Mume adaiwa kumuua mkewe kwa kumpiga risasi 7 kichwani, chanzo ni simu. Mume naye akutwa AMEFARIKI

Ahadi yake ishafika mbeleyake nyuma yetu
 
Sasa we mtu mumeo anapiga simu mara 42 hupokei uko nje ya mji eti unadai umechoka!! yaani kuchukua simu hata basi kuiweka loud au headphone inakuwa shida !!? huyo alikuwa ananyanduliwa
Na wewe mwanaume unajielewa kabisa unapiga simu mara 42 unataka nini.?

Call her once, send an sms ya unachotaka kumwambia then mute..asipojibu mda akija home atatoa maelezo hadi ya ziada.
 
Hili suala wala halieleweki, mara alizima cm, mara calls 42, [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Tabu tupu woiiiiiih
 
.kwahyo na sisi mkitukuta tunaupenda tigo then nyie hamtoi,, ni ruhusa kuja na pisi ndani niile mzigo then iondoke c ndio?
 
Hili suala wala halieleweki, mara alizima cm, mara calls 42, [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Tabu tupu woiiiiiih
Ndio shida ya Stori za kuletewa kila mtu anaongea lake.
 
Diamond fahidi maisha na umaarufu kadri unavyoweza maisha hayana second chance kula bata kaka lahiti ningekuwa na umaarufu hata wa kingwendu tu mngenikoma
Angefanya nini kwa mfano if you were Kingwendu?
 
Hata mke anitukane matusi yote hakuna tusi jipya sio kumuua mtu,sasa unampiga mke risasi kwa vile huna nguvu za kumpiga vibao...ukiona mke hamuwezani achane nae uongeze siku za kuishi
jamaa ni jinga fulani ivi alidhani bastola ni toi
 
Na iyo potential cruelty.sijui of low quality.
Yaani bana ke akikuzidi hadhi yaani nakuambia unaweza ukamsalimia akaenda kuogea dawa kuwa ni mkosi.
Kuna demu alikuwa anasoma udbs akatokewa na jamaa aliyekuwa anasoma Soed aka ualimu. Nakuambia demu alichomjibu ni kuwa hujawaona walinu wenzako wote huko mpaka umekuja kwangu???
Yaani demu aliona Kama amepatwa na mkosi kutongozwa na mwalimu na huku haoni walimu ndio viongozi wa nchi.
Yaani mwalimu inabidi adanganye kozi yake ili amle demu.
Mshkaji wa hgl inabidi aende na kitabu Cha pure maths shule ya mademu.
Mie mwenyewe Kuna demu alikuwa anagonga masters ni ticha kitaluuma Sasa bana si akajua kuwa namie niko postgraduate Sasa alikuja kucheki Kaunta na kozi zimeandikwa code ya second year. Yaani nakuambia demu alitaka akaombewe kwa upako.
Mwanzoni alilegea nikamshika mapaja ,tukaongea maisha anavyosomesha wadogo zake.
Alikuwa na paja laini Ile mbaya Sasa alivyojua nakuambia hata salamu nikawa sipewi.
Yaani mie nimeoa wakati Sina hata mia.
Kuna mwingine nilimdanganya nimedisco second year to third akanipiga chini.
Yaani ke wa kuoa inabidi umuonyeshe magumu ama Tabia ngumu na mbaya uone Kama atakuvumilia ama atakuwa anakushauri Cha kufanya
 
Ww hujapewa sharti lolote huko uliko olewa!
ama unaongea tu bla bla!
Naona hamtaki kuelewa baadhi yenu!!!

Mweleze mtu UHALISIA AJUE RED and GREEN kabla haujaingia NAYE kwenye ndoa!!!! Wanaume wengi huficha standards zao hizo wakati wa UCHUMBA kwa kuhofia kuwa wataachwa!!!! Matokeo yake binti wa watu atajivalia zake vimini kama alivyoamua na kuamini ataendelea hivyo kwenye ndoa!!!

Jamani WANAWAKE NAO WATU NA WANA MITAZAMO YA VILE WANATAKA MAISHA YAO YA MBELENI YAWE!!!!

Kuna mwingine anatamani kuvaa vimini, kwenda clubs, kuhudhuria show za miziki, viti virefu, kusafiri kidogo kupumzika kama ana vijisenti vyake... SASA UTAKUTA MWANAUME ANAJUA KABISA AINA YA MWANAMKE ANAYEMTONGOZA ANA SIFA ZIPI lakini kwa kuwa wanaongozwa vilivyo kati ya mapaja yao na binti wa watu aliyeko mbele yake ana umbo ambalo kila akipita anachanganya wakware BASI MWANAUME HUYU ATAMRIDHIA HIVYO HIVYO ALIVYO...

Akishaingia tu kwenye ndoa na kumbebesha MIMBA BASI MASHARTI KIBAO... mara nguo hizi hapana, group flani za WhatsApp hapana, clubs hapana, yaani masharti KAMA YOTE YAANI..

Utakuta binti wa watu anajihisi KUSUFFOCATE kwenye ndoa, anakosa raha ya kuenjoy maisha na kuwa na stress!!!!

USHAURI WA BURE: TAFUTA UNAYEENDANA NAYE!!!! UKIKUTA KALELEWA NA ANAISHI TOFAUTI NA UNAVYOTAMANI AU FAMILIA UNAYOOTA KUIJENGA BASI either umwambie mkubaliane kabla ya ndoa au utafute mwingine!!!!

Hakuna JUSTIFICATION ya kumdhalilisha, kumuua, au kumfanyia uovu mwingine wowote!!!! MWANAMKE AKIAMUA KULIPIZA UTAJUTA!!!!!!

Ndiyo maana Wengine wanalea watoto si wao, wengine wanatangulia kabla ya wakati wao, na wengine wanatoa uroda hata kwa BODABODA!!!!!

Jifunzeni kuheshimu wenza wenu, wale siyo watumwa wenu jamani.....

HII NI KWA WALE WANAOJIFANYA WAO WAZUNGU HAWANA SHIDA NA WAKIINGIA KWENYE NDOA BASI WANAJIFANYA KUSHUKIWA NA MALAIKA NA KUWEKA MASHARTI KAMA YOTE!!! JINGA KABISA!!!

JENGENI MAHUSIANO YENU KATIKA MISINGI YA UKWELI NA UWAZI NA USIMLAZIMISHE MTU IKIWA HAMUENDANI
 
Hata mke anitukane matusi yote hakuna tusi jipya sio kumuua mtu,sasa unampiga mke risasi kwa vile huna nguvu za kumpiga vibao...ukiona mke hamuwezani achane nae uongeze siku za kuishi
Sio kila mtu ana uwezo wa kuchanganua mambo kama wewe mkuu!

Sio kila mtu anaweza kutawala hisia na hasira zake kama wewe.

Kila kiumbe kina uniqueness yake tofauti na kingine.
 
si umrudishe kwao kama kakushinda?
Ata jamaa kama yupo hai saiz anawaza ivyo ivyo kama unavyosema ww, tatzo binadam ana vtu ving kichwan hasira kinyongo na kujisahau na mengine kuna mambo unayafanya kwa maamuz ya asira yanakugharim baadae ,ndio maana din zote zinafundsha upendo aman na kuchunga ndim zetu yanatakiwa ayo ili kudhibit hasira au kinyongo cha binadam maana kuna muda kaur yako kwa mwanzako au matendo yako yako kwa mwenzako ndio chanzo cha mtu kutumia asira au maamuz ya araka kwann tufke uko ndo maana mung akasema binadam tuheshimiane bila kuangalia cheo umr walaa wala nafas maana hatujui la mbele , sasa kama unatakiwa heshima na ustaarabu kwa kila binadam vp kwa mumeo au mkeo ,yote kwa yote tukubali ndio ubinadam na mapungufu yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…