Mume adaiwa kumuua mkewe kwa kumpiga risasi 7 kichwani, chanzo ni simu. Mume naye akutwa AMEFARIKI

Shida ya Wanaume wenye pesa huwa wanadhani kutokana na kipato chao kitatuliza Mwanamke yoyote hii jinsia inaitaji kuelimishwa.
Basi kama hamtaki kutulizwa na kipato chetu,basi oleweni na Makabwela!! Makabwela tukiwatokezea mnatupiga kibuti kisa hatuna mkwanja! Sasa mkae mkijuwa kuwa kwenye mkwanja kuna na bastola pia,Sasa kazi kwenu!!!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Ukimuoa mtu haujanunua uhuru wake?

Kwa hiyo ukiolewa unarudi home unarudi muda unaojisikia? Unaenda popote unapotaka? Acha muendelee kula risasi za.kichwa tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kabisa!
 
Dah huyu alistahili hata magazine 5 kabisa, si risasi 7. Inaonekana mwamba alikuwa mstaarabu sana ila kupenda kahaba ndo kumemponza. Ndo maana hadi kajiua

Ila angewakuta hapo ukumbini angefagia hadi mchepuko
 
Achana na maneno ya motivation speaker. Hata wa kujinyonga huwa anafika Point of no return
 

Bado hamjakua nyie wala Hamna history ata za dini [emoji1545]
 
Wanasikiaga basi, hapa tu mimi wife hajarudi toka saa kumi jioni hii saa nne! Vikoba gani wanakaa hadi usiku wote huu na sijala hapa namsikilizia tu tuone mwisho ukiwalamba mapanga waanze kulaumu

Pole Sanaa mkuu
 
Ndiyo maana Wengine wanalea watoto si wao, wengine wanatangulia kabla ya wakati wao, na wengine wanatoa uroda hata kwa BODABODA!!!!!
Nimekupata yaani katika mwanaume kukomolewa ni kuwa 1- mnabeba mimba nje mnatuletea tulee damu isiyo ya kwetu. 2-yaani huwa mnatoa uroda haraka Sana kwa mtu yeyote japo kujipooza machungu ya moyoni. 3- ni rahisi kuua mwanaume haraka Sana Mana anakuwa karaha kwako.
Duu yaani ukatili wenu ni mkubwa.
Ila umeongea points Sana madame big up sana.yaani mwambie unavyotaka awe sio uoe ndio uje kumpa shida ya masharti utadhani ndio yatakayompeleka mbinguni.
 
Watu wanafurahisha sana humu....

Jamaa angeenda tu hapo maeneo ya Tilapia zipo kibao zinatega, unamteka mmoja nawewe unapotea 2 weeks...Au unampandisha ATCL mkuu wa kikosi mwenye tabata yake aka "mama biriani" unajificha naye week unakula biriani tu mchana usiku...au ukiona vipi unahamia zako tu Tabata 2weeks na simu unaweka kile kitufe cha ndege.....

life is easy or tough, depend on you...
 
Ukiwa unahudhuria vikao vyetu wala hutashangaa hili ni kawaida sana!! Kuna pisi nyingine tunazijadili,Watatuelewa tu mdogo mdogo.....
 
Ni wakati wa solution sasa kuokoa jamii!..

Ukiona maudhi yamedhidi sana, zoezi la kwanza ni kutoa talaka na kukata supply, hii hatua ni ngumu lakini ndio usalama wako...
 
Wanandoa wanagombana mambo yao wenyewe,unamsingizia Diamond kwamba anavunja ndia za watu.
Indeed,hata ugomvi haukuwepo. Huyu mtu anampigia simu make wake ambaye amelala usingizi. Missed calls 42. Anaamua mke wake lazima apate fundisho.
Halafu Ni kichekesho kwamba mtu ananunua bastola kuwashuti majambazi,anaitumia kumshuti mke wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…