Mume adaiwa kumuua mkewe kwa kumpiga risasi 7 kichwani, chanzo ni simu. Mume naye akutwa AMEFARIKI

Mume adaiwa kumuua mkewe kwa kumpiga risasi 7 kichwani, chanzo ni simu. Mume naye akutwa AMEFARIKI

Even worse, he didn’t love himself.
Kweli inawezekana kulikuwa na kitu nyuma,yaani una hela zako unakula chochote unachokitaka mbona unapata mtu mwingine unaweka ndani fasta huyu unaachana naye. Sasa ameacha Mali zote wengine wanaenjoi.
Mana anafanya kazi mgodini na bado akawekeza katk uvuvi. Sema pia hakuweza kung'amua Kama demu anampenda Ile real love.
 
Mkuu usihukumu, kufanya kazi Villa sio sababu mtu asiolewe...tatizo la ajira ni kubwa kwetu nchini ...lol...

Nakubaliana na wewe, pesa hainunui upendo, ila hii tactic ya kutumia pesa kumpata/kumshawishi mwanamke awe na nyie, mnaitumia sana wanaume, hasa wale wenye wanaona hawana ushawishi zaidi ya huo wa pesa au wanaona wanaweza wakampata mwanamke yoyote wanayemtaka sababu wana pesa....

Unfortunately wanaume wengi wanaoa for sex pleasure, akiona hapati sex anatafuta nyumba ndogo, wachache sana wanatafuta mambo mengine ila wengi ni sex tu huwa wanafuata huko nyumba ndogo...lol..proving nyie ni sex tu mnatafuta,lol

Sijui uaonaje ila kama mwanaume oa mwanamke wa ndoto zako,...kuoa mwanaume sio attractive in your eyes, binafsi naona haijakaa sawa, siku ukimuona mwanamke mzuri lazima ubabaike na ku cheat, sema tujifunze ku balance mambo, oa mwanamke anayekuvutia lakini pia anafit na mambo mengine ... ila sio ku substitute na mwanamke ambaye unaona hakuvutii...kisa tu anakulea vizuri....
Huo mvuto huwa unaisha ndani ya muda mfupi nikuambie baadaye Tabia ndio inayotengeneza strong bond btn you madame.
Hata huyo wa nje nitakayemuona nikababaika bado nikiwa ndani later atakuwa wa kawaida. Ishu Iko ivi you can't satisfy human ego hata siku moja.
Hata uwe na mzuri gani lazima utatamani nje.
Iko hivi ukiwa na kitu gani kizuri namna gani bado tu baadaye utakiona Cha kawaida utaanza kukiona Cha nje Kama kizuri. Yaani kitu ni kizuri Kama haunacho ama hujawahi sikia kazi ni mbaya ukiwa nayo.
Ukiwa na nyumba hata 800M ya kuishi baadyae utaiona nzuri Tena utaitaka Tena.
Yaani uzuri wa mwanamke huwa sio kitu Kama Hana Tabia nzuri hata ufanyeje.
Nitakulala mwanzoni Ila ukianza kuwa na kiburi unafanya kinyume na ninavyotaka huchukui round labda kama nimekuzalisha nitakuacha hapo na watt nitakuwa naleta matumizi halafu nasepa.
Yaani uoe kwa kucheki uzuri ni Nani alikuwambia uzuri unaishi milele.
Hatukata wapo wanaoa kisa tamaa ya sex ila sio wote.
Mie hata niwe na tamaa vipi na wewe Kama hauna vigezo Basi vya kitabia.
Yaani huwa na project how will you take care of my kids sio kisa tu mie nitakukula.
How will you handle my mom, a lot of Shits Rebecca do you know lakini.
Basi niishie hapa.
 
Ila Mwanza penyewe pamekaa kihatari sana kwenye suala la mahusiano hasa kwa binti ambaye ni kimeo anawaza kuuza mwili...

Mwanza ni centre ya miner wote kutoka migodi yoote ya kanda Ziwa, kuanzia wachimbaji wadogo mpaka wale waajiriwa migodini..
Mwanza ndio sehemu ya wavuvi wote wa visiwani kuuzia dagaa na samaki wao..
Mwanza ndio centre ya wafanyabiashara kutoka Mara, Bukoba, Simiyu nk..
Mwanza pia ni kituo cha wafanya biashara wa Uganda, Kenya, Burundi, Rwanda nk..

Ukiangalia namna kamji kalivyo na mwanamke akiwa kicheche basi atakuwa busy sana maana kila week lazima apate muwekezaji kutoka kila pembe..

Binafsi miaka fulani nimejionea mengi sana hasa mabinti wa vyuo kama CBE na St Augustino, maeneo hatarishi hapo Kirumba, Vila, Ghana yoote hiyo kuanzia hapo sparrow hotel, kingdom, kuelekea Malaika, Tilapia nk..pale town kati Golden crest, Delmonte nk ni ushenzi kwa kwenda mbele japo mabinti wengi show hakuna...
 
Huyu marehemu mke anaonekana alikuwa mswahili sana...kufuga mke mswahili kazi sana...
Inaonekana pia jamaa ndo aliyemfanya ang'are na kuonekana mtu mbele ya watu ndo maana alipata sana hasira pale anapoletewa kibri. Siku zote penye ubaya wema ulitangulia.
ukiangalia vizuri picha za sebleni kwake ambapo kuna damu damu zimetapakaa inaonekana wazi huyu dada hakuwa mtu anayejali nyumba yake badala yake alijali uso wake zaidi na mavazi ya nje. Kweli kwa familia yenye hela za kutosha ile ni sofa ya kuweka sebleni? Hadi imetoboka?? Na pia seble haina mpangilio wa kueleweka ...Kwa mwanamke anayejua wajibu wake kwakuwa hela sio tatizo angeitendea haki ile sitting room..
Mapambo ni hela na kama hela ipo why usiitendee haki nyumba yako kama mke.
Marehemu hasemwi ila huyu dada anaonekana alimsumbua sana huyu kaka...na hakuwa material ya kuolewa.
Seble nzuri kubwaaaa ila ipo ipo tu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Huyu dada da? Nipo huku kirumba story yake ni mbaya sana huyu dada alikuwa kaolewa na mume wake mwingine wakaachana akaolewa na huyu kaka anafanya kazi geita mgodini huyu kaka alimpenda sana huyu bint amemjengea bonge la nyumba Ana nyumba 3 na gari mbili kanunuliwa na huyu bwana lakin kumbe bint hampendi huyu kaka wa geita alikuja kwa ajili ya pesa tu lakin anampenda mume aliyemuacha nasikia alikuwa anafanya visa ili waachane lakin mume anagoma so ni kawaida yake kukatazwa kwenda sehemu lakin anaenda tu ili mwanaume amuache sasa jmosi mwanaume yupo mgodin akamwambia anaenda mpirani mwanaume akamwambia hakuna kwenda mdada akaenda tu mwanaume akapanda ndege akaja mwanza akaenda home mdada akaenda mpirani alivyotoka akaunga kwa diamond akiwa na mume wake wa zamani akarudi nyumbani saa 11 alfajiri nyumbani anagonga mlango akafunguliwa na kupigwa risasi 7 na mme wake na kufa huyu bint ni mwana yanga na ni mnyiramba zamani alikuwa muhudumu pale villa. Dada Ana story zake ni ngumu sana. C&P tutasikia mengi

View attachment 2245700

Umkute dem ambiance, meeda, kimboka, mikasa, makoroboi, msamvu halafu ujifariji utambadilisha unakua hauna akili sawa sawa
 
Kushindwa kujua kama mwanamke anakupenda nalo ni tatizo.

Una akili zako timamu, unashindwaje kujua?
Wanawake ni pretender mkuu kumbuka. Pia wapo wanaume wachache wanaojua saikolojia ya ke.
Namie sishindwi kujua Kama ke ananikubali hata Kama ni mchepuko wangu najua hapa napendwa ama hapa nimezidiwa ni ngono tu napita
 
Lakini sawa, bora ameamua kufa na yeye maana mafuta yamepanda bei sana
 
Kwa sasa Tanzania Mwanamke ni kiumbe ambaye yuko hatarini sana japo tunachukulia hili suala kimzaha mzaha sana..

Mabinti wetu wengi wana upeo mdogo sana wa mambo matokeo yake hupelekea wengi kuwa washamba na kuzidiwa kiakili kiasi cha kurubuniwa na kuamini maisha yakufikirika na sio maisha halisi..

KUDANGA imekuwa ni suala la kawaida sana kwa mabinti zetu wakiamini ni sehemu ya maisha na ni suala kawaida kabisa kwao.... hili limepekelea wengi wao kuishi maisha hatarishi sana kwao na wenza wao... Tamaa ya kuishi weekend life kila siku huku wengi wakiwa hawana vyanzo kimapato, hupelekea udhalili kwao na familia zao...
 
He was in really deep love but was totally opposite to her chick wife.
Nachoshukuru mke wangu ananiheshimu Kama babaye. Kwanza huwa namwambia kuwa mie ni zaidi ya baba yako Mana nakupatia mahitaji uliyokuwa unapewa home na kingine ulivyokuwa hupati home so yabidi heshima iwe maradufu.
We utakuwa sio mzima yaani ni zaidi ya baba yake wakati hadhi yako kwa baba yake mkeo hufiki hata robo.
 
Mke wa MTU ambaye ni pisi Kali, anabifu kubwa Sana na mumewe. Jamaa wivu Kwa kwenda mbele...yaani ukioa mwanamke mkali umeoa presha. Kibaya hata kama una pesa, hata kama unampiga mashine vzr bado atasaliti.

Binadamu anapenda Sana kugongwa au kugongwa nje. Yaani uzinzi uzinzi Kwa kwenda mbele
 
Haya ndo tume kataaa next time ni Mtu ana pigwa na RPG[emoji81][emoji81]
1851766778.jpg
 
mwanamke akiwa kicheche basi atakuwa busy sana maana kila week lazima apate muwekezaji kutoka kila pembe..
Tena atajisifia kwa wenzake kuwa mie am international ninao wa Kongo Burundi na kweli wakongo wanaofuata dagaa mwanza ni wengi Sana.
Yaani atajitapa Sana.
Ila jamani haya yote tujitahidi Sana kuwapa wa MTT wa kike fani like career yake itakayomsaidia na sio kwenda kwa me kisa umasikini wake.yaani awe na uwezo wa kwenda Bata uk bila ya sponsa. Kama vyuoni watt wetu jamani wanateseka Sana yaani wanapata wawekezaji wengi mno na ukijifanya mzungu ama unaishi nje unataka kusepa naye yaani
 
Back
Top Bottom