Mume adaiwa kumuua mkewe kwa kumpiga risasi 7 kichwani, chanzo ni simu. Mume naye akutwa AMEFARIKI

Kwa nini alimuoa? Huyo ni mmojawapo wa wanaume wapuuzi wanaojaza tu dunia.
Show ni sababu iliyofanya kikombe cha hasira za jamaa kijae hatimae, kuna uwezekano mkubwa huko nyuma jamaa alisumbuka na vingi sana juu ya huyo mwanamke.
 
Bado sana, labda ndio tuko asilimia 2 ya hayo maisha.
 
Huyo mama anaonekana kimeo sana yaani hata kulia halii mtu gani huyo
mama zao wanakua wanajua kila kitu kenge hawa eti alikua nyumbani saa sita usiku sijui alikua anafanya nini ?🤔
yaani hakuna kitu kinauma kama mwanaume unawekeza kila kitu hadi maisha yako kwa mwanamke halafu bado anamegwa kama kawaida yaani

nisikuchape chuma mi nani ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…