Mume adaiwa kumuua mkewe kwa kumpiga risasi 7 kichwani, chanzo ni simu. Mume naye akutwa AMEFARIKI

Mume adaiwa kumuua mkewe kwa kumpiga risasi 7 kichwani, chanzo ni simu. Mume naye akutwa AMEFARIKI

Ndio maana huwa nawaambia wanaume wenzangu, never ever date a married woman, achana na habari za kulala wake za watu. Mtu kama huyu angekukuta upo chumbani unamkula mke wake anakupiga risasi hadi za u.boo.
sema jamaa amekata shina mana angesema atafute wanaume wanakula mke wake angeuwa wote mwanza hii pisi ilikuwa kiruka njia ova..
 
[emoji23][emoji23][emoji23]jamaa alikuwa anajaribu kuweka usumbufu ile manzi asipigwe show ya kuvunja jukwaa ndomana anapiga simu kila dakika...asee wivu wa kiwaki sana.
Ndio 42mssd calls ?? hapa lazima ujue unadate na chizi khaaa!!
 
Najaribu kuwaza hayo maneno yote ina maana binti alikuwa anamwadithia mama yake?,"eti akakata sim ili kuepusha ugomvi"[emoji706]huyo mwanamke amepata alichostahili kupata
 
Mbona mie naoa Allua, litakokuwa na liwe
Una G Glock 19?

52FB38E3-266B-4B7F-A0E3-274AE80F532E.jpeg
 
Naona hamtaki kuelewa baadhi yenu!!!

Mweleze mtu UHALISIA AJUE RED and GREEN kabla haujaingia NAYE kwenye ndoa!!!! Wanaume wengi huficha standards zao hizo wakati wa UCHUMBA kwa kuhofia kuwa wataachwa!!!! Matokeo yake binti wa watu atajivalia zake vimini kama alivyoamua na kuamini ataendelea hivyo kwenye ndoa!!!

Jamani WANAWAKE NAO WATU NA WANA MITAZAMO YA VILE WANATAKA MAISHA YAO YA MBELENI YAWE!!!!

Kuna mwingine anatamani kuvaa vimini, kwenda clubs, kuhudhuria show za miziki, viti virefu, kusafiri kidogo kupumzika kama ana vijisenti vyake... SASA UTAKUTA MWANAUME ANAJUA KABISA AINA YA MWANAMKE ANAYEMTONGOZA ANA SIFA ZIPI lakini kwa kuwa wanaongozwa vilivyo kati ya mapaja yao na binti wa watu aliyeko mbele yake ana umbo ambalo kila akipita anachanganya wakware BASI MWANAUME HUYU ATAMRIDHIA HIVYO HIVYO ALIVYO...

Akishaingia tu kwenye ndoa na kumbebesha MIMBA BASI MASHARTI KIBAO... mara nguo hizi hapana, group flani za WhatsApp hapana, clubs hapana, yaani masharti KAMA YOTE YAANI..

Utakuta binti wa watu anajihisi KUSUFFOCATE kwenye ndoa, anakosa raha ya kuenjoy maisha na kuwa na stress!!!!

USHAURI WA BURE: TAFUTA UNAYEENDANA NAYE!!!! UKIKUTA KALELEWA NA ANAISHI TOFAUTI NA UNAVYOTAMANI AU FAMILIA UNAYOOTA KUIJENGA BASI either umwambie mkubaliane kabla ya ndoa au utafute mwingine!!!!

Hakuna JUSTIFICATION ya kumdhalilisha, kumuua, au kumfanyia uovu mwingine wowote!!!! MWANAMKE AKIAMUA KULIPIZA UTAJUTA!!!!!!

Ndiyo maana Wengine wanalea watoto si wao, wengine wanatangulia kabla ya wakati wao, na wengine wanatoa uroda hata kwa BODABODA!!!!!

Jifunzeni kuheshimu wenza wenu, wale siyo watumwa wenu jamani.....

HII NI KWA WALE WANAOJIFANYA WAO WAZUNGU HAWANA SHIDA NA WAKIINGIA KWENYE NDOA BASI WANAJIFANYA KUSHUKIWA NA MALAIKA NA KUWEKA MASHARTI KAMA YOTE!!! JINGA KABISA!!!

JENGENI MAHUSIANO YENU KATIKA MISINGI YA UKWELI NA UWAZI NA USIMLAZIMISHE MTU IKIWA HAMUENDANI
Uyo bint wa ivyo pia na yeye hatakua hajui nn maana ya ndoa ni ngum sana kumpangia mashart mwanamke ambae haujamuoa wapo watakaomujbu mm sio mkeo ,niweke ndan kwanza ,nitolee mahal na mengine kwa mwanamke ambae anajua maana ya ndoa ayo uliyoyasema hafundishwi anajua mwenyewe zip haki za mke zip haki za mwanaume , kuna watu wanasema ukikubal kuolewa bas akikisha umemalza mambo yako ndo mambo ayo sasa ,
 
Jamaa "Me" ni mvuvi...(anajishughulisha na biashara ya samaki) kwa maelezo ya mama mkwe....biashara hii sasa hivi ni pasua kichwa, samaki hakuna mitaji imekata wavuvi Wana msongo mkubwa wa mawazo!

Kuitunza pisi Kali kama huyu Marehemu na kuipeleka viwanja jamaa hawezi...missed calls 42 na ushee kwa usiku mmoja jamaa hata uzingizi ulikosa...na ujute jamaa ni swala tano hata pombe ya kumboost kidogo hatumii, bila shaka kilichotokea ilikuwa lazima kitokee!
 
Ndio shida ya Stori za kuletewa kila mtu anaongea lake.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] yaan kila mtu analeta lake, ukiingia ukitoka unakutana na kipyaa, woiiiooh
 
Jamaa "Me" ni mvuvi...(anajishughulisha na biashara ya samaki) kwa maelezo ya mama mkwe....biashara hii sasa hivi ni pasua kichwa, samaki hakuna mitaji imekata wavuvi Wana msongo mkubwa wa mawazo!

Kuitunza pisi Kali kama huyu Marehemu na kuipeleka viwanja jamaa hawezi...missed calls 42 na ushee kwa usiku mmoja jamaa hata uzingizi ulikosa...na ujute jamaa ni swala tano hata pombe ya kumboost kidogo hatumii, bila shaka kilichotokea ilikuwa lazima kitokee!
angekuwa anapiga hata k vant ingemshauri asinge kumbuka mambo na bunduki
 
Tunakoseaga sana. Unaacha kuoa mke..unaoa mwanamke.
Mwanamke ni yeyote mwenye uke na anaweza kukosa sifa ya kuwa mke.
Ukioa malaya yeye anaringia uke..tako na sura..haoni shida kuvunja ndoa kwa hamu ya siku zote.
Huyu amejitakia
...Wametangaza kuwa Marehemu ni Ndoa ya Pili. Inafikirisha...
 
Back
Top Bottom