Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kenya wanajitambua hawezi leta mambo ya KAMBALE, kule!!kule muhimili wa mahakama unajitegemea, na unaonekana kuwa hivyo.Wamempata jpm wao atawanyoosha Sana!!
"Rasimu ya WARIOBA irudi mezani sasa iwe katiba Mpya"
Hamna Cha udekteta.Udikteta unaanza kidogo kidogo. By the way, uapisho ni shughuli ya Ruto au serikali?
Una maanisha Kenyata nae swahiba wa machadema amezaliwa na nuksi?Hongera William ruto. tatizo la raila odinga lilianzia hapa. Sio Kila MTU anaweza kuwa swaiba wako wengine wamezaliwa na "NUKSI"
View attachment 2354194
Sajamaanisha Kenyatta nimesema raila odinga amejiingiza kwenye "NUKSI" Kwa kukubali kuwa na uswahiba na DIKTETA MAGUFULI au FASHISTI MAGUFULI. Kwa sababu hakuna mtz🇹🇿 asiejua kuhusu familia yao. Kingine mkuu MTU anaeshindia mlo mmoja ni ngumu kumuona humu JF. Hiyo simujanja anayotumia ni heri aiuze akale Milo mitatu kama wewe .Una maanisha Kenyata nae swahiba wa machadema amezaliwa na nuksi?
Alafu jameni[emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi mtu kashaiwekea familia na ukoo wake legacy ya kutoa rais wa nchi alafu wewe mnuka mkojo unasema ana nuksi?
Hivi kati ya jpm ambae familia yake inapata kila kitu na wewe ambae bado familia yako inashindwa kumudu mlo mmoja kwa siku nani ana nuksi?
Hiki hapa mkuuChanzo cha habari maana kitu kama hicho hakiwezi kutokea Kenya ninayoijua....nitashangaa...
Hiki hapa mkuuView attachment 2354290
Nimeuliza swali dogo, uapisho ni shughuli ya Ruto au Serikali?Hamna Cha udekteta.
Hata wewe mwenyewe, jifunze kuheshim watu bila kujalisha hali zao
Huwez mpa mtu Dharau kisa Hana, Alafu apate upeleke pua yako !!
Badilikeni Watanzania ... mkuki Kwa binadam haujawah kua mtamu !!.
Msijisahau!!
kwahiyo ni mtu wa vinyongo?Safi sana Ruto.
Hilo liwe funzo Kwa vyombo vya habari hata hapa Tanzania.
Huwezi kumpendelea waziwazi mtu wakati wa Kampeni.
Alafu Et kwenye SHUGHULI ya usompenda , basi ndio usogeze pua yako.!!
You reap what you sow!!.
wameanza kunadi shughuli za kiserikali!Nimeuliza swali dogo, uapisho ni shughuli ya Ruto au Serikali?