo kwenye kampeni ya kuongeza watuhumiwa kwenye sero zako.





Mimi hunipati. Ngashtukaaa
 
Wanajeshi huwa naona wanasimamisha basi zao wanapakia wanafunzi wanaosubiri daladala ila hao washenzi hawawezi fanya hivyo. Kwanza wanaweza kuwaibia wanafunzi penseli zao na vichongeo.
Mbinguni huendiii[emoji3]
 
Hilo gari lina kazi maalum, wewe angalia muundo wake tu. Basi tuombe lift kwenye gari la wagonjwa pia.
 
Ndoto zinatimia ama nirudi kulala.

Jeshi la Polisi halitoi lifti kwenye difenda.

Huduma ya Polisi inatoa lift kwenye difenda.

Jeshi letu la Polisi likijiongeza na kuwa huduma ya Polisi ndoto itakuwa imetimia. Tutafurahi
 
Kwa mfano Difenda linakwenda Bunju, Tegeta, Kunduchu, Kitunda au Mwanagati, Kivule analiona kabisa limeandikwa Polisi na wewe unakwenda maeneo hayo kwanini usilisimamishe ukaomba lift?
Tatizo halina viti nyuma liko kama tenga unakaa kwenye sakafu yake huruhusiwi kusimama ukajishika kwenye bomba
 
Jumatano ahsubui kesho I mean ...ntavizia ile gari kubwa ya polisi inayowapitia kwenye LINDO tofauti za bank.
 
Ndoto zinatimia ama nirudi kulala.

Jeshi la Polisi halitoi lifti kwenye difenda.

Huduma ya Polisi inatoa lift kwenye difenda.

Jeshi letu la Polisi likijiongeza na kuwa huduma ya Polisi ndoto itakuwa imetimia. Tutafurahi

Nimekuelewa☺☺
 
Enzi hizo tukiwa wanafunzi tumepanda sana magari yale marefu ya wanajeshi hapo kibaha,Mungu wabariki wanajeshi.
Mwenyewe nimeshawahi kupata lift ya bus la jeshi kutoka Msangani (Kwa Mathias) mpaka Ubungo enzi hizo walinikuta njiani na jamaa zangu tunatoka site mvua inanyesha balaa wakasimama wakatupakia tukiwa tumelowa chapachapa.
 
"Huyu kachero awajibishwe anataka kuchanganya mapenzi na kazi"
Defender sio Gari binafsi la askari Polisi na muda wote popote lionekanapo lipo kazini, sasa unaliomba lift wakati gani!?
 
Nimewai sindikizwa na defender tokea kitua cha police iyunga adi nyumban mitaa ya ikut sito sahau
 
Hahahaha ndio maana mimi na difenda mbalimbali [emoji23]
 
Nyooòoooooo.....

HATUPANDI NG'O
 
Wanajeshi huwa naona wanasimamisha basi zao wanapakia wanafunzi wanaosubiri daladala ila hao washenzi hawawezi fanya hivyo. Kwanza wanaweza kuwaibia wanafunzi penseli zao na vichongeo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…