Mume adaiwa kumuua mkewe kwa kumpiga risasi 7 kichwani, chanzo ni simu. Mume naye akutwa AMEFARIKI

Mume adaiwa kumuua mkewe kwa kumpiga risasi 7 kichwani, chanzo ni simu. Mume naye akutwa AMEFARIKI

Aah sidhan kama na hela ilikuwepo hawez kua na pisi moja tu.
Sasa kama unazadi ya pisi kali moja mwanamke kwenda show shida nini? Kwamba atat.ombwa? 🤣🤣🤣
Aya kwani duniani mwanamke aliumbwa kwa ajili y nini kama sio hiyo kazi. Jingi tuu yule. Ata uoe sura personal bado watu watakugegedea tuu. Mbususu ni yake ana haki ya kumpa atakaye
 
Siyo wa kifala ILA KUNA WANAUME HAWAJITAMBUI.... Unamkuta binti anapenda kuvaa vimini akipita lazima WAKWARE wageuke na wengine kupata mishtuko ya moyo, unamtongoza kwa kuvutiwa naye HIVYO ALIVYO, MASIKINI binti wa watu anakuelewa na kukubali.


Baada ya ndoa unaanza kumwekea masharti ya MAVAZI!!!!! Unafikiri wakati ananunua vimini hizo nguo ndefu HAKUZIONA????

MIJITU MINGINE ZERO BRAIN KABISA!!!!
Maria bwana[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]!

Tofautisha maisha ukiwa single na ukiwa kwenye commitment. Huwezi kuishi ndani ya ndoa kama vile hujsoa/hujaolewa.

Na kuna mambo lazima mkutane katikati utake usitake, kuna utaacha kufanya ili muishi kwa amani, kuna utayofanya ili muendane ma mwenzako. Lazima zipo tabia utaziacha tu.

Unataka kuingia kwenye ndoa na mentality za usingo?
 
Sasa kama unazadi ya pisi kali moja mwanamke kwenda show shida nini? Kwamba atat.ombwa? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Aya kwani duniani mwanamke aliumbwa kwa ajili y nini kama sio hiyo kazi. Jingi tuu yule. Ata uoe sura personal bado watu watakugegedea tuu. Mbususu ni yake ana haki ya kumpa atakaye
[emoji23][emoji23] ila wee jamaa, haya bwana mzee wa mbususu.
 
Maria bwana[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]!

Tofautisha maisha ukiwa single na ukiwa kwenye commitment. Huwezi kuishi ndani ya ndoa kama vile hujsoa/hujaolewa.

Na kuna mambo lazima mkutane katikati utake usitake, kuna utaacha kufanya ili muishi kwa amani, kuna utayofanya ili muendane ma mwenzako. Lazima zipo tabia utaziacha tu.

Unataka kuingia kwenye ndoa na mentality za usingo?
Maria anataka kusema ukishakutana nae Kwenye uchumba umwambie Sitaki Uvae Vimini. Inabidi atofautishe commitment za Uchumba na Commitment za Kwenye Ndoa.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Siyo wa kifala ILA KUNA WANAUME HAWAJITAMBUI.... Unamkuta binti anapenda kuvaa vimini akipita lazima WAKWARE wageuke na wengine kupata mishtuko ya moyo, unamtongoza kwa kuvutiwa naye HIVYO ALIVYO, MASIKINI binti wa watu anakuelewa na kukubali.


Baada ya ndoa unaanza kumwekea masharti ya MAVAZI!!!!! Unafikiri wakati ananunua vimini hizo nguo ndefu HAKUZIONA????

MIJITU MINGINE ZERO BRAIN KABISA!!!!
Mmmmh
 
Maria anataka kusema ukishakutana nae Kwenye uchumba umwambie Sitaki Uvae Vimini. Inabidi atofautishe commitment za Uchumba na Commitment za Kwenye Ndoa.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mwanamke wa hivi anaingia kwenye ndoa na uanaharakati wake anaishia kulimwa risasi saba kichwani. Kuna watu wamevurugwa sio poa.
 
Hiyo ni akili?!!!
Yaani ulazimike kwenda kukesha kwenye shoo ya kipuuzi kisa mke analazimisha?
Na wao wameambiwa watii waume..
Na pia, tumeambiwa '..mume ni kichwa cha mkewe', meaning maamuzi ya mume ndo yanasimama!
Siungi mkono mauaji, lakini sikubaliani na mke kukaidi maelekezo ya mume.
Lakini kumbuka Mke alikua na kazi yake ya upambaji,anakodishwa hadi huko shinyanga anapiga kazi hata siku tatu mfulululizo hajarudi home! Sasa huu wivu wa ghafla Mume kautoa wapi!!!??

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Hili swala la kusema naye alijipiga risasi ila mwili haujaonekana linaacha maswali mengi mengi sana
Ni nani alishuhudia/alithibitisha jamaa kujipiga risasi?
Kwanini mwili/maiti yake isionekane?
Alijipiga wapi? Location
Je alijipiga risasi mara tu baada ya kumuua mkewe ama alichukua muda?
Je ni nani kathibitisha kuwa jamaa alijipiga risasi na kufa kabisa?
Je kama hakujipiga na kukimbia?
Inaonyesha risasi ziliyeyusha mwili wake!
 
Dah...Ni vichaa tu ndiyo hupewa silaha....mtu mwenye akili timamu hawezi kumlenga mwanadam akafyatua risasi....na kamwe hawezi pewa silaha....ya nini? 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kumbuka kila binadamu ana level yake ya ukichaa, kuna point ukimfikisha mtu anakubadilikia na kuwa zaidi ya mnyama. Unadhani wakipewa hizo silaha hawawaangalii mkuu?
 
Ngoja niwapigie simu wale jamaa zangu wa " crimes of passion" watatupa full story
 
Back
Top Bottom