Hicho ndiyo cha kufanya kuua aachiwe Mungu aliyefanya uumbaji. Mwanamke akizingua iwe kwa namna yoyote ile dawa kuachana naye tu then unavuta pisi nyingine kaaaaaaaali . Mtu unapagawa na mwanamke as if ni kiumbe adimu dunian wakati wamejaa kibaoHukumu tamu kwa mwanamke mtata ni talaka.
Maana kwanza mtalaka hatongozwi, pili mtalaka hana urithi!