Mume adaiwa kumuua mkewe kwa kumpiga risasi 7 kichwani, chanzo ni simu. Mume naye akutwa AMEFARIKI

ndio ila kwenye hayo mambo hata wanaume wanakuwa victim pia, ukiua au ukimuumiza mke aliyekutenda vibaya, wewe either utajiua, utafungwa, utauawa au utaishi kama mkimbizi
so wakati wanawake wakiwa na madhaifu yao, ni vizuri pia wanaume wakajua hatua za kuchukua ili wasiathirike na hayo madhaifu ya wanawake
 
Wanajisahaulisha tukio la neema mushi wa kimara kumchoma visu then moto umo ndani ....ukiingia 18 za mtu hutabaki salama
 
Basi itoshe kusema kuwa jamaa kimbelembele chake
 
So what? Mwenzenu kapata faida gani sasa?
 
Said alivamia mfupa uliomshinda fisi.
 
Anakufuru huyu jamani.
Hapa mtaani kuna Guruguja hata ijilembe vipi hainogi na haitustui kabisa na inafanya kazi taasisi fulani kubwa.
Make up zimemsaidia kupunguza ubaya ila mbaya tu ht iweje.
 
Jamaa angekuwa Smart ange move on.
Wakati mwingine ushamba nao tatizo.
Siyo kila mwenye pesa ni Mjanja.
Mwamba si unaona wanasema alikuwa na mazoea ya kufyatua Risasi nyumbani kwake ,huenda hakuwa timamu muda mrefu tu
 
Watoto hawawezi kukuelewa, hapo hapakuwa na mpira wala show.
Sasa hapo ndiyo ilikua sehemu nzuri ya kumpiga kibuti na a move on na Maisha yake mapya! Hata Kama kawekeza sana,asingeogopa kupoteza na kuanza upya,yeye ni mfanyabiashara na kawaida ya mfanyabiashara aliye kwiva hua haogopi Madeni au hasara,, na kuanza upya!!!!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Dem mbaya akiliwa haiumi sana. Unamdharau tu

Ila hizi pisi kali sasa. Wanamla na kumuacha huwezi utaonekana loser.
Tatizo lako ni kwamba una wivu wakijinga. Kwani wanakuona loser yaani kisa wamemtomba mwanamke ambaye yupo duniani kutombwer🤣🤣🤣🤣🤣 wee jamaa u need to get ur priorities strait
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…