Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
Mkuu hapa tunazungumzia hili tukio,kwa mazingira yake ilipaswa huyo mwanamke achapike kipigo cha mbwa koko. Unadhani jamaa ni mjinga kumpiga mwanamke risasi zote saba? Vipi mke wako akuache umelala peke yako ety kaenda kwa diamond usiku? Yaani how do you feel?Inategema mnaishije wewe nikuambie tu sio kila mwanaume ndoa yake imemshinda wachache tu ndiyo tumebarikiwa utashi huo,tambua akili ya mwanaume ndiyo itamfanya apate mwanamke anaemstahili na kumheshimu , we endelea kuwaza upupu huo, hakuna kiumbe dhaifu kama mwanamke na ukiwajua ndiyo kabisaaa, unaweza kuona njia zangu ni potofu kama wenzako walio coment huko juu lakini ni njia bora sana hazijawahi niangusha naelewa misimamo yangu na namna navyoitumia kuishi na mwanamke alienizalia watoto wanne, njia zisizo na purukushani zaidi ya upendo, maelewano, hekima, utashi na kumkaribisha na Mungu katika kila jambo, hivi nani amekuambia ndoa ni uwanja wa vita mnafeli sana vijana na mnadanganyana eti kuua ndiyo uanaume, kama amekushinda nakushauri tafuta unaemmudu, usiwe kama gari bovu kijana wangu
Jiandae ww unaonekana unakiburi sanaAnampigia simu Mara 42 mtu utasema unamdai Figo!yaani Kuna baadhi ya tabia mtu akifanya ukiwa nae kwenye mahusiano sio Mambo ya kupuuzia.
Ndo ivo mkuu lakini itategemea nani kagundulika wa kwanza huyo ndiye wa kunyooshewa kidole.Mwanaume ndo anaaminika?
Huyo jamaa yeye hakuwa na michepuko yake?
Bottom line ni kwamba, binadamu kwa asili hatuko waaminifu kivile, hususan kwenye mambo ya mapenzi.
Wachepukaji wako wengi mno.
Sitoshangaa kama huyo jamaa naye alikuwa na michepuko yake huko….
Si wanawake, si wanaume, wote ni wachepukaji tu.
Mkuu nakuweka kundi moja na huyo niliyemjibu hapoWewe ni weak man, yani mzaifu kukufanya mapenzi yatawale hisia zako, mnapenda kijanga sana hamuna namna mnauweka mioyo yenu ikawa salama, mnapenda na kudumbikia wazima kama mchuzi na mnakua hamna namna yakutoka, hamna akili maana mwanaume dhaifu hawezi kufikiri kwa undani akili imekua kama imeganda, muwe majasiri ndugu zangu msiwe kama toys
[emoji419][emoji419][emoji419]Mwanaume ndo anaaminika?
Huyo jamaa yeye hakuwa na michepuko yake?
Bottom line ni kwamba, binadamu kwa asili hatuko waaminifu kivile, hususan kwenye mambo ya mapenzi.
Wachepukaji wako wengi mno.
Sitoshangaa kama huyo jamaa naye alikuwa na michepuko yake huko….
Si wanawake, si wanaume, wote ni wachepukaji tu.
Pamoja na athari zinazopatikana baada ya kuua yule aliyekufanyia ubaya,ndo unamuacha unaenda kwa mwingine,huoni huo mchezo utakua unafanyika hovyohovyo?Mimi sikatie wanawake ni viumbe kama wakiamua basi utajuta kuzaliwa lakini pamoja na yote nini matokeo ya haya? utamuuwa halafu wewe nini utapata? Huyu kafanya alilofanya kashindwa kuhimili pressure kajipiga risasi mwenyewe faida gani? unaweza kuumizwa sana lakini iko siku unaweza kukutana na mwanamke mwingine ukajiulizia nilimpendea nini yule shetani. Hasira mbaya sana.
Alikuwa muhudumu wa Villa ? hahaha....basi hapo jamaa alichemka kweliHuyu dada da? Nipo huku kirumba story yake ni mbaya sana huyu dada alikuwa kaolewa na mume wake mwingine wakaachana akaolewa na huyu kaka anafanya kazi geita mgodini huyu kaka alimpenda sana huyu bint amemjengea bonge la nyumba Ana nyumba 3 na gari mbili kanunuliwa na huyu bwana lakin kumbe bint hampendi huyu kaka wa geita alikuja kwa ajili ya pesa tu lakin anampenda mume aliyemuacha nasikia alikuwa anafanya visa ili waachane lakin mume anagoma so ni kawaida yake kukatazwa kwenda sehemu lakin anaenda tu ili mwanaume amuache sasa jmosi mwanaume yupo mgodin akamwambia anaenda mpirani mwanaume akamwambia hakuna kwenda mdada akaenda tu mwanaume akapanda ndege akaja mwanza akaenda home mdada akaenda mpirani alivyotoka akaunga kwa diamond akiwa na mume wake wa zamani akarudi nyumbani saa 11 alfajiri nyumbani anagonga mlango akafunguliwa na kupigwa risasi 7 na mme wake na kufa huyu bint ni mwana yanga na ni mnyiramba zamani alikuwa muhudumu pale villa. Dada Ana story zake ni ngumu sana. C&P tutasikia mengi
View attachment 2245700
Duh alikua ni mhudumu wa bar?Huyu dada da? Nipo huku kirumba story yake ni mbaya sana huyu dada alikuwa kaolewa na mume wake mwingine wakaachana akaolewa na huyu kaka anafanya kazi geita mgodini huyu kaka alimpenda sana huyu bint amemjengea bonge la nyumba Ana nyumba 3 na gari mbili kanunuliwa na huyu bwana lakin kumbe bint hampendi huyu kaka wa geita alikuja kwa ajili ya pesa tu lakin anampenda mume aliyemuacha nasikia alikuwa anafanya visa ili waachane lakin mume anagoma so ni kawaida yake kukatazwa kwenda sehemu lakin anaenda tu ili mwanaume amuache sasa jmosi mwanaume yupo mgodin akamwambia anaenda mpirani mwanaume akamwambia hakuna kwenda mdada akaenda tu mwanaume akapanda ndege akaja mwanza akaenda home mdada akaenda mpirani alivyotoka akaunga kwa diamond akiwa na mume wake wa zamani akarudi nyumbani saa 11 alfajiri nyumbani anagonga mlango akafunguliwa na kupigwa risasi 7 na mme wake na kufa huyu bint ni mwana yanga na ni mnyiramba zamani alikuwa muhudumu pale villa. Dada Ana story zake ni ngumu sana. C&P tutasikia mengi
View attachment 2245700
Mbona kama story moja watu wawili tofautiHuyu dada da? Nipo huku kirumba story yake ni mbaya sana huyu dada alikuwa kaolewa na mume wake mwingine wakaachana akaolewa na huyu kaka anafanya kazi geita mgodini huyu kaka alimpenda sana huyu bint amemjengea bonge la nyumba Ana nyumba 3 na gari mbili kanunuliwa na huyu bwana lakin kumbe bint hampendi huyu kaka wa geita alikuja kwa ajili ya pesa tu lakin anampenda mume aliyemuacha nasikia alikuwa anafanya visa ili waachane lakin mume anagoma so ni kawaida yake kukatazwa kwenda sehemu lakin anaenda tu ili mwanaume amuache sasa jmosi mwanaume yupo mgodin akamwambia anaenda mpirani mwanaume akamwambia hakuna kwenda mdada akaenda tu mwanaume akapanda ndege akaja mwanza akaenda home mdada akaenda mpirani alivyotoka akaunga kwa diamond akiwa na mume wake wa zamani akarudi nyumbani saa 11 alfajiri nyumbani anagonga mlango akafunguliwa na kupigwa risasi 7 na mme wake na kufa huyu bint ni mwana yanga na ni mnyiramba zamani alikuwa muhudumu pale villa. Dada Ana story zake ni ngumu sana. C&P tutasikia mengi
View attachment 2245700
DahMapenzi yanauaView attachment 2245701
imebaki story
Huyu Dada hakuwa na Utii na Mme Wake, Hakuna watu ambao wanaumizwa na majibu ya Mwanamke kama Mwanaume.
Hatuwezi Jua baada ya Marehemu Kurudi Huko Alimjibu Nini Mwanaume Wake.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Huyu mwanamke hakuwa wa kuoa, wenye akili timamu hawawezi kuwa na chaguo za sampuli hii,Mkuu hapa tunazungumzia hili tukio,kwa mazingira yake ilipaswa huyo mwanamke achapike kipigo cha mbwa koko. Unadhani jamaa ni mjinga kumpiga mwanamke risasi zote saba? Vipi mke wako akuache umelala peke yako ety kaenda kwa diamond usiku? Yaani how do you feel?
Kwangu ni hapana. Huyu Dada hicho kifo kilimfaa kabisa....tena risasi saba ni chache mno
Sio kuwa ukishakuwa tajiri mkuu. Ishu Iko ivi unajua lakini kitu kinaitwa burning desire,mtu mwenye ambition,Yuko purposeful na kufanikisha kitu fulani lakini. Sasa ukishasimamia ndoto zako kiukweli Mana ni personal ishu ke wanakurudisha nyuma Mana atataka um take care muda huo unawaza how to establish your endeavor career in many fields.Hawa watu sio rahisi kuishi nao, hasa ukishakuwa
Wanawake Wengi ambao ni Watu wa show off hawana heshima kwa wanaume Wao Kabisa, Wao wanajali Bata Tu
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app