Naona hamtaki kuelewa baadhi yenu!!!
Mweleze mtu UHALISIA AJUE RED and GREEN kabla haujaingia NAYE kwenye ndoa!!!! Wanaume wengi huficha standards zao hizo wakati wa UCHUMBA kwa kuhofia kuwa wataachwa!!!! Matokeo yake binti wa watu atajivalia zake vimini kama alivyoamua na kuamini ataendelea hivyo kwenye ndoa!!!
Jamani WANAWAKE NAO WATU NA WANA MITAZAMO YA VILE WANATAKA MAISHA YAO YA MBELENI YAWE!!!!
Kuna mwingine anatamani kuvaa vimini, kwenda clubs, kuhudhuria show za miziki, viti virefu, kusafiri kidogo kupumzika kama ana vijisenti vyake... SASA UTAKUTA MWANAUME ANAJUA KABISA AINA YA MWANAMKE ANAYEMTONGOZA ANA SIFA ZIPI lakini kwa kuwa wanaongozwa vilivyo kati ya mapaja yao na binti wa watu aliyeko mbele yake ana umbo ambalo kila akipita anachanganya wakware BASI MWANAUME HUYU ATAMRIDHIA HIVYO HIVYO ALIVYO...
Akishaingia tu kwenye ndoa na kumbebesha MIMBA BASI MASHARTI KIBAO... mara nguo hizi hapana, group flani za WhatsApp hapana, clubs hapana, yaani masharti KAMA YOTE YAANI..
Utakuta binti wa watu anajihisi KUSUFFOCATE kwenye ndoa, anakosa raha ya kuenjoy maisha na kuwa na stress!!!!
USHAURI WA BURE: TAFUTA UNAYEENDANA NAYE!!!! UKIKUTA KALELEWA NA ANAISHI TOFAUTI NA UNAVYOTAMANI AU FAMILIA UNAYOOTA KUIJENGA BASI either umwambie mkubaliane kabla ya ndoa au utafute mwingine!!!!
Hakuna JUSTIFICATION ya kumdhalilisha, kumuua, au kumfanyia uovu mwingine wowote!!!! MWANAMKE AKIAMUA KULIPIZA UTAJUTA!!!!!!
Ndiyo maana Wengine wanalea watoto si wao, wengine wanatangulia kabla ya wakati wao, na wengine wanatoa uroda hata kwa BODABODA!!!!!
Jifunzeni kuheshimu wenza wenu, wale siyo watumwa wenu jamani.....
HII NI KWA WALE WANAOJIFANYA WAO WAZUNGU HAWANA SHIDA NA WAKIINGIA KWENYE NDOA BASI WANAJIFANYA KUSHUKIWA NA MALAIKA NA KUWEKA MASHARTI KAMA YOTE!!! JINGA KABISA!!!
JENGENI MAHUSIANO YENU KATIKA MISINGI YA UKWELI NA UWAZI NA USIMLAZIMISHE MTU IKIWA HAMUENDANI