Kenya 2022 Multi Choice pekee kuchukua matangazo ya uapisho wa Rais Mteule Ruto na kusambaza kwa wengine

Kenya 2022 Multi Choice pekee kuchukua matangazo ya uapisho wa Rais Mteule Ruto na kusambaza kwa wengine

Kenya 2022 General Election
JIWE lingine limepatikana. Visasi vimeanza mapema hivi! Mjiandae ya kina Ouko yana rudi. Huyu hajaribiwi
 
Naona hamjaelewa mbona imetokea hivyo..ruto alionya media houses zote ziwe huru na kutoegemea upande mmoja ,kama vile citizen tv walifanya during election siding with azimio...na kama wataegemea upande mmoja wanapaswa kuwa fare..every media house must be independent ,they should not be the mouth piece of the government...wameachwa wajipange.

Sent from my SM-J810F using JamiiForums mobile app
 
kama mkenya wacha niwasaidie hapa
multichoice kenya is 40% kbc owned- ndio tu itakayochukua live feeds from stadium wengine wakitaka ata wewe kwa simu yako u will stream live via their link just like football matches. akina citizen ,ntv walikuwa openly biased mara mingi Ruto akiongea wananyonga sauti na wana split screen wanaonyesha azimios so ata kwa hii hafla who knows? maybe plan ilikuwa hio hio so Ruto amewaonea 18 hapa
 
Nilidhani aliyepo madarakani ndiye anaandaa shughuli za uapisho,

Inawezekanaje hajaapa huku kaanza kazi ikiwa hiyo ya kutoa kibali kwa atakayerusha matangazo ya uapisho.........!

Wengi hawajaelewa! Ni kwamba television zote zitachukulia taarifa kupitia multichoice /kbc kwa hiyo watakao kuwa uwanjani kufanya live coverage ni multichoice/kbc na kika atakae taka kurusha tukio kwenye tv yake basi atachukua kupitia K bc au multi choice!
 
Una maanisha Kenyata nae swahiba wa machadema amezaliwa na nuksi?

Alafu jameni[emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi mtu kashaiwekea familia na ukoo wake legacy ya kutoa rais wa nchi alafu wewe mnuka mkojo unasema ana nuksi?

Hivi kati ya jpm ambae familia yake inapata kila kitu na wewe ambae bado familia yako inashindwa kumudu mlo mmoja kwa siku nani ana nuksi?
Jiwe ana nuksi ya kuzaliwa, wahaya walimkataa akakimbilia kwa wasukuma.
 
HAMNA KITU KAMA HICHO..ULIOANDIKWA NI UONGO ..local channels wataonyesha na youtube channel zao mzigo utakuwepo. Kwanza shughuli ya kuapishwa inasimamiwa na utawala w Kenyatta na Bado hajakabidhiwa rasmi utawalawa nchi mpaka kesho aape.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Sijaelewa, mbona sasa hivi tv za kenya zinaonyesha nimeangalia hapa wa wakati tofauti citizen,ktn,ntv na k24
 
Oooh hatalipa kisasi, ooh huyu mtu hana makundi haya sasa mapeeema kaweka wazi asubuhiiii media block!.
 
Back
Top Bottom