Mume adaiwa kumuua mkewe kwa kumpiga risasi 7 kichwani, chanzo ni simu. Mume naye akutwa AMEFARIKI

Ndio shida ya kutokuwa na Mchepuko.angekuwa na michepuko yasingempata hayo majanga .
 
Achana na maneno ya motivation speaker. Hata wa kujinyonga huwa anafika Point of no return
Nenda kamuokote huko si nasikia na yeye kajipiga kageuka mbwa wewe mwanamme unajipiga risasi? stupid, angekuwa mwanammke kweli angesimama mbele za watu ya nini kujipiga risasi mbwa mwitu huyo akaozee huko kama atapata hata wa kumzika. shenzi type.
 
Kuna demu wa kuthaminiwa na kuna demu mwenye tamaa tamaa. Hebu kamthamini Irene Uwoya ili tukuone ulivyo bingwa wa kupiga simu😄 kama mtatoboa hata mwezi mmoja.
Hivi sisi wanaume tumerogwa? hatujui hata mwanamke wa kuowa na mwanamke wa kupita tu? wako wanawake kama unawataka jitahidi uwapitie wanawake sio kila mwanamke wa kuowa na wala sio kila mwanamme wa kuowa ila kama ukiingia kichwa unataka kuowa kama huyo uliyomtaja basi ujuwe utegemee nini usifanye hasira. Jamani fanya makosa yote usifanye kosa kuchagua mke bora huyo sio mke tu atakuwa Mama ya watoto wako. Ndio maana huyo Irene kuna mtu anamchezea tu hakuna harusi hapo.
 
Shukrani. Mungu awatunze
 
Iwe fundisho kwa wanaodhani pesa inanunua penzi
 
Mwanaume Umerudi nyumbani mwanamke hayupo na ulimwambia Una njaa ukirudi ukute Amepikaaa... Unafikaa unapiga simu usiku mzima hapokeiiii missed call 42! Baadae mama ake anasema alikuwa amelala anarudi nyumbani unamuuliza anakujibu Shit.. Nasemaa kama wewe huyo ni mkeoo bhasi labda iwe ndo mara ya kwanza kafanya hivyo ila ukute ndio tabiaa yakee bhasi Hasiraa zake sio za kawaidaa.. Kuna jamaa alijua mke wake anachepuka na akapata Uhakikaa alirudi nyumbani akamshikia bastola nusuu amlipuee ila akaishia kupiga mbwa wakee risasi.. sio jambo dogoo hasa kwa mwanamke uliemjali na kumpa kila kitu
 
....Yote hayo yanafanyika katika Miezi Mitano TU ya Ndoa! Kwa Nini Walioana??
 
Hua sipigi simu zaidi ya mara mbili kama hatuna appointment.

Napiga mara moja. Nakaa saa mbili napiga tena.

No response? Naacha text "Hope you are fine. Please call me back"

Unapiga simu 42 times? How?

Ladies if a nigga beats you mteme. Over time that fool will see the beating ain't enough.
 
Wakataeni wanaume msiowapenda na sio kula hela zao mtitarajia watawaacha tu kirahisi baada ya kuwa mmewafanyia ujinga, wewe humependi mwanaume unaingia nae kwenye ndoa ili iweje???
Hapo ndo wanakosea wadada wa mjini ukishaolewa ht km humpendi mwanaume tulia ishi kiafrica zaidi kua mume ndo kiongozi,Kuna maisha ukiwa na mwenza wako unapaswa uyaache haswaa ya kujirusha Tena ukiwa mke ndo kabisaa,shida wadada wa mjini hawataki kubadilika wanaishi kwa kukariri tu ndo maana inawagharimu mnooo..ndoa kiafrica ni utii kwa mume,baasi ukiweza Hilo hutagombana na mmeo
 
Uko sahihi Sana,yaani Kuna vitu vingine as wanawake tunajiuiza tunakosa majibu sisi pia!ndoa ni lazima Mmoja awe chini ya mwingine!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…