mkuu sema nini kuna saa unakuta kazi imekuvuruga mpaka hutaki kuona pisi yoyote unawaza ufike home ukute maji moto chakula ule ulale sasa fikiria ndo unakutana na mambo kama hayo asee saiyo huwezi pata hata mama za kukubali upige 3some ...Siwezi muua, akizingua atanikuta napiga threesome kitandani au foursome ndio atajua hajui [emoji28][emoji28][emoji28]
Jaman mtu wako akitaka kuliwa ataliwa tuu [emoji23] em tuache wivu wa namna hii.ila unakuwa umemuondolea mzuka huyo mpigaji anakuwa na wasiwasi labda jamaa anaweza kuja ..anaanza kuuliza manzi wakati unakuja huku rafiki yako ulimwambia unaenda wapi?au asee ivi jamaa akifatilia simu akajua mahali ilipo yani lazima show itakuwa ya kuungaunga..[emoji23][emoji23]
Aiseee...mkiambiwa ukiolewa hadi uhuru wako binafsi unakuwa sio mali yako hamsikii, sisi updates za matokeo ya viburi vyenu kwa waume zenu tutakuwa tunazipata hapa.!
Naahidi kukulinda popote uendako 😍mwanaume apige cm......
"mke wangu wahi upike njaa inanium" hlf mwanamke ukaendelea kushupaza shingo
Asa alikuoa wa nini kama hata kumjali akiwa na njaa huwezi?
mtu akatafte hela hlf bado apite mahotelin kula, kisa mwanamke unazurura kwenye ma show
mengine tunayataka wenyewe wanawake,
kama hujamaliza kudanga ndoa achana nayo
Yaan khaaah hatareeeh tupu.Wanaoujua ukweli ni marehemu na mumewe wengine tunabashiri tu.
Tena Risasi saba lazima tu angepotezwa, Atleast moja ingekuwa na Justification nyepesi ya Kisheria; Saba alidhamiria kabisa kuua., tena za kichwaKama kidume angebakia aone Jamhuri ingemfanyia nini
asee wivu ni kitu cha asili huwezi kukizibiti ni kama kumpenda mtu yani unaweza shindana nacho ila sio kukiondoa kabisa sasa wakati mwingine unashidwa kama muhuni wangu huyo yeye akavuka mipaka kabisa...Jaman mtu wako akitaka kuliwa ataliwa tuu [emoji23] em tuache wivu wa namna hii.
😅😅😅 Hawa wamama zetu wa mwendo kasi, kama mnazinguana kabla hujarudi home ni bora ukabaki huko huko , ukirudi home unaweza jikuta unafanya mambo yasio kabisa. Umezinguana nae baki huko huko rudi baada ya siku mbili tatu hivi.. hii koment asione mama kijacho wangu Nuzulatimkuu sema nini kuna saa unakuta kazi imekuvuruga mpaka hutaki kuona pisi yoyote unawaza ufike home ukute maji moto chakula ule ulale sasa fikiria ndo unakutana na mambo kama hayo asee saiyo huwezi pata hata mama za kukubali upige 3some ...
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] tena wali mute, na kuweka kwa droo, wao wanaendelea kuzagamuana tyuuh.Si inapigwa kimya tu, utapiga wee hadi vidole vitoke kumbe wenzako hata hawasikii ikiita [emoji16][emoji16] na wanaendelea kukulana.
Haya komaa na mwanamke asiyekutaka at your own risk.Hapana
Wenye wivu wa namna hii nawapa pole sana.asee wivu ni kitu cha asili huwezi kukizibiti ni kama kumpenda mtu yani unaweza shindana nacho ila sio kukiondoa kabisa sasa wakati mwingine unashidwa kama muhuni wangu huyo yeye akavuka mipaka kabisa...
[emoji23][emoji23][emoji23]asee sijui bhana wanaume tunapitia mengi sawa mtu achepuke ila awe na nidhamu aangalie majukumu yake kama kawaida sasa haya mengine yakishaliwa tu yanaleta dharau hataki hata kupika yani...mbona wote wanachepuka ila wengine wanajua maana ya mume akirudi home anakaa kama mke..[emoji28][emoji28][emoji28] Hawa wamama zetu wa mwendo kasi, kama mnazinguana kabla hujarudi home ni bora ukabaki huko huko , ukirudi home unaweza jikuta unafanya mambo yasio kabisa. Umezinguana nae baki huko huko rudi baada ya siku mbili tatu hivi.. hii koment asione mama kijacho wangu Nuzulati
Kwanini unauliza hivyo dada?
Ukipenda sehemu kwelikweli ndio utaelewa maana ya wivu, kwasasa endelea kutoa pole.Wenye wivu wa namna hii nawapa pole sana.
sawa ila huwezi kujua kama wako ana wivu au hana mpaka siku utaenda kwa mama alafu akupigie uje upike usiende apige msdcall48 alafu uje uende saa tisa ndo utakuja hapa kutoa ushuhuda ana wivu au hana..Wenye wivu wa namna hii nawapa pole sana.
Huyu nitaua tu mkuu, ngoja niwaachie mabarobaro.Mke wa kuoa huyo... Kalipe mahari haraka sana...
Tutakuja kukutoa jela.
SUMA JKT linda hii lulu ya Taifa.mwanaume apige cm......
"mke wangu wahi upike njaa inanium" hlf mwanamke ukaendelea kushupaza shingo
Asa alikuoa wa nini kama hata kumjali akiwa na njaa huwezi?
mtu akatafte hela hlf bado apite mahotelin kula, kisa mwanamke unazurura kwenye ma show
mengine tunayataka wenyewe wanawake,
kama hujamaliza kudanga ndoa achana nayo
Hypergamy truly is a bitch. Na jamaa alishindwa kung'amua kuwa he is the beta provider kwenye hii arrangement"Never underestimate the potential cruelty of women; their sexual nature is ruthless in easily discarding men perceived to be of low worth and trading up when the opportunity presents itself."
Women are biologically hardwired to be able to branch swing to a higher status man - given the opportunity. Hypergamy is a bitch. One day she loves you, the next day she doesn't care if you're dead.
Upo sahihi, sijawah penda kwa namna hiyo.Ukipenda sehemu kwelikweli ndio utaelewa maana ya wivu, kwasasa endelea kutoa pole.