Unaambiwa
Kabla hajaolewa alikua ni mtu wa make up sana, akaolewa mchizi kwa kuwa ni mtu wa samaki town akamnunulia dada mitumbwi 5 yenye engine afanye pia biashara.
.
Juzi kati kamnunulia Crown na nyumba kubwa maeneo ya Buswelu huko.
.
Dada kaenda kutazama mpira na wahuni na kweli katoka huko kapitia kwa show ya Diamond na wahuni.
.
Alizuiwa hakusikia, sijui ktk kufokeana wakasikia Paaa... Paaa... Paaa... Paaa... Paaaa... Paaaa.... Paaaa saba hizo. Afu jamaa kapotea.
.
Ila sasa wanadai jamaa ni mpole sana na mtaratibu na mstaarabu ikafkia hatua dem akawa anautumia upole wa jamaa vbaya kwa kiburi
Sent from my Infinix X657 using
JamiiForums mobile app