Superb2014
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 9,266
- 7,426
Wanawake wote ni Pisi kali.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa nawe haujui kuhusu ndoa usichukulie poa mzeya,,[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wee bikra leo hii ndio wataka kuja kutuambia kuhhusu ndoa....ebu wacha kwanza wanaume wapapasa tako skonsi hilo
Maana yake alikuwa ana wake wangapi ? Ukiangalia mahojiano ya ndugu inaonyesha alikuwa na mke mmoja.Hata huyu muuaji huyu alikuwa mke wa pili.
Wewe ndoa ni taasis na kila taasis ina kanuni zake. Kanuni ya kwanza ni mume na mke wakutane wakiwa bikra. Sasa wanawake tunaoa wakiwa breki pumbuz alafu unategemea kuwa ndoa itadumu...huko ni kujidanganya tuu.Sasa nawe haujui kuhusu ndoa usichukulie poa mzeya,,
Oa ujionee
Flat moja nyeusi😀Kuna jamaa zangu ni watu wa samaki. Wanasema jamaa alimnunulia mitumbwi ya engine huyo dada na kumuandalia kambi huko kwenye kisiwa wanakovulia samaki na dagaa na hiyo kambi ilikuwa inasimamiwa na mdogo wake huyo dada. Lengo ni kumpunguzia huyo dada mizunguko ila huyo dada aligoma. Maana ni mdada wa viwanja na makeup.
Yaani kiufupi jamaa alizingua sana na kuwekeza pesa ndefu kwa huyo dada mpaka kaamua kuoa kabisa. Halafu jamaa ni mtu wa hasira za karibu. Kiufupi jamaa alizingua sana kuoa pisi kali. Angeoa flat moja nyeusi ingemfaa.
hawa wanawake watakufa sana kwa kupenda ndoa na watu kisa wana pesa za kisenge senge... Ukishaolewa na mtu ana pesa tuliza matako yako chini kubali kuwa mpole lasivyo utauawa tu...
Unapewa nyumba gari unagunguliwa biashara kubwa halafu unaleta dharau lazima upewe za kichwa...
Wanawake mkae mkijua ndoa sio mafanikio ktk maisha, kwahio tulizeni makomwe yenu fanyeni kazi mpate pesa zenu ndio mlete viburi..
U tubeHiyo clip iko wp!
Upogo?
Hilo ni lakifamilia zaidNasikia hata Baba yake amemkanya Bint na hakusikia, nakubaliana na wewe, je NI kweli huyu Mama wa kirangi kazaa na wengine kabla?View attachment 2245139
Wewe ni bikra??Wewe ndoa ni taasis na kila taasis ina kanuni zake. Kanuni ya kwanza ni mume na mke wakutane wakiwa bikra. Sasa wanawake tunaoa wakiwa breki pumbuz alafu unategemea kuwa ndoa itadumu...huko ni kujidanganya tuu.
Mie nitakuwowa weye nienjoy tako skonsi na ninakupa uhuru wako wakumpa mbususu yako mwanaume mwengine na wala sitakuacha
Tutaaminije kama ni kweli gari haikuwa na mafuta au ni ngebe za huyo Swalha?Ndio muache kukuza kwamba kala hela zake,Kama hata mafuta alishindwa kumuwekea Sasa pesa ipi mnayopigia kelele hapa.... Huyo jamaa yako alikuwa na matatizo ya afya ya akili.Ova!
Ina maana jamaa hakuwa na akili ya pili kusepa hata Kenya huko ama South Sudan ama Ukraine ikibidi kujiu soo sana!Maeneo hayo fukwe imezungukwa na mawe , tena mawe yamo mpak kwenye maji ni rahs mtu kusimama kwenye jiwe akajipiga risasi Kwa vyovyote vile akianguka anaangukia kwenye maji , maeneo haya ni karbu kabisa na mwili ulipokutwa , yawezekana alijongea mpak pande hzi akajilipua
View attachment 2245350
Mke alikuwa mswahili,hauni ata mazingira ya kwao??Huyu marehemu mke anaonekana alikuwa mswahili sana...kufuga mke mswahili kazi sana...
Inaonekana pia jamaa ndo aliyemfanya ang'are na kuonekana mtu mbele ya watu ndo maana alipata sana hasira pale anapoletewa kibri. Siku zote penye ubaya wema ulitangulia.
ukiangalia vizuri picha za sebleni kwake ambapo kuna damu damu zimetapakaa inaonekana wazi huyu dada hakuwa mtu anayejali nyumba yake badala yake alijali uso wake zaidi na mavazi ya nje. Kweli kwa familia yenye hela za kutosha ile ni sofa ya kuweka sebleni? Hadi imetoboka?? Na pia seble haina mpangilio wa kueleweka ...Kwa mwanamke anayejua wajibu wake kwakuwa hela sio tatizo angeitendea haki ile sitting room..
Mapambo ni hela na kama hela ipo why usiitendee haki nyumba yako kama mke.
Marehemu hasemwi ila huyu dada anaonekana alimsumbua sana huyu kaka...na hakuwa material ya kuolewa.
Seble nzuri kubwaaaa ila ipo ipo tu
Hapana...na ndio maana siwi na matarajio ya kipumbavu ya kwamba mbususu yako nitakula mwenyewe tuuWewe ni bikra??
Wewe ungeipambaje mrembo?Huyu marehemu mke anaonekana alikuwa mswahili sana...kufuga mke mswahili kazi sana...
Inaonekana pia jamaa ndo aliyemfanya ang'are na kuonekana mtu mbele ya watu ndo maana alipata sana hasira pale anapoletewa kibri. Siku zote penye ubaya wema ulitangulia.
ukiangalia vizuri picha za sebleni kwake ambapo kuna damu damu zimetapakaa inaonekana wazi huyu dada hakuwa mtu anayejali nyumba yake badala yake alijali uso wake zaidi na mavazi ya nje. Kweli kwa familia yenye hela za kutosha ile ni sofa ya kuweka sebleni? Hadi imetoboka?? Na pia seble haina mpangilio wa kueleweka ...Kwa mwanamke anayejua wajibu wake kwakuwa hela sio tatizo angeitendea haki ile sitting room..
Mapambo ni hela na kama hela ipo why usiitendee haki nyumba yako kama mke.
Marehemu hasemwi ila huyu dada anaonekana alimsumbua sana huyu kaka...na hakuwa material ya kuolewa.
Seble nzuri kubwaaaa ila ipo ipo tu
Mie ndoto zangu nipate mume atakayenipelekeshaHapana...na ndio maana siwi na matarajio ya kipumbavu ya kwamba mbususu yako nitakula mwenyewe tuu
Hahahahahahah ukiwa na pisi kali bila hela lazma wivu ukutawaleLakini kumbuka Mke alikua na kazi yake ya upambaji,anakodishwa hadi huko shinyanga anapiga kazi hata siku tatu mfulululizo hajarudi home! Sasa huu wivu wa ghafla Mume kautoa wapi!!!??
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app