Mume adaiwa kumuua mkewe kwa kumpiga risasi 7 kichwani, chanzo ni simu. Mume naye akutwa AMEFARIKI

Mume adaiwa kumuua mkewe kwa kumpiga risasi 7 kichwani, chanzo ni simu. Mume naye akutwa AMEFARIKI

Mmmmmhhhhhhh mjadala inaonekana wanaume mnavutia upande wenu....


Hakuna JUSTIFICATION WHATEVER ya kukufanya utoe uhai wa mwenzako...


Mrudishe ulikomtoa mtoto wa watu maana uliupende Uzuri wake hukuangalia TABIA wala majibu yake na ulikubaliana Naye wakati wa uchumba LEO kaingia kwenye NDOA UNALETA WIVU NA KUMWEKEA MIPAKA!!!!! Utakuwa na akili sawasawa????

Ukimkuta binti wa watu anapenda kwenda NIGHT CLUBS na ukamwoa katika mazingira hayo hayo BASI JUA UKIINGIA KWENYE NDOA NA UKATAKA ABADILIKE BASI NI MKATABA MWINGINE NA MNATAKIWA KUKAA MEZANI......


Yaani kuna watu wakati wanatafuta wachumba wanaongozwa na tamaa na hasa kile kitu katikati ya mapaja yao, wakishaoa ndiyo wanaanza kuweka masharti......

Kwakweli kama atanusurika ANYONGWE HADI KUFA na kutuulia mdada mwenzetu...
"Nobody has a moral authority ya kuongelea NDOA kama hujaoa ama kuolewa. Tofauti na hapo ni assumptions tu hapa tutafanya."
 
"Jina lake halijatajwa kwa sababu za kiusalama". Wana jf mnaelewa hii kauli?!!


ILA:
Wakati mwingine tujitahidi kuwaheshimu wanaume, ukiona anakupenda mpende pia.
 
Hakuna mwanaume atakayeweza kuwa na kisirani kwa mwanamke mnyenyekevu na mtiifu.kwasababu ukiona mwanaume amefikia hatua ya kuoa kashapenda na hakuna kitu wanaume hatupendi kama kudharauliwa utu wetu.
Siyo kweli, wako wengi tu na baadhi huwa wanajisifia humu kwenye jf.
 
Unaambiwa
Kabla hajaolewa alikua ni mtu wa make up sana, akaolewa mchizi kwa kuwa ni mtu wa samaki town akamnunulia dada mitumbwi 5 yenye engine afanye pia biashara.
.
Juzi kati kamnunulia Crown na nyumba kubwa maeneo ya Buswelu huko.
.
Dada kaenda kutazama mpira na wahuni na kweli katoka huko kapitia kwa show ya Diamond na wahuni.
.
Alizuiwa hakusikia, sijui ktk kufokeana wakasikia Paaa... Paaa... Paaa... Paaa... Paaaa... Paaaa.... Paaaa saba hizo. Afu jamaa kapotea.
.
Ila sasa wanadai jamaa ni mpole sana na mtaratibu na mstaarabu ikafkia hatua dem akawa anautumia upole wa jamaa vbaya kwa kiburi

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Source yako n ipi mkuu??
 
Uyo mama yake inaonekana shoka mbaya familia ilikuwa inamtegemea marehemu na mume wa marehemu alafu huyu mama anajua mienendo mibaya ya mtoto wake
Huyu mama mienendo ya mtt wake anaijua
Vitt choka mbaya alaf vinapenda maisha ya juu hata kwao hayapo
 
"Jina lake halijatajwa kwa sababu za kiusalama". Wana jf mnaelewa hii kauli?!!


ILA:
Wakati mwingine tujitahidi kuwaheshimu wanaume, ukiona anakupenda mpende pia.

Ndio mtuheshimu sasa sio mnalete ufyetere wa kijinga
 
Huyu mama mienendo ya mtt wake anaijua
Vitt choka mbaya alaf vinapenda maisha ya juu hata kwao hayapo
Mama yake anajua kabisa mtoto wake kaolewa alafu anakuja kulala nyumbani kwa wazazi wake kisha anapigiwa simu na mumewe hapokei, inaonekana akiwa katika mishe za kuchepuka akimaliza tu anaenda kuzuga kwa wazazi wake ili apate utetezi
 
Mmmmmhhhhhhh mjadala inaonekana wanaume mnavutia upande wenu....


Hakuna JUSTIFICATION WHATEVER ya kukufanya utoe uhai wa mwenzako...


Mrudishe ulikomtoa mtoto wa watu maana uliupende Uzuri wake hukuangalia TABIA wala majibu yake na ulikubaliana Naye wakati wa uchumba LEO kaingia kwenye NDOA UNALETA WIVU NA KUMWEKEA MIPAKA!!!!! Utakuwa na akili sawasawa????

Ukimkuta binti wa watu anapenda kwenda NIGHT CLUBS na ukamwoa katika mazingira hayo hayo BASI JUA UKIINGIA KWENYE NDOA NA UKATAKA ABADILIKE BASI NI MKATABA MWINGINE NA MNATAKIWA KUKAA MEZANI......


Yaani kuna watu wakati wanatafuta wachumba wanaongozwa na tamaa na hasa kile kitu katikati ya mapaja yao, wakishaoa ndiyo wanaanza kuweka masharti......

Kwakweli kama atanusurika ANYONGWE HADI KUFA na kutuulia mdada mwenzetu...
Ww hujapewa sharti lolote huko uliko olewa!
ama unaongea tu bla bla!
 
Kupata mwanamke anaekusikiliza na kukuheshimu kama baba yake ni baraka kubwa sana ambayo wengi wanaikosa katika kizazi hiki, Asante Mungu.

Muda mwingine sisi wanaume tunashindwa kusimamia uanaume wetu, hivi Mungu kakujalia Pesa na afya ya nini kung'ang'ania mwanamke anaekuumiza akili?? Najua mapenzi yanauma na pengine labda kuna watu wapo humu jf muda huu wanapitia fukuto la mahusiano, nawashauri mfanye maamzi ya kiume kabla hamjachelewa.


"Every woman in any given reletionship, is taken as the man's project".

Project imekushinda, achia wengine wahangaike nayo kwanini uumie?

Legendary!

Mchango wako huu ni adhimu hasa. Wanaume wauzingatie. Project moja, ni mwanzo wa project nyingine. Daima!
 
Tunaweza kulaumu kila upande lkn kimsingi mmoja ndio atakua na makosa zaid ,wengi munasema wanawake wazur sio wa kuoa sawa , je hao wanawake wazur hawaitaj ndoa na je tuangalie wanawake wazur wanaolewa na hakina nan, yan mtu ana hela ana mali akaoe mwanamke wa kawaida inakua ngum sana level za maisha zinaendana sana na ndio maana mara nyng kuna kunakua na mausiano kulinganga level au sehem mashulen ,vyuon makazin mote uku kuna mausiano tena wengine wake za watu au waume za watu ni kwa sababu gan mazingra ,kama jamaa alikua na uwezo fulan habadan hawez kuoa muuza mboga mboga au matunda sokon , ataoa anaeendana nae na ndo maana pamoja na uzur wote uyo mwanamke alikubal kuolewa na jamaa , tatzo apa sio uzur au mali za mwanaume ila binadam tumebalika hakuna anaekubal kuwa chin ktk ndoa kama mwanamke angekua anajua ameshaolewa ni mke wa mtu aya yasingetokea , na aya mambo hayapo tu kwa wanawake wazur au kwa watu wenye ela tu ,ata kwa sisi pangu pakavu ni ayo ayo tu
 
"Jina lake halijatajwa kwa sababu za kiusalama". Wana jf mnaelewa hii kauli?!!


ILA:
Wakati mwingine tujitahidi kuwaheshimu wanaume, ukiona anakupenda mpende pia.
He he he...halafu wanasema kazi yake ni mvuvi
 
Back
Top Bottom