Mume adaiwa kumuua mkewe kwa kumpiga risasi 7 kichwani, chanzo ni simu. Mume naye akutwa AMEFARIKI

Mzee nyboma
 
Point kubwa ni kwamba muache dharau, heshimuni wanaume mnaoishi nao kwenye ndoa.

We ukitaka kurukaruka uza uchi tu, uone kama kuna mwanaume atahangaika na wewe ilhali anajua wewe ni duka.
 
Hongera
Kama mke mtiifu umepata
 
Tena Unapiga zaidi ya Hizo 7

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Ndio muache kukuza kwamba kala hela zake,Kama hata mafuta alishindwa kumuwekea Sasa pesa ipi mnayopigia kelele hapa.... Huyo jamaa yako alikuwa na matatizo ya afya ya akili.Ova!
 
Ndio muache kukuza kwamba kala hela zake,Kama hata mafuta alishindwa kumuwekea Sasa pesa ipi mnayopigia kelele hapa.... Huyo jamaa yako alikuwa na matatizo ya afya ya akili.Ova!

Kwanza amekufa ameziacha hizo pesa, sasa si angemuwekea mafuta tu mwenzie ... 😁 😁 😁
 
Hapana,tumejenga pamoja. Kwani nini niondoke ?Mme wangu ni mfanya biashara mkubwa kaajiri watu 50 kabisa. Hivyo si Marioo.
Kuna kipindi ukitutangazia kuwa umepiga teke ndoa yako, hadi wengine tukaja kwa waziri mkuu kuomba kuziba pengo. [emoji1787][emoji1787]

Msharudiana?
 
Endelea Kula hela za wanaume Tu na wewe utasukumiwa Bullet

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Ndio muache kukuza kwamba kala hela zake,Kama hata mafuta alishindwa kumuwekea Sasa pesa ipi mnayopigia kelele hapa.... Huyo jamaa yako alikuwa na matatizo ya afya ya akili.Ova!
Yawezekana jamaa alamua kuchukua tax kurudi home ambako imwambia mkewe wakutane. Nazo ni pesa pia
 
Ulongo mchana kweupe
 
Mimi mchango wangu kwenye hili swala:

1. Hakuna binadamu anaeruhusiwa kuutoa uhai wa binadamu mwingine.
2. Wanaume tuwe makini sana na wanawake tunaowaoa.
3. Michepuko jamani... Michepuko! sijui nisisitize hili mara ngapi? Michepuko ni muhimu sana na ndio siri ya ndoa kuwa na amani! Na hili ni kwa pande zote mbili. Huyu bidada yeye (pengine) alikua ameshajiongeza ana pa kupumulia, tatizo inaelekea jamaa yeye alikua hana! Angalikua na ka mchepuko waaala haya yote yasingetokea tena angefurahi maana kapata kaupenyo. Wanaume wenzangu shime tujitahidi angalau ka mchepuko kamoja tu katakuokoa na mengi.
 
Wazuri sura personal wote wanatombekaa tuu kaka
Yaani kiufupi kwa hali halisi ya sasa inabidi mwanaume uwe na moyo wa kusamehe haraka na kusahau haraka. Na mwanaume uwe mtu wa kupotezea kabisa na usiwe na hasira kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…