Mume adaiwa kumuua mkewe kwa kumpiga risasi 7 kichwani, chanzo ni simu. Mume naye akutwa AMEFARIKI

Mume adaiwa kumuua mkewe kwa kumpiga risasi 7 kichwani, chanzo ni simu. Mume naye akutwa AMEFARIKI

Watu mnasahau kitu muhimu Sana,mnapaswa mzungumzie afya ya akili ya msela sio huyo Mwanamke
Kitendo Cha kufystua risasi nyumbani na kusema una test sio akili
 
Inategema mnaishije wewe nikuambie tu sio kila mwanaume ndoa yake imemshinda wachache tu ndiyo tumebarikiwa utashi huo,tambua akili ya mwanaume ndiyo itamfanya apate mwanamke anaemstahili na kumheshimu , we endelea kuwaza upupu huo, hakuna kiumbe dhaifu kama mwanamke na ukiwajua ndiyo kabisaaa, unaweza kuona njia zangu ni potofu kama wenzako walio coment huko juu lakini ni njia bora sana hazijawahi niangusha naelewa misimamo yangu na namna navyoitumia kuishi na mwanamke alienizalia watoto wanne, njia zisizo na purukushani zaidi ya upendo, maelewano, hekima, utashi na kumkaribisha na Mungu katika kila jambo, hivi nani amekuambia ndoa ni uwanja wa vita mnafeli sana vijana na mnadanganyana eti kuua ndiyo uanaume, kama amekushinda nakushauri tafuta unaemmudu, usiwe kama gari bovu kijana wangu
Mkuu hapa tunazungumzia hili tukio,kwa mazingira yake ilipaswa huyo mwanamke achapike kipigo cha mbwa koko. Unadhani jamaa ni mjinga kumpiga mwanamke risasi zote saba? Vipi mke wako akuache umelala peke yako ety kaenda kwa diamond usiku? Yaani how do you feel?
Kwangu ni hapana. Huyu Dada hicho kifo kilimfaa kabisa....tena risasi saba ni chache mno
 
Mwanaume ndo anaaminika?

Huyo jamaa yeye hakuwa na michepuko yake?

Bottom line ni kwamba, binadamu kwa asili hatuko waaminifu kivile, hususan kwenye mambo ya mapenzi.

Wachepukaji wako wengi mno.

Sitoshangaa kama huyo jamaa naye alikuwa na michepuko yake huko….

Si wanawake, si wanaume, wote ni wachepukaji tu.
Ndo ivo mkuu lakini itategemea nani kagundulika wa kwanza huyo ndiye wa kunyooshewa kidole.
 
Wewe ni weak man, yani mzaifu kukufanya mapenzi yatawale hisia zako, mnapenda kijanga sana hamuna namna mnauweka mioyo yenu ikawa salama, mnapenda na kudumbikia wazima kama mchuzi na mnakua hamna namna yakutoka, hamna akili maana mwanaume dhaifu hawezi kufikiri kwa undani akili imekua kama imeganda, muwe majasiri ndugu zangu msiwe kama toys
Mkuu nakuweka kundi moja na huyo niliyemjibu hapo
kuna mambo yako nje ya uwezo wetu huwezi kuleta umwamba kwenye jambo kama hili
Ni vile tu hayajakukuta Mwombe Mungu akuepushe ndugu
 
Mwanaume ndo anaaminika?

Huyo jamaa yeye hakuwa na michepuko yake?

Bottom line ni kwamba, binadamu kwa asili hatuko waaminifu kivile, hususan kwenye mambo ya mapenzi.

Wachepukaji wako wengi mno.

Sitoshangaa kama huyo jamaa naye alikuwa na michepuko yake huko….

Si wanawake, si wanaume, wote ni wachepukaji tu.
[emoji419][emoji419][emoji419]
 
Tu
Mimi sikatie wanawake ni viumbe kama wakiamua basi utajuta kuzaliwa lakini pamoja na yote nini matokeo ya haya? utamuuwa halafu wewe nini utapata? Huyu kafanya alilofanya kashindwa kuhimili pressure kajipiga risasi mwenyewe faida gani? unaweza kuumizwa sana lakini iko siku unaweza kukutana na mwanamke mwingine ukajiulizia nilimpendea nini yule shetani. Hasira mbaya sana.
Pamoja na athari zinazopatikana baada ya kuua yule aliyekufanyia ubaya,ndo unamuacha unaenda kwa mwingine,huoni huo mchezo utakua unafanyika hovyohovyo?
Wadada na akina mama wakubaliane na hali tu,kua ukifanya vile ambavyo mwanaume aliyejitoa kwaajili yako,kakujengea nyumba,anasaidia wakwenu,yawezekana unamuibia na nyingine,uwe tayari kwa adhabu yoyote ile,after all hata asingejipiga risasi,angekufa tu,asingefika 20300,wanakera sana baadhi ya wanawake.Marehemu asipangiwe nini angefanya.
 
Huyu dada da? Nipo huku kirumba story yake ni mbaya sana huyu dada alikuwa kaolewa na mume wake mwingine wakaachana akaolewa na huyu kaka anafanya kazi geita mgodini huyu kaka alimpenda sana huyu bint amemjengea bonge la nyumba Ana nyumba 3 na gari mbili kanunuliwa na huyu bwana lakin kumbe bint hampendi huyu kaka wa geita alikuja kwa ajili ya pesa tu lakin anampenda mume aliyemuacha nasikia alikuwa anafanya visa ili waachane lakin mume anagoma so ni kawaida yake kukatazwa kwenda sehemu lakin anaenda tu ili mwanaume amuache sasa jmosi mwanaume yupo mgodin akamwambia anaenda mpirani mwanaume akamwambia hakuna kwenda mdada akaenda tu mwanaume akapanda ndege akaja mwanza akaenda home mdada akaenda mpirani alivyotoka akaunga kwa diamond akiwa na mume wake wa zamani akarudi nyumbani saa 11 alfajiri nyumbani anagonga mlango akafunguliwa na kupigwa risasi 7 na mme wake na kufa huyu bint ni mwana yanga na ni mnyiramba zamani alikuwa muhudumu pale villa. Dada Ana story zake ni ngumu sana. C&P tutasikia mengi

View attachment 2245700
Alikuwa muhudumu wa Villa ? hahaha....basi hapo jamaa alichemka kweli
 
Huyu dada da? Nipo huku kirumba story yake ni mbaya sana huyu dada alikuwa kaolewa na mume wake mwingine wakaachana akaolewa na huyu kaka anafanya kazi geita mgodini huyu kaka alimpenda sana huyu bint amemjengea bonge la nyumba Ana nyumba 3 na gari mbili kanunuliwa na huyu bwana lakin kumbe bint hampendi huyu kaka wa geita alikuja kwa ajili ya pesa tu lakin anampenda mume aliyemuacha nasikia alikuwa anafanya visa ili waachane lakin mume anagoma so ni kawaida yake kukatazwa kwenda sehemu lakin anaenda tu ili mwanaume amuache sasa jmosi mwanaume yupo mgodin akamwambia anaenda mpirani mwanaume akamwambia hakuna kwenda mdada akaenda tu mwanaume akapanda ndege akaja mwanza akaenda home mdada akaenda mpirani alivyotoka akaunga kwa diamond akiwa na mume wake wa zamani akarudi nyumbani saa 11 alfajiri nyumbani anagonga mlango akafunguliwa na kupigwa risasi 7 na mme wake na kufa huyu bint ni mwana yanga na ni mnyiramba zamani alikuwa muhudumu pale villa. Dada Ana story zake ni ngumu sana. C&P tutasikia mengi

View attachment 2245700
Duh alikua ni mhudumu wa bar?
 
Huyu dada da? Nipo huku kirumba story yake ni mbaya sana huyu dada alikuwa kaolewa na mume wake mwingine wakaachana akaolewa na huyu kaka anafanya kazi geita mgodini huyu kaka alimpenda sana huyu bint amemjengea bonge la nyumba Ana nyumba 3 na gari mbili kanunuliwa na huyu bwana lakin kumbe bint hampendi huyu kaka wa geita alikuja kwa ajili ya pesa tu lakin anampenda mume aliyemuacha nasikia alikuwa anafanya visa ili waachane lakin mume anagoma so ni kawaida yake kukatazwa kwenda sehemu lakin anaenda tu ili mwanaume amuache sasa jmosi mwanaume yupo mgodin akamwambia anaenda mpirani mwanaume akamwambia hakuna kwenda mdada akaenda tu mwanaume akapanda ndege akaja mwanza akaenda home mdada akaenda mpirani alivyotoka akaunga kwa diamond akiwa na mume wake wa zamani akarudi nyumbani saa 11 alfajiri nyumbani anagonga mlango akafunguliwa na kupigwa risasi 7 na mme wake na kufa huyu bint ni mwana yanga na ni mnyiramba zamani alikuwa muhudumu pale villa. Dada Ana story zake ni ngumu sana. C&P tutasikia mengi

View attachment 2245700
Mbona kama story moja watu wawili tofauti
 
Nasikitika sana sana kwa tukio hili pamoja na maelezo yote na comment zote bado binadamu ana baki kuwa binadamu mwenye thamani mbele za Mungu hata kama yupo na makosa kiasi gani.

Pamoja na mazingira yote ya vifo vya hawa ndugu mwenyezi Mungu awajalie nuru ya milele wapumzike kwa amani.
 
Huyu Dada hakuwa na Utii na Mme Wake, Hakuna watu ambao wanaumizwa na majibu ya Mwanamke kama Mwanaume.

Hatuwezi Jua baada ya Marehemu Kurudi Huko Alimjibu Nini Mwanaume Wake.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app

Acha kutetea mambo ya kishenzi, Kutokua na utii haihalalalishi amuue, wabongo tuache kuwa kama Wanyama.
 
Mkuu hapa tunazungumzia hili tukio,kwa mazingira yake ilipaswa huyo mwanamke achapike kipigo cha mbwa koko. Unadhani jamaa ni mjinga kumpiga mwanamke risasi zote saba? Vipi mke wako akuache umelala peke yako ety kaenda kwa diamond usiku? Yaani how do you feel?
Kwangu ni hapana. Huyu Dada hicho kifo kilimfaa kabisa....tena risasi saba ni chache mno
Huyu mwanamke hakuwa wa kuoa, wenye akili timamu hawawezi kuwa na chaguo za sampuli hii,
 
Hawa watu sio rahisi kuishi nao, hasa ukishakuwa
Sio kuwa ukishakuwa tajiri mkuu. Ishu Iko ivi unajua lakini kitu kinaitwa burning desire,mtu mwenye ambition,Yuko purposeful na kufanikisha kitu fulani lakini. Sasa ukishasimamia ndoto zako kiukweli Mana ni personal ishu ke wanakurudisha nyuma Mana atataka um take care muda huo unawaza how to establish your endeavor career in many fields.
Yaani Kuna watu hawalali wanawaza how to own Twitter company Sasa na ke anataka umjulie hali.kuna mchepuko ananimaindi eti simjulii Hali ameamkaje na ilhali mama yangu mwaka unapita bila ya kumpigia simu
 
Back
Top Bottom