Mume adaiwa kumuua mkewe kwa kumpiga risasi 7 kichwani, chanzo ni simu. Mume naye akutwa AMEFARIKI

Mume adaiwa kumuua mkewe kwa kumpiga risasi 7 kichwani, chanzo ni simu. Mume naye akutwa AMEFARIKI

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wee bikra leo hii ndio wataka kuja kutuambia kuhhusu ndoa....ebu wacha kwanza wanaume wapapasa tako skonsi hilo
Sasa nawe haujui kuhusu ndoa usichukulie poa mzeya,,

Oa ujionee
 
Sasa nawe haujui kuhusu ndoa usichukulie poa mzeya,,

Oa ujionee
Wewe ndoa ni taasis na kila taasis ina kanuni zake. Kanuni ya kwanza ni mume na mke wakutane wakiwa bikra. Sasa wanawake tunaoa wakiwa breki pumbuz alafu unategemea kuwa ndoa itadumu...huko ni kujidanganya tuu.

Mie nitakuwowa weye nienjoy tako skonsi na ninakupa uhuru wako wakumpa mbususu yako mwanaume mwengine na wala sitakuacha
 
Kuna jamaa zangu ni watu wa samaki. Wanasema jamaa alimnunulia mitumbwi ya engine huyo dada na kumuandalia kambi huko kwenye kisiwa wanakovulia samaki na dagaa na hiyo kambi ilikuwa inasimamiwa na mdogo wake huyo dada. Lengo ni kumpunguzia huyo dada mizunguko ila huyo dada aligoma. Maana ni mdada wa viwanja na makeup.

Yaani kiufupi jamaa alizingua sana na kuwekeza pesa ndefu kwa huyo dada mpaka kaamua kuoa kabisa. Halafu jamaa ni mtu wa hasira za karibu. Kiufupi jamaa alizingua sana kuoa pisi kali. Angeoa flat moja nyeusi ingemfaa.
Flat moja nyeusi😀
 
hawa wanawake watakufa sana kwa kupenda ndoa na watu kisa wana pesa za kisenge senge... Ukishaolewa na mtu ana pesa tuliza matako yako chini kubali kuwa mpole lasivyo utauawa tu...
Unapewa nyumba gari unagunguliwa biashara kubwa halafu unaleta dharau lazima upewe za kichwa...
Wanawake mkae mkijua ndoa sio mafanikio ktk maisha, kwahio tulizeni makomwe yenu fanyeni kazi mpate pesa zenu ndio mlete viburi..

Umejua kutusema aisee
 
Wewe ndoa ni taasis na kila taasis ina kanuni zake. Kanuni ya kwanza ni mume na mke wakutane wakiwa bikra. Sasa wanawake tunaoa wakiwa breki pumbuz alafu unategemea kuwa ndoa itadumu...huko ni kujidanganya tuu.

Mie nitakuwowa weye nienjoy tako skonsi na ninakupa uhuru wako wakumpa mbususu yako mwanaume mwengine na wala sitakuacha
Wewe ni bikra??
 
Ndio muache kukuza kwamba kala hela zake,Kama hata mafuta alishindwa kumuwekea Sasa pesa ipi mnayopigia kelele hapa.... Huyo jamaa yako alikuwa na matatizo ya afya ya akili.Ova!
Tutaaminije kama ni kweli gari haikuwa na mafuta au ni ngebe za huyo Swalha?
 
Huyu marehemu mke anaonekana alikuwa mswahili sana...kufuga mke mswahili kazi sana...
Inaonekana pia jamaa ndo aliyemfanya ang'are na kuonekana mtu mbele ya watu ndo maana alipata sana hasira pale anapoletewa kibri. Siku zote penye ubaya wema ulitangulia.
ukiangalia vizuri picha za sebleni kwake ambapo kuna damu damu zimetapakaa inaonekana wazi huyu dada hakuwa mtu anayejali nyumba yake badala yake alijali uso wake zaidi na mavazi ya nje. Kweli kwa familia yenye hela za kutosha ile ni sofa ya kuweka sebleni? Hadi imetoboka?? Na pia seble haina mpangilio wa kueleweka ...Kwa mwanamke anayejua wajibu wake kwakuwa hela sio tatizo angeitendea haki ile sitting room..
Mapambo ni hela na kama hela ipo why usiitendee haki nyumba yako kama mke.
Marehemu hasemwi ila huyu dada anaonekana alimsumbua sana huyu kaka...na hakuwa material ya kuolewa.
Seble nzuri kubwaaaa ila ipo ipo tu
 
Maeneo hayo fukwe imezungukwa na mawe , tena mawe yamo mpak kwenye maji ni rahs mtu kusimama kwenye jiwe akajipiga risasi Kwa vyovyote vile akianguka anaangukia kwenye maji , maeneo haya ni karbu kabisa na mwili ulipokutwa , yawezekana alijongea mpak pande hzi akajilipua

View attachment 2245350
Ina maana jamaa hakuwa na akili ya pili kusepa hata Kenya huko ama South Sudan ama Ukraine ikibidi kujiu soo sana!
 
Huyu marehemu mke anaonekana alikuwa mswahili sana...kufuga mke mswahili kazi sana...
Inaonekana pia jamaa ndo aliyemfanya ang'are na kuonekana mtu mbele ya watu ndo maana alipata sana hasira pale anapoletewa kibri. Siku zote penye ubaya wema ulitangulia.
ukiangalia vizuri picha za sebleni kwake ambapo kuna damu damu zimetapakaa inaonekana wazi huyu dada hakuwa mtu anayejali nyumba yake badala yake alijali uso wake zaidi na mavazi ya nje. Kweli kwa familia yenye hela za kutosha ile ni sofa ya kuweka sebleni? Hadi imetoboka?? Na pia seble haina mpangilio wa kueleweka ...Kwa mwanamke anayejua wajibu wake kwakuwa hela sio tatizo angeitendea haki ile sitting room..
Mapambo ni hela na kama hela ipo why usiitendee haki nyumba yako kama mke.
Marehemu hasemwi ila huyu dada anaonekana alimsumbua sana huyu kaka...na hakuwa material ya kuolewa.
Seble nzuri kubwaaaa ila ipo ipo tu
Mke alikuwa mswahili,hauni ata mazingira ya kwao??
 
Huyu marehemu mke anaonekana alikuwa mswahili sana...kufuga mke mswahili kazi sana...
Inaonekana pia jamaa ndo aliyemfanya ang'are na kuonekana mtu mbele ya watu ndo maana alipata sana hasira pale anapoletewa kibri. Siku zote penye ubaya wema ulitangulia.
ukiangalia vizuri picha za sebleni kwake ambapo kuna damu damu zimetapakaa inaonekana wazi huyu dada hakuwa mtu anayejali nyumba yake badala yake alijali uso wake zaidi na mavazi ya nje. Kweli kwa familia yenye hela za kutosha ile ni sofa ya kuweka sebleni? Hadi imetoboka?? Na pia seble haina mpangilio wa kueleweka ...Kwa mwanamke anayejua wajibu wake kwakuwa hela sio tatizo angeitendea haki ile sitting room..
Mapambo ni hela na kama hela ipo why usiitendee haki nyumba yako kama mke.
Marehemu hasemwi ila huyu dada anaonekana alimsumbua sana huyu kaka...na hakuwa material ya kuolewa.
Seble nzuri kubwaaaa ila ipo ipo tu
Wewe ungeipambaje mrembo?
 
Back
Top Bottom