Kenya 2022 Multi Choice pekee kuchukua matangazo ya uapisho wa Rais Mteule Ruto na kusambaza kwa wengine

Kenya 2022 Multi Choice pekee kuchukua matangazo ya uapisho wa Rais Mteule Ruto na kusambaza kwa wengine

Kenya 2022 General Election
Duuuh! kumbe ni sirias,majuzi BBC wanamuuliza Ruto kama Uhuru jashampongeza,akasema bado.Jamaa inaonekana ana mengi moyoni,atawaonyeshea.
 
Udikteta unaanza kidogo kidogo. By the way, uapisho ni shughuli ya Ruto au serikali?
 
Safi sana Ruto.

Hilo liwe funzo Kwa vyombo vya habari hata hapa Tanzania.


Huwezi kumpendelea waziwazi mtu wakati wa Kampeni.

Alafu Et kwenye SHUGHULI ya usompenda , basi ndio usogeze pua yako.!!

You reap what you sow!!.
 
Udikteta unaanza kidogo kidogo. By the way, uapisho ni shughuli ya Ruto au serikali?
Hamna Cha udekteta.

Hata wewe mwenyewe, jifunze kuheshim watu bila kujalisha hali zao

Huwez mpa mtu Dharau kisa Hana, Alafu apate upeleke pua yako !!


Badilikeni Watanzania ... mkuki Kwa binadam haujawah kua mtamu !!.

Msijisahau!!
 
Hongera William ruto. tatizo la raila odinga lilianzia hapa. Sio Kila MTU anaweza kuwa swaiba wako wengine wamezaliwa na "NUKSI"
View attachment 2354194
Una maanisha Kenyata nae swahiba wa machadema amezaliwa na nuksi?

Alafu jameni[emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi mtu kashaiwekea familia na ukoo wake legacy ya kutoa rais wa nchi alafu wewe mnuka mkojo unasema ana nuksi?

Hivi kati ya jpm ambae familia yake inapata kila kitu na wewe ambae bado familia yako inashindwa kumudu mlo mmoja kwa siku nani ana nuksi?
 
Una maanisha Kenyata nae swahiba wa machadema amezaliwa na nuksi?

Alafu jameni[emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi mtu kashaiwekea familia na ukoo wake legacy ya kutoa rais wa nchi alafu wewe mnuka mkojo unasema ana nuksi?

Hivi kati ya jpm ambae familia yake inapata kila kitu na wewe ambae bado familia yako inashindwa kumudu mlo mmoja kwa siku nani ana nuksi?
Sajamaanisha Kenyatta nimesema raila odinga amejiingiza kwenye "NUKSI" Kwa kukubali kuwa na uswahiba na DIKTETA MAGUFULI au FASHISTI MAGUFULI. Kwa sababu hakuna mtz🇹🇿 asiejua kuhusu familia yao. Kingine mkuu MTU anaeshindia mlo mmoja ni ngumu kumuona humu JF. Hiyo simujanja anayotumia ni heri aiuze akale Milo mitatu kama wewe .
 
Kenya wamwpata walichokitaka.
Sisi tulishatoka wanakoelekea...poleni Wakenya.
MK254

Chanzo cha habari maana kitu kama hicho hakiwezi kutokea Kenya ninayoijua....nitashangaa...
 
Chanzo cha habari maana kitu kama hicho hakiwezi kutokea Kenya ninayoijua....nitashangaa...
Hiki hapa mkuu
Screenshot_20220912-114820_Instagram.jpg
 
kwa kua Binadamu hua haturidhiki na tulichonacho hio hua inapelekea kufanya maamuzi ya hovyo na baadae kusema bora tungebaki pale pale.

Kwani wakati wengine wanachaguliwa na kuruhusu Media zote kuonesha uapisho wao ina maana hakukua na waliokua wako upande mwingine ?

ila ngoja tusubiri tuone ...
 
Hamna Cha udekteta.

Hata wewe mwenyewe, jifunze kuheshim watu bila kujalisha hali zao

Huwez mpa mtu Dharau kisa Hana, Alafu apate upeleke pua yako !!


Badilikeni Watanzania ... mkuki Kwa binadam haujawah kua mtamu !!.

Msijisahau!!
Nimeuliza swali dogo, uapisho ni shughuli ya Ruto au Serikali?
 
kwa kua Binadamu hua haturidhiki na tulichonacho hio hua inapelekea kufanya maamuzi ya hovyo na baadae kusema bora tungebaki pale pale.

Kwani wakati wengine wanachaguliwa na kuruhusu Media zote kuonesha uapisho wao ina maana hakukua na waliokua wako upande mwingine ?

ila ngoja tusubiri tuone ...
 
Safi sana Ruto.

Hilo liwe funzo Kwa vyombo vya habari hata hapa Tanzania.


Huwezi kumpendelea waziwazi mtu wakati wa Kampeni.

Alafu Et kwenye SHUGHULI ya usompenda , basi ndio usogeze pua yako.!!

You reap what you sow!!.
kwahiyo ni mtu wa vinyongo?
 
Nilidhani aliyepo madarakani ndiye anaandaa shughuli za uapisho,

Inawezekanaje hajaapa huku kaanza kazi ikiwa hiyo ya kutoa kibali kwa atakayerusha matangazo ya uapisho.........!
 
Back
Top Bottom