Mume adaiwa kumuua mkewe kwa kumpiga risasi 7 kichwani, chanzo ni simu. Mume naye akutwa AMEFARIKI

Hukumu tamu kwa mwanamke mtata ni talaka.

Maana kwanza mtalaka hatongozwi, pili mtalaka hana urithi!
Hicho ndiyo cha kufanya kuua aachiwe Mungu aliyefanya uumbaji. Mwanamke akizingua iwe kwa namna yoyote ile dawa kuachana naye tu then unavuta pisi nyingine kaaaaaaaali . Mtu unapagawa na mwanamke as if ni kiumbe adimu dunian wakati wamejaa kibao
 
Haina makombo,kizuri kula na nduguyo,ikilitambua hilo mwanaume usiumie moyo,akiwa Malaya na were kua Malaya au mwache,ukikaa na muke moya atakutesa sana,sambaza upendo,akizingua huku hamia kureee muraa
 
Hakika

Maisha ya mahusiano ni yanapendeza yakiwa simple.

Ukiyajaza (na wivu). Yanajaa. Kisha yanakushinda. Unaishia kuumiza watu na kujidhuru mwenyewe.

Nimesikitika mno namna kijana alivyohandle ndoa yake. Horrendous!
Kwa kweli wanaume tunajileteaga presha za bure kwa kuendekeza wivu wakijinga....wannawake wapo tuenjoy nao...leo kakupa wewe kesho kampa mwengine basi yote heri tuu maana utamu upo pale pale
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwa kweli wanaume tunajileteaga presha za bure kwa kuendekeza wivu wakijinga....wannawake wapo tuenjoy nao...leo kakupa wewe kesho kampa mwengine basi yote heri tuu maana utamu upo pale pale
NAKAZIA 👍🏾

Ukibahatika kumpata mwanamke akakutii tulia naye.

Ukimpata mwenye anaupiga mwingi, yapasa uwe bishoo zaidi yake. Ukiona huwezi, Achana naye. Not end of the world.
 
Sasa kwa tukio kama hilo nani kilema na nani sio kilema?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…