Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 35,812
- 107,628
Mwizi na mchawi wote hawana akili. Furaha yao wakutese au kukutia hasara. Mwizi yupo tayari akuibie kitu aischokitumia..ilimradi aisirudi mikono mitupu.Halafu wakazifanyie nini [emoji23]
So polisi watafuata vimiamia walivyobakiza watotokwenye ubuyu wakikosa watapitia hata vichongeo ilimradi tu. Washenzi sana hawa watu, sijui roho za utu hua wanaziacha wapi