Sasa kama unazadi ya pisi kali moja mwanamke kwenda show shida nini? Kwamba atat.ombwa? 🤣🤣🤣Aah sidhan kama na hela ilikuwepo hawez kua na pisi moja tu.
Maria bwana[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]!Siyo wa kifala ILA KUNA WANAUME HAWAJITAMBUI.... Unamkuta binti anapenda kuvaa vimini akipita lazima WAKWARE wageuke na wengine kupata mishtuko ya moyo, unamtongoza kwa kuvutiwa naye HIVYO ALIVYO, MASIKINI binti wa watu anakuelewa na kukubali.
Baada ya ndoa unaanza kumwekea masharti ya MAVAZI!!!!! Unafikiri wakati ananunua vimini hizo nguo ndefu HAKUZIONA????
MIJITU MINGINE ZERO BRAIN KABISA!!!!
Bila Threesome mzee hesabu bado haujabandua. Mwanaume unatakiwa kufunga ndoa na pesa tu, saka pesa, wekeza, bandua basiAh mzeya kumbe wewe ni mwanachama hai wa threesome🤣🤣🤣🤣🤣
[emoji23][emoji23] ila wee jamaa, haya bwana mzee wa mbususu.Sasa kama unazadi ya pisi kali moja mwanamke kwenda show shida nini? Kwamba atat.ombwa? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Aya kwani duniani mwanamke aliumbwa kwa ajili y nini kama sio hiyo kazi. Jingi tuu yule. Ata uoe sura personal bado watu watakugegedea tuu. Mbususu ni yake ana haki ya kumpa atakaye
Jibu hoja achaa kusingizia shida za Wanaume!!!Hata wanaume mna shida zenu msisingizie tu wanawake.
Maria anataka kusema ukishakutana nae Kwenye uchumba umwambie Sitaki Uvae Vimini. Inabidi atofautishe commitment za Uchumba na Commitment za Kwenye Ndoa.Maria bwana[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]!
Tofautisha maisha ukiwa single na ukiwa kwenye commitment. Huwezi kuishi ndani ya ndoa kama vile hujsoa/hujaolewa.
Na kuna mambo lazima mkutane katikati utake usitake, kuna utaacha kufanya ili muishi kwa amani, kuna utayofanya ili muendane ma mwenzako. Lazima zipo tabia utaziacha tu.
Unataka kuingia kwenye ndoa na mentality za usingo?
Dah...Ni vichaa tu ndiyo hupewa silaha....mtu mwenye akili timamu hawezi kumlenga mwanadam akafyatua risasi....na kamwe hawezi pewa silaha....ya nini? 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Tatizo la Kumilikisha Silaha Vichaa
Aaagh, aiseee..., kama ni hivyo, iliyakiwa amuongezee Magazine kabisa..Inasemwa Mondi alikuwa anakula hiyo kaziView attachment 2243587
MmmmhSiyo wa kifala ILA KUNA WANAUME HAWAJITAMBUI.... Unamkuta binti anapenda kuvaa vimini akipita lazima WAKWARE wageuke na wengine kupata mishtuko ya moyo, unamtongoza kwa kuvutiwa naye HIVYO ALIVYO, MASIKINI binti wa watu anakuelewa na kukubali.
Baada ya ndoa unaanza kumwekea masharti ya MAVAZI!!!!! Unafikiri wakati ananunua vimini hizo nguo ndefu HAKUZIONA????
MIJITU MINGINE ZERO BRAIN KABISA!!!!
Mwanamke wa hivi anaingia kwenye ndoa na uanaharakati wake anaishia kulimwa risasi saba kichwani. Kuna watu wamevurugwa sio poa.Maria anataka kusema ukishakutana nae Kwenye uchumba umwambie Sitaki Uvae Vimini. Inabidi atofautishe commitment za Uchumba na Commitment za Kwenye Ndoa.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Nimemaliza.
Lakini kumbuka Mke alikua na kazi yake ya upambaji,anakodishwa hadi huko shinyanga anapiga kazi hata siku tatu mfulululizo hajarudi home! Sasa huu wivu wa ghafla Mume kautoa wapi!!!??Hiyo ni akili?!!!
Yaani ulazimike kwenda kukesha kwenye shoo ya kipuuzi kisa mke analazimisha?
Na wao wameambiwa watii waume..
Na pia, tumeambiwa '..mume ni kichwa cha mkewe', meaning maamuzi ya mume ndo yanasimama!
Siungi mkono mauaji, lakini sikubaliani na mke kukaidi maelekezo ya mume.
Inaonyesha risasi ziliyeyusha mwili wake!Hili swala la kusema naye alijipiga risasi ila mwili haujaonekana linaacha maswali mengi mengi sana
Ni nani alishuhudia/alithibitisha jamaa kujipiga risasi?
Kwanini mwili/maiti yake isionekane?
Alijipiga wapi? Location
Je alijipiga risasi mara tu baada ya kumuua mkewe ama alichukua muda?
Je ni nani kathibitisha kuwa jamaa alijipiga risasi na kufa kabisa?
Je kama hakujipiga na kukimbia?
Ushauri mzuri kwa wanaume wanaojielewa.Bila Threesome mzee bado haujabandua. Mwanaume unatakiwa kufunga ndoa na pesa tu, saka pesa, wekeza, bandua basi
Kumbuka kila binadamu ana level yake ya ukichaa, kuna point ukimfikisha mtu anakubadilikia na kuwa zaidi ya mnyama. Unadhani wakipewa hizo silaha hawawaangalii mkuu?Dah...Ni vichaa tu ndiyo hupewa silaha....mtu mwenye akili timamu hawezi kumlenga mwanadam akafyatua risasi....na kamwe hawezi pewa silaha....ya nini? 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Yasikie kwa mwenzio omba yasikukute,kuna wengine wanakua weheuu kabisa na kujiuuwa wenyewe!!!Kama mtu hamuwezani temana nae. Ukiua unapata faida gani??
Ukute alikataa sasa, utajuaje..Kwanini wasingeenda wote mwanaume tumeshaambiwa tuishi nao wanawake kwa akili na sio mabavu, kwanini hakumshauri bibie waende wote shida ipo wapi kuna watu ni hasara sana kwa taifa
HahahaRafiki, pisi kali for show off tu, sio za kuweka ndani. Huko ndani kuna mikiki mingi, ukiongezea na pisi kali isiyotumia ubongo hutoboi hata 50 wallah!