Mume adaiwa kumuua mkewe kwa kumpiga risasi 7 kichwani, chanzo ni simu. Mume naye akutwa AMEFARIKI

Mume adaiwa kumuua mkewe kwa kumpiga risasi 7 kichwani, chanzo ni simu. Mume naye akutwa AMEFARIKI

Kupata mwanamke anaekusikiliza na kukuheshimu kama baba yake ni baraka kubwa sana ambayo wengi wanaikosa katika kizazi hiki, Asante Mungu.

Muda mwingine sisi wanaume tunashindwa kusimamia uanaume wetu, hivi Mungu kakujalia Pesa na afya ya nini kung'ang'ania mwanamke anaekuumiza akili?? Najua mapenzi yanauma na pengine labda kuna watu wapo humu jf muda huu wanapitia fukuto la mahusiano, nawashauri mfanye maamzi ya kiume kabla hamjachelewa.


"Every woman in any given reletionship, is taken as the man's project".

Project imekushinda, achia wengine wahangaike nayo kwanini uumie?
Hakika Mungu nashukuru kwa kunipa mke mwema. Ananisikiliza na kuniheshimu pia
 
Matajiri wanasiri nyingi sana
Maskini ni Rahisi kuacha mwanamke na kuoa mwingine na siyo mtu mwenye Fedha, hapo lazima tujiulize kwanini? Na hata Masuala ya ndoa watu wenye Fedha walio wengi hawanafurahana na ndoa zao, tofauti na watu wenye maisha ya kawaida wanafurahia ndoa zao na migogoro ni michache
 
Wakuu story ni kwamba huyu jamaa kwenye picha amemuua huyo mkewe usiku wa kuamkia leo huko Mwanza ikidaiwa ni baada ya kumkataza mkewe asiende kwenye show ya Mondi.

Baada ya kumwambia asiende kwenye hiyo show ya Nasib Abdul, mke akakaidi akaenda.

Jamaa amempiga risasi saba za kichwa na inasemekana na yeye kajiua japo maiti yake haijaonekana.

Ila na nyie Wanawake mpunguze visirani. Inaonesha jinsi huyu Marehemu alikuwa mkaidi na hamsikilizi Mme wake.

Mme kakuambia sitaki uende pahala fulani then wewe unakaidi ni nini kama sio dharau na kiburi?

By the way anything else Happen for a reason.

RIP Binti MzuriView attachment 2243941
View attachment 2243573



View attachment 2243574
Hilo jana kike uenda litakuwa puuzi kama chifu hangaya [emoji849][emoji849] know one know?
 
Maskini ni Rahisi kuacha mwanamke na kuoa mwingine na siyo mtu mwenye Fedha, hapo lazima tujiulize kwanini? Na hata Masuala ya ndoa watu wenye Fedha walio wengi hawanafurahana na ndoa zao, tofauti na watu wenye maisha ya kawaida wanafurahia ndoa zao na migogoro ni michache
Asilimia kubwa ya hao wenyewe fedha japo sio wote maagano ya hizo fedha zao huwalimiti namna ya kufanya sio Kwa akili zao, Kuna mwingine unakuta amekuwa kicheche hatari anazalisha huku anazalisha kule sio Kwa sababu yake
 
Na nyie vijana mnaoa pisi kali zinawaletea matatizo tu, kila saa utawaza anataka kukusaliti, tafuteni pisi za kawaida muoe
Unakuta manzi ni pisi kali hatari, halafu anapenda mziki na pombe🤔 Hapo HAKUNA wife material kabisaa, maana huyo ni shamba la bibi a.k.a cha wote!
Wa hivyo, 'Hit & Run' ndo mpango mzima 😊
 
Kuoa hakuna ubaya wowote ila unamuoa nani? Wengi wenu mnapenda maslay queens ndo mana moto unawawakia.
Tatizo liko kwenu Wanawake, mkitaka Ndoa mnakua wapole sana hadi mnatujaza kingi mazima, mkisha tujaza mko tayari ndani ya ndoa Sasa ndiyo mnaanza kuonesha kucha zenu za ukweli kua nyinyi ni Maslay Queens wa ukweli! Sasa mkikutana na vidume wasiokua na kifua ndiyo hayo ya marisasi yanawakuta!!!!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom