Mume adaiwa kumuua mkewe kwa kumpiga risasi 7 kichwani, chanzo ni simu. Mume naye akutwa AMEFARIKI

Mume adaiwa kumuua mkewe kwa kumpiga risasi 7 kichwani, chanzo ni simu. Mume naye akutwa AMEFARIKI

Role models na mamentors wa mabinti wetu kwa sasa ndio hatari yenyewe... Maisha ya wabongo movie yanageuzwa kuwa actual scenes mtaani...

Wadada wakipiga picha dubai,turkey, Hongkong, Macau basi mabinti zetu wanaona yale ndio maisha wanayopaswa kuishi japo vipato hivyo hawana....Huku wengi wao masikini hawajui vipato vya wenzao vinatoka wapi..
Tunaojua yanayofanyika huko Dubai au pale Ghuanzhou, Hongkong na Macau tunabaki kusikitika tu na kumuomba Mungu anusuru hivi vizazi...

Ile route ya Emirates Dar - DXB (sijui kama ipo siku hizi) mkishuka pale DXB mnakuta mko na vidada vidogo masikini vinakwenda kufanya nini nobody knows, akirusi mjini na "Harrier " wenzie mtaani tayari wanamuona role model kumbe, nyuma mbele mwenzao hamna naye hasemi bali ni kutoa Connection wanajiita WAHANGAIKAJI WENYEWE...

Wengine wako pale Instanbull wamegeuka machokoraa mpaka unaukana Utanzania, mwaka jana kuna mmoja aliwehuka pale sijui aliishia wapi masikini....INASIKITISHA SANA..

MABINTI TUACHE TAMAA, TUISHI REAL LIFE, MNADHARILIKA SANA BINTI ZETU na hizi TABIA AMBAZO BIBI ZENU HAWAKUWA NAZO....chupi mkononi muda wote kisa GOOD LIFE na kujifananisha na WANAUME eti mbona wanaume wana wanawake wengi, AISEE...
 
Ishu sii kuacha wangapi, ishu ipo kwenye kuchagua wa kuoa. Tatizo kubwa la vijana wa siku hizi ni UDOMO ZEGE! Kijana hujui kutongoza, umejawa uoga, matokeo yake unaokoteza okoteza wanawake njiani, bar au mitandaoni. Yeyote anaekukubali wewe unakomaa nae huyohuyo na kung'ang'ania kumuoa!

Kijana kabla ya kuoa unatakiwa uwe umechakata mbususu zisizopungua 50 za watoto wakali! Katika hao lazima utakutana na vichaa, magumegume, ma gold digger na pia utakutana na wife material.. Huu uzoefu utakusaidia sana kujua wewe unahitaji mke wa aina gani?

Sasa unachuja kwenye hao 50 unachagua hapo watatu. Katika hao watatu mmoja ANAEKUPENDA (sio unaempenda) unaoa, wengine unawabakisha kama michepuko! Wife akizingua HUMUACHI, wala hugombani nae, unampuuza ila hasira unaenda kumalizia kwa mchepuko kwa kutembeza gegedo kali.

Utaishi kwa raha mustarehe maisha yako yote.
🤣🤣🤣🤣
 
Tena atajisifia kwa wenzake kuwa mie am international ninao wa Kongo Burundi na kweli wakongo wanaofuata dagaa mwanza ni wengi Sana.
Yaani atajitapa Sana.
Ila jamani haya yote tujitahidi Sana kuwapa wa MTT wa kike fani like career yake itakayomsaidia na sio kwenda kwa me kisa umasikini wake.yaani awe na uwezo wa kwenda Bata uk bila ya sponsa. Kama vyuoni watt wetu jamani wanateseka Sana yaani wanapata wawekezaji wengi mno na ukijifanya mzungu ama unaishi nje unataka kusepa naye yaani

La msingi jamii iwaangalie hawa viumbe kwa jicho kali kidogo maana bongo zao si sawa na bongo za kiume, maumbile yao si sawa na ya kiume...

Wanapaswa kuangaliwa na sio kuachwa achwa tu wanazurulazurula na kujivalia watakavyo kila mahala, hawa viumbe wanahitaji limitations kwenye maisha yao maana bongo zao hazina break kwenye kuyaendea mambo...

Wanapaswa kujua kabisa wao si sawa na MWANAUME....na hakuna kinachoitwa 50/50 na mwanaume zaidi wanahitaji controlling kila waendapo....Dunia inapitia mengi sana sasa kwa kuachia uhuru kwa hawa mama zetu...

Zipo jamii kama Arabs, Indians, Chinese nk bado zipo stricly kwenye maisha ya hawa viumbe japo dunia inapigana nako wafunguliwe...
 
Hawa watu sio rahisi kuishi nao, hasa ukishakuwa tajiri.
Screenshot_2022-05-31_161203.jpg
 
Huo mvuto huwa unaisha ndani ya muda mfupi nikuambie baadaye Tabia ndio inayotengeneza strong bond btn you madame.
Hata huyo wa nje nitakayemuona nikababaika bado nikiwa ndani later atakuwa wa kawaida. Ishu Iko ivi you can't satisfy human ego hata siku moja.
Hata uwe na mzuri gani lazima utatamani nje.
Iko hivi ukiwa na kitu gani kizuri namna gani bado tu baadaye utakiona Cha kawaida utaanza kukiona Cha nje Kama kizuri. Yaani kitu ni kizuri Kama haunacho ama hujawahi sikia kazi ni mbaya ukiwa nayo.
Ukiwa na nyumba hata 800M ya kuishi baadyae utaiona nzuri Tena utaitaka Tena.
Yaani uzuri wa mwanamke huwa sio kitu Kama Hana Tabia nzuri hata ufanyeje.
Nitakulala mwanzoni Ila ukianza kuwa na kiburi unafanya kinyume na ninavyotaka huchukui round labda kama nimekuzalisha nitakuacha hapo na watt nitakuwa naleta matumizi halafu nasepa.
Yaani uoe kwa kucheki uzuri ni Nani alikuwambia uzuri unaishi milele.
Hatukata wapo wanaoa kisa tamaa ya sex ila sio wote.
Mie hata niwe na tamaa vipi na wewe Kama hauna vigezo Basi vya kitabia.
Yaani huwa na project how will you take care of my kids sio kisa tu mie nitakukula.
How will you handle my mom, a lot of Shits Rebecca do you know lakini.
Basi niishie hapa.

Uzuri unaisha ndani ya muda mfupi ndio uoe mwanamke sio attractive in your eyes?!

Tabia haitengenezi strong bond,chemistry does!..its chemistry between you two ndio itakayokuwa kama buffer kwenye relationship yenu...

Chemistry; wewe anakufeel, attractive, wanted, sexy, yuko contend and feel secured, akiwa na wewe, na wewe pia hivyo hivyo kwake..... sasa one element ya chemistry ikitoka (attractiveness) jua relationship yako iko kwenye vulnerable position.....!!!

I agree uzuri hauishi milele, but so does tabia, is subject to change, mfano leo mimi ni mwanamke mwema.. namlea mama yako vizuri, mama yako labda ni uzee au mimi sizai, anaanza kunichokonoa, bado nitabaki vile vile?? lazima nitachange attitude ama kuanza kumtreat vibaya, tabia yangu ina change.. au mfano wewe una stress kazini, umeanza kunywa pombe na kuanza kutoka na mala*ya wengine, na mimi natafuta attention somewhere else...you see hata tabia nayo inabadilika pia, na ndio maana unasikia huyu zamani alikua muhuni kweli ila kabadilika......lol

Halafu nimesema sio uoe mwanamke mzuri peke yake bali mwanamke mzuri+tabia nzuri, ila usi substitute kamwe na Mwanamke unattractive in your eyes kisa ana tabia nzuri, mta create unhappy home... kwa sababu kama humuoni attractive ataifeel /atajua tu...huwaga tunajuaga..lol...,atabaki hana furaha/ insecured, na mapenzi mmoja akiwa hana furaha, ngumu kutengeneza bond kwenye mazingira ya hivi...usinidanganye..lol

i agree ni ngumu sana to satisfy human's ego...ila tunapunguza chances za kutoka nje hapa..lol...
 
Kuwaacha huru kunawafanya wadai uhuru kila mahala, mpaka kwenye ndoa pia nao wanadai uhuru na 50/50 matokeo yake jamii zinakuza watoto matoy na marobot..

Leo hii Mwanamke yuko busy hawezi kulea mtoto na watoto wanashinda daycare, baada ya hapo bording, wakirudi nyumbani kuna house girl....unaambiwa mama yuko busy anatafuta hela kifupi wote yeye na mume wake wote wamekuwa busy wanatafuta hela ambazo hazijulikana ni za kazi gani....
 
La msingi jamii iwaangalie hawa viumbe kwa jicho kali kidogo maana bongo zao si sawa na bongo za kiume, maumbile yao si sawa na ya kiume...

Wanapaswa kuangaliwa na sio kuachwa achwa tu wanazurulazurula na kujivalia watakavyo kila mahala, hawa viumbe wanahitaji limitations kwenye maisha yao maana bongo zao hazina break kwenye kuyaendea mambo...

Wanapaswa kujua kabisa wao si sawa na MWANAUME....na hakuna kinachoitwa 50/50 na mwanaume zaidi wanahitaji controlling kila waendapo....Dunia inapitia mengi sana sasa kwa kuachia uhuru kwa hawa mama zetu...

Zipo jamii kama Arabs, Indians, Chinese nk bado zipo stricly kwenye maisha ya hawa viumbe japo dunia inapigana nako wafunguliwe...

mnhhhh
 
Kama ningeweza kila mwanaume angegawiwa bastola na muda wote itatakiwa ishinde kiunoni, hizi ni harakati za kulinusuru hili taifa.

Jokes😄
 
Ulaya wapi mzee, nipo bongo hii hii, wewe waona ni ujinga kwakua umejaza ujinga akilini mwako kwahiyo perception zako haziwezi kuwa sawa ni za kihalifu , badili mtazamo utaona mabadiliko
Mkuu,mwanamke haaminiki....hata umbebe mgongoni. Ishi nae kwa machale sana.
Mfn huyo aliyeuliwa amekatazwa kwenda yeye analazimisha so what? She deserved not less than ten bullets za kutoa ONYO. Saba ni chache mno....
 
Back
Top Bottom